Yaani Joshua na Clemence wamefariki ila ni kama hakuna kilichotokea. Are we Hamas sympathisers?

Yaani Joshua na Clemence wamefariki ila ni kama hakuna kilichotokea. Are we Hamas sympathisers?

Samia na genge lake wamefurahia...
 
Hilo linchi lenye laana si mnaenda kutafuta laana, mijitu hiyo imelaaniwa...
naamini siku ukiambiwa na waraabu uwasaidie kuivamia tanzania hata kama hatuna hatia utawapa ushirikiano wakutosha. Alla akujhalie siku njema
 
Wewe ambaye hujalaaniwa umeleta mabadiliko gani chanya hapa duniani? Nchi yako na Israel ipi Ina impact kubwa katika kuboresha maisha ya watu hapa duniani? Machawa wengi went ni punguani wa head
Unataka nikupe mabadiliko chanya niliyoleta hapa nchini? Basi we utakuwa mgeni JF..
 
Madaktari bingwa duniani,mabingwa teknolojia,sayansi na mengi mazuri yanatoka kwao,je waweza sema wamelaaniwa?
Hayo hayandoi laana iliyoanza tangu enzi zile walipozururishwa miaka 40 jangwani.., na kutawanywa duniani kote..., maana uvamizi wa ardhi ya wenzako ni laana tu..
 
kiongoz unaona Bora utetee wapelestina lakin sio watanzania wenzio kweli mmeoshwa bongo zenu
Mi sitetei Palestina, issue ni kupora ardhi kwa mabavu, wameanza na palestine, kwsho wataenda kwingine, hayo mazayuni ni ya kukemea! Yana laana kali sana!
 
Inasikitisha kuwa ndugu zetu wamepatwa majanga katika mgogoro huo. Ila nimesikitishwa na judgement yako juu ya HAmas kuwa ni kundi la kigaidi. HAmas ya Sasa ni sawa na kina FLERIMO,ANC,TANU,KANU n.k

Ni watu. Wanaopambana kudai hai zao za msingi ktika ardhi ambayo wameishi karne na Karne. Leo hii wananyang'anganywa na kulazimishwa kuondoka! Labda utasema kuwa hao ni mayahudi na wao ndio wenye haki ya ardhi (kwa mujibu wa biblia/msahafu na historia za dini za Ibrahim) lakini tunapaswa tuangalie mahitaji ya Dunia ya sasa.

Je ni sahihi wazungu wate waliopo bara ya Amerika kusini na Kaskazini warudi Ulaya kwenye asii yao? Na wabaki wahindi wekundu? Au ni sahihi watu weusi waliopo huko warudi Afrika? Israeli ikubali kuwepo wa mataifa mawili na ndio suluhisho la kudumu. Wanachofanya HAmas ni matokeo ya chuki dhidi ya unyanyasaji,ukatili na uuaji wanaofanyiwa.

Mpunzike kwa amani kama mmefariki Joshua na Clemence na kama mko hai Mwenyezi Mungu awape uzima na usalama.

Amen

1. Mkuu umeandika vyema sana lakini wakuelewe vipi hawa (maddox, MK254, Mbaga Jr, na wenzao) wenye kudhani kila asiyekubaliana na mwisrael kuwa huyo atakuwa ni mwislamu tu?

2. Kwamba haki zinakuwa batili kama zinamhusu mwislamu?

3. Kwa mawazo yao hii ni vita ya dini.

4. Wanaeleweshwa vipi hao?

5. Ama kwa hakika ni bora kumwelewesha ngedere.
 
Mi sitetei Palestina, issue ni kupora ardhi kwa mabavu, wameanza na palestine, kwsho wataenda kwingine, hayo mazayuni ni ya kukemea! Yana laana kali sana!
mada mezani ni vijana wakitanzania kuawa na wakat sio wayahudi hata mionekano Yao sio kiyahudi ni ukatili wametendewa na hamasi
 
mada mezani ni vijana wakitanzania kuawa na wakat sio wayahudi hata mionekano Yao sio kiyahudi ni ukatili wametendewa na hamasi
Hamas ni gaidi, gaidi hana ndugu. Sisi tunaojifanya eti tuna undugu na Hamas yafaa tujue hilo. Hamas yuko tayari kuwatumia wapaletina wenzake kama ngao ya vita, atashindwa nini kumlipua mtz
 
Tunaishukuru sana israel kwa kuwapiga hawa magaidi, jana walionyesha wamewavua nguo zote, sasa sijui waliishia wapi. hawakuonyesha video ilikoishia. watajuana hukohuko.
 
Inasikitisha kuwa ndugu zetu wamepatwa majanga katika mgogoro huo. Ila nimesikitishwa na judgement yako juu ya HAmas kuwa ni kundi la kigaidi. HAmas ya Sasa ni sawa na kina FLERIMO,ANC,TANU,KANU n.k

Ni watu. Wanaopambana kudai hai zao za msingi ktika ardhi ambayo wameishi karne na Karne. Leo hii wananyang'anganywa na kulazimishwa kuondoka! Labda utasema kuwa hao ni mayahudi na wao ndio wenye haki ya ardhi (kwa mujibu wa biblia/msahafu na historia za dini za Ibrahim) lakini tunapaswa tuangalie mahitaji ya Dunia ya sasa.

Je ni sahihi wazungu wate waliopo bara ya Amerika kusini na Kaskazini warudi Ulaya kwenye asii yao? Na wabaki wahindi wekundu? Au ni sahihi watu weusi waliopo huko warudi Afrika? Israeli ikubali kuwepo wa mataifa mawili na ndio suluhisho la kudumu. Wanachofanya HAmas ni matokeo ya chuki dhidi ya unyanyasaji,ukatili na uuaji wanaofanyiwa.

Mpunzike kwa amani kama mmefariki Joshua na Clemence na kama mko hai Mwenyezi Mungu awape uzima na usalama.

Amen
KUDAI HAKI KWA KUWAITA WAYAHUDI WALOWEZI KWENYE ARDHI YA MABABU ZAO..
ISSUE ZA WAPIGANIA UHURU WA AFRIKA NI TOFAUTI..
NB: TATIZO LA WAARABU NA WAISLAMU NI UNAFIKI KUHUSU HISITORIA YA WAYAHUDI NA WAKRISTO.
 
mada mezani ni vijana wakitanzania kuawa na wakat sio wayahudi hata mionekano Yao sio kiyahudi ni ukatili wametendewa na hamasi
Nilikuwa najibu comment ya mdau ndani mada. Rejea comment niliyojibu
 
GBOoeMuW8AAyD1A.jpeg
GBUMqYgWgAAVJGs.jpeg
 
Moja ya sababu kubwa ya kuuawa kwao ni Ukristo.
Yeah waarabu na waislamu ajenda yao kubwa ni kuwaua wakrsto na wayahudi popote pale duniani..
Na kuwanyima fursa katika nchi zenye waislamu.
Mfano mzuri Indonesia......
Sema ndio hivyo hilo haliwezekani sababu mungu wa kiarabu allah hayupo na ni wa kufikirika.
NB: Qur'an 9:30
 
ISLAM AND MIARABU MINDSET KUHUSU WAYAHUDI NA WAKRSTO NA ARIDHI YA ASILI YA WAYAHUDI.
MTUTU WA BUNDUKI TU NDIO UNAWANYOOSHA
NB: WAMESAHAU BEIRUT 1982 SHARON NA IDF WALIWAFANYA NINI PLO.
Miyahudi hawana ardhi, ni majitu yenye laana, hata ushoga ulianzia kwa mayahudi ya USA
 
Back
Top Bottom