Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Ndio nasema basi shida ipo kwa kuwa si Mara ya kwanza kuwa na makosa ya aina hiyo. Ni mara nyingi inatokea, ni ngumu sana kukuta hotuba haina makosa ya hivyo.Wengine hata kusoma bado kuchanganya madawa
Kama shida ni msomaji basi tatizo ni kubwa sana, mm hofu yangu ni hao anaokua anawahutubia wanamuonaje? Bahati mbaya sana ukikosea huwa huambiwi umekosea, utapigiwa makofi. Huu ndio utamaduni wetu