The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Bila kusahau 👇Haipo siri kuwa safari ya mama Samia Marekani imekuwa ya mafanikio makubwa.
Hakuna shaka kuwa mazungumzo ya ana kwa ana (one to one) ya awaye yote (mwenye nia njema) na mama Samia huwa ni ya mafanikio makubwa.
View attachment 2189466
Kwa hakika mama Samia si wale wengine. Huyu ni msikivu na mwenye mawazo huru (open minded). Mungu atupe nini?
Bila shaka kutokea sasa tutegemee misimamo mipya kuhusiana:
1. Katiba mpya.
2. Haki zetu zikiwamo za mikutano ya kisiasa.
3. Vita vya Ukraine na Urusi.
4. Nyimbo mpya kutoka kwa chawa wale wale.
Safari yenye fursa ya kulileta taifa pamoja, kwa hakika ni bora kuliko zozote zile.
Mungu ibariki Tanzania
Hiyo formula kwenye ubepari Ina apply kila siku, ulishindwa kuapply hiyo formula kila siku basi utamezwa kwenye ulimwengu huu wa ubepari.Si kila siku na kwa kila kitu mkuu.
Kumbuka tuliambiwa chanjo ni upigaji sijui kama inafahamika hadi leo tumepigwa ngapi.
Waliyaona haya waswahili. Asili ya usemi huu:
"Mchagua nazi hupata koroma.'
Uliyosema ni sawa kabisa. Ni kama vile huku niliko ninavyojitahidi kuwaambia baada ya Rais Magufuli kufariki, ameapishwa rais mwingine. Jamaa hawaelewi kabisa! Wanasema nchi haina Rais hadi 2025 watakapopiga kura ya kuchagua Rais mwingine!!!! Yaani nimewaonesha hadi picha za ukutani jamaa hawakubali tu!!!Nasikia Makamu wa Rais wa Marekani alijua kwamba mwaka 2015/2020 nchi haikuwa na Rais, ilimchukua mama Samia saa nzima kumuelezea hali ilivyokuwa, hakuamini, ikabidi amuonyeshe picha na video.
Yeye alikuwa anajua JPM ni Waziri wa ujenzi,
Hiyo formula kwenye ubepari Ina apply kila siku, ulishindwa kuapply hiyo formula kila siku basi utamezwa kwenye ulimwengu huu wa ubepari.
uliambiwa chanjo ni upigaji? Hapa sijaelewa, maana pengine aliyekuambia aliongopa.
Turudi kwenye mada hasa hiyo chanjo. Unahisi wale big pharma wana ubinadamu ndio maana wameleta chanjo?
Mgogo mmoja alijaribu pale dodoma, alikutana na serikali nzimanzima mlangoni kwake, akaibukia juzi anachanja mbuziUliyosema ni sawa kabisa. Ni kama vile huku niliko ninavyojitahidi kuwaambia baada ya Rais Magufuli kufariki, ameapishwa rais mwingine. Jamaa hawaelewi kabisa! Wanasema nchi haina Rais hadi 2025 watakapopiga kura ya kuchagua Rais mwingine!!!! Yaani nimewaonesha hadi picha za kutani jamaa hawakubali tu!!!
Mama is a stooge. Sina shaka unaelewa maana yake.Mgogo mmoja alijaribu pale dodoma, alikutana na serikali nzimanzima mlangoni kwake, akaibukia juzi anachanja mbuzi
Kama maana yake haimtoi Urais Wala hainisumbui, hiyo ni mpaka 2030Mama is a stooge. Sina shaka unaelewa maana yake.
Kweli ni mpaka 2030 ila ishu atafikaje huko. JK aliupenda sana Urais 2005, lakini duru zinasema alitaka kuukimbia akaambiwa atulize boli hadi 2015 maana maji aliishayavulia,alitakiwa ayaoge tu hadi 2015.Kama maana yake haimtoi Urais Wala hainisumbui, hiyo ni mpaka 2030
CCM mara zote ina rejuvenateKweli ni mpaka 2030 ila ishu atafikaje huko. JK aliupenda sana Urais 2005, lakini duru zinasema alitaka kuukimbia akaambiwa atulize boli hadi 2015 maana maji aliishayavulia,alitakiwa ayaoge tu hadi 2015.
Kumbe hata Marekani Kuna wapumbavu, pia humuhumu nchini Kuna watu wanajua Nyerere ni rais.Nasikia Makamu wa Rais wa Marekani alijua kwamba mwaka 2015/2020 nchi haikuwa na Rais, ilimchukua mama Samia saa nzima kumuelezea hali ilivyokuwa, hakuamini, ikabidi amuonyeshe picha na video.
Yeye alikuwa anajua JPM ni Waziri wa ujenzi,
Mwafrika hela atoe wapi!?...mwafrika mwenye hela aliuawa kule Libya,hapo hatuoni ufahari Bali ni kuiba intellectually na uwezo wa kubeba hiyo nafasiHii mijitu ya Afrika ninayoona kuongea na mzungu ni Bora kuliko kuongea na mwafrika mweenzake sijui itaacha lini fikra za kitumwa
Alibariki kikwete na bado karudi madarakani. Sijui Nani atalirudisha.Fao la Kujitoa NSSF kufutiliwa Mbali
Huuu ulikuwa ukatili mbaya sana ukibarikiwa na wabunge wote wa CCM
25 sio mbali ...
Unatumia Tecno mkuu? Pole sanaKumbe hata Marekani Kuna wapumbavu, pia humuhumu nchini Kuna watu wanajua Nyerere ni rais.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Akitua Dar nitakuwepo Airport kumpokea mama yetu na maua ya waridi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nasikia Makamu wa Rais wa Marekani alijua kwamba mwaka 2015/2020 nchi haikuwa na Rais, ilimchukua mama Samia saa nzima kumuelezea hali ilivyokuwa, hakuamini, ikabidi amuonyeshe picha na video.
Yeye alikuwa anajua JPM ni Waziri wa ujenzi,