Kwa kutambua umuhimu wa kuwasikiliza watu wanasema nini ataokoa maisha ambayo yangepotea.
Ni heri kupoteza mabilioni kuliko kupoteza watu.
Mama apewe uungwaji mkono kumpa moyo wa concessions zaidi.
Inajulikana walamba asali wamenuna!
Yaani hapo maza anaongea na camala jicho kwa jicho,magu asingeweza,ndiyo maana alikua hatoki..nikikumbuka kule Uganda waandishi wanamuuliza swali,ye anaandika kwanza,Hadi musevenk akawa anaokoa jahazi,pale tulipigwaJiwe alikuwa ni Icon figure wa Africa
Afanye mazuri watu watamuunga mkono tusije tukafanya awamu endazake tena.
Hawa waliiba enzi ya Magu, Sasa mama ndio anayasanua
PhD za Geita ni shida, angalia na yule mbunge Musukuma, na yeye ana PhD. Kama mwendazakeYaani hapo maza anaongea na camala jicho kwa jicho,magu asingeweza,ndiyo maana alikua hatoki..nikikumbuka kule Uganda waandishi wanamuuliza swali,ye anaandika kwanza,Hadi musevenk akawa anaokoa jahazi,pale tulipigwa
Kabla ya kumpongeza kwa kile alichosema kwanza atuambie ni lini alifuta wazo la Katiba Mpya isubiri kwanza?... kwa Mh. Rais kugusia suala la Katiba Mpya ambayo ndio ajenda kuu ya Chadema kwa sasa; Mh. Mbowe, Bavicha, na Bawacha wanatakiwa wawe kwenye mapokezi ya Mh. Rais mara atakaporejea. Chadema wamuunge mkono Mh. Rais kwa kuonesha nia njema.
Duuh!
Kabla ya kumpongeza kwa kile alichosema kwanza atuambie ni lini alifuta wazo la Katiba Mpya isubiri kwanza?
Akishatoa jibu la hilo swali ndio aanzishe mchakato wa kutuletea ile rasimu ya Warioba, kwasababu ndio iliyobeba maoni ya watanzania, sio ile pendekezwa ya CCM.
Baada ya hapo ahakikishe anausimamia mchakato wa kutupa hiyo Katiba Mpya mpaka mwisho wake, ili usije kufia njiani kama ule wa "idol" wake, hapo ndio nitakuwa tayari kumpongeza.
Lakini sio kumpongeza kwa kusikia maneno matupu halafu akirudi asifanye kitu ndio tutaanza kujiona tulivyo wajinga, sitaki kuwa kwenye hilo kundi la kuchezewa akili kama watoto.
... Mkuu; kupongeza ni uungwana; akishupaza shingo ni aibu kwake wala sio kwa Chadema walioonesha nia njema ya kumuunga mkono.Kabla ya kumpongeza kwa kile alichosema kwanza atuambie ni lini alifuta wazo la Katiba Mpya isubiri kwanza?
Akishatoa jibu la hilo swali ndio aanzishe mchakato wa kutuletea ile rasimu ya Warioba, kwasababu ndio iliyobeba maoni ya watanzania, sio ile pendekezwa ya CCM.
Baada ya hapo ahakikishe anausimamia mchakato wa kutupa hiyo Katiba Mpya mpaka mwisho wake, ili usije kufia njiani kama ule wa "idol" wake, hapo ndio nitakuwa tayari kumpongeza.
Lakini sio kumpongeza kwa kusikia maneno matupu halafu akirudi asifanye kitu ndio tutaanza kujiona tulivyo wajinga, sitaki kuwa kwenye hilo kundi la kuchezewa akili kama watoto.
Itakuwa ametubu na kuahidi kutorudia tena😊Bila shaka kutokea sasa tutegemee misimamo mipya kuhusiana:
1. Katiba mpya.
2. Haki zetu zikiwamo za mikutano ya kisiasa.
3. Vita vya Ukraine na Urusi.
4. Nyimbo mpya kutoka kwa chawa wale wale.
Safari yenye fursa ya kulileta taifa pamoja, kwa hakika ni bora kuliko zozote zile.
Si tulikubaliana kutofungamana na upande wowote?Haipo siri kuwa safari ya mama Samia Marekani imekuwa ya mafanikio makubwa.
Hakuna shaka kuwa mazungumzo ya ana kwa ana (one to one) ya awaye yote (mwenye nia njema) na mama Samia huwa ni ya mafanikio makubwa.
View attachment 2189466
Kwa hakika mama Samia si wale wengine. Huyu ni msikivu na mwenye mawazo huru (open minded). Mungu atupe nini?
Bila shaka kutokea sasa tutegemee misimamo mipya kuhusiana:
1. Katiba mpya.
2. Haki zetu zikiwamo za mikutano ya kisiasa.
3. Vita vya Ukraine na Urusi.
4. Nyimbo mpya kutoka kwa chawa wale wale.
Safari yenye fursa ya kulileta taifa pamoja, kwa hakika ni bora kuliko zozote zile.
Mungu ibariki Tanzania
Wabunge wa ccm ni mapimbi Sana.Fao la Kujitoa NSSF kufutiliwa Mbali
Huuu ulikuwa ukatili mbaya sana ukibarikiwa na wabunge wote wa CCM
25 sio mbali ...
Wabunge wa ccm ni mapimbi Sana.
Wamuulize PutinKuna watu wenye akili za hovyo wanadhani mabeberu wanakwepeka!!!
Hawa watu walijipanga tokea karne nyingi.
JESUS IS LORD!
Si tulikubaliana kutofungamana na upande wowote?
Safari za USA kwa 'mabeberu' imetosha..
Sasa aende kwa ndugu zetu URUSI !
Agenda 3 mezani demokrasia #1. Mungu atupe nini?
Japo haikusemwa Ukraine haiwezi kukosekana hapo.
We, in Tanzania, have been following very closely that election because there — for the first time, there was a woman contesting for the vice president position. So, we were very inspired.
Aibu kaona kamala
TAARIFA KWA UMMA BAADA YA MKUTANO WA FARAGHA BAINA YA MH. RAIS HASSAN NA MAKAMU WA RAIS KAMALA D. HARRIS
Readout of Vice President Harris’s Meeting with President Hassan of Tanzania
APRIL 15, 2022
STATEMENTS AND RELEASES
Vice President Kamala Harris met today with President Samia Suluhu Hassan of Tanzania in Washington.
The Vice President underscored that the Biden-Harris Administration is committed to strengthening ties with Tanzania and with countries across Africa, based on the principles of mutual respect and equality.
The Vice President welcomed President Hassan’s efforts to strengthen democracy and human rights in Tanzania.
They reviewed a number of areas of cooperation in our bilateral relationship, including health, agriculture, and infrastructure.
The Vice President underscored the importance of our economic and commercial partnership, and discussed recent reforms and others needed to further strengthen our investment relationship.
The two leaders noted they are looking forward to the entry into force of an Open Skies Air Transport Agreement, which establishes a modern civil aviation relationship between the United States and Tanzania and agreed it will promote increased travel and trade and help spur economic growth.
They also welcomed nearly $1 billion of new investments by U.S. companies in Tanzania in tourism, conservation, and clean energy sectors.
The Vice President discussed our efforts to address the COVID-19 pandemic, including through Tanzania’s participation in the U.S.-led Global VAX Initiative, and our donation of nearly 4.9 million vaccine doses provided to Tanzania since the beginning of the pandemic. They discussed broader global health security and global health issues, including supporting women and children’s health.
Lastly, they discussed several regional and global issues of concern. The Vice President emphasized the importance of the world standing together in support of international rules and norms, including the sovereignty and territorial integrity of all nations.
The Vice President condemned Russia’s invasion of Ukraine and its ongoing brutal attacks against the people of Ukraine and noted there must be severe costs for Russia’s actions.
Source : Readout of Vice President Harris’s Meeting with President Hassan of Tanzania | The White House
Hii imeandikwa, maana yake aliyeandika alikua anajua hivyo.Ndimi huwa hazina mifupa mkuu. Mbona hata yule kiongozi alimtambua Saddam Hussein kama rais wa Kuwait tu?
Hii imeandikwa, maana yake aliyeandika alikua anajua hivyo.
Anyway,