Yaani Joshua na Clemence wamefariki ila ni kama hakuna kilichotokea. Are we Hamas sympathisers?

Yaani Joshua na Clemence wamefariki ila ni kama hakuna kilichotokea. Are we Hamas sympathisers?

Kwa hiyo wangegundua je kuwa hao wa mataifa mengine ni wa mataifa mengine na si mapandikizi?

Kumbuka wamekutwa kwenye maeneo ya wizi au si kuwa mshikwa na ngozi ndiye mla nyama?
waliachia raia Tena wayahudi wenye passport za Russia bila ngenga Tena viongoz wa Qartar walienda Moscow kuongelea Hilo , hio heshima unaipata ukiwa hucheki na petty terrorists ,walishawahi kutumia mapumbu ya wazee wao kwenye bahasha kwa kuteka warusi as collateral sasa mapimbi hapa wamasai wametekwa na wameuawa ila yana sympathize with terrorists kwa sababu za kiimani yanahis yatapata dhambi kusema hamas wametoka boko kuua ndugu zao
 
Hilo sio tatizo ,bali tatizo lipo kwenu mlio jaa Unafiki zaidi ya shetani ,ambao mnajifanya kuumizwa na vifo vya watz wawili alafu wakati huo mnashangilia vifo vya maelfu wa watu wanao kufa bila sababu huko gaza.
hamas wanavuna walichokipanda hata sisi kama nchi tungekua superpower tungetuma jet fighter zetu kwenda kupay homage to our fallen comrades. ni vile tuko majalala kiaina bado tunapambana na systems za luku
 
waliachia raia Tena wayahudi wenye passport za Russia bila ngenga Tena viongoz wa Qartar walienda Moscow kuongelea Hilo , hio heshima unaipata ukiwa hucheki na petty terrorists ,walishawahi kutumia mapumbu ya wazee wao kwenye bahasha kwa kuteka warusi as collateral sasa mapimbi hapa wamasai wametekwa na wameuawa ila yana sympathize with terrorists kwa sababu za kiimani yanahis yatapata dhambi kusema hamas wametoka boko kuua ndugu zao

Hao siyo terrorists bali freedom fighters:

IMG_1567.jpg
 
Hapohapo Palestinian wanaomba eneo tz kuwekeza katika football da nizarau kubwa
 
Watu wana kufa kila siku hospitalini tu hangaike na mtu mmoja be serious
 
Nyerere alifanya vile kwakuwa alikuwa socialism na alikuwa anaonyesha kupinga chochote mabepari wanachokidapot, Leo hii Putin anamarafiki kibao waarabu anaonyesha upinzan flan lakin siyo kutoka moyon anapritend tuh.huwez ukazaliwa mkristo ,ukakulia ukristo still ukampinga myaud utakuwa unashida ya akili
Ndio maana mnaambiwa hamna akili kwanza aliye kwambia kuwa kuipinga Israel ni kuwapinga wayahudi ni nani?

Kwanza unacho takiwa ni kutofautisha kati ya watu wenye asili ya kiyahudi, dini ya kiyahudi, na taifa la Israel.

Si kila raia wa Israel ni myahudi na wala si kila mtu mwenye asili ya kiyahudi ni raia wa Israel , na si kila mwenye asili ya kiyahudi ana abudu kwenye dini ya kiyahudi.

Kwahiyo mtu akikosoa Tz basi anawapinga watu wenye asili ya Africa ?

Huo urokole wenu umewafanya kuwa wapumbavu na ndio maana wachungaji huwa wanawagongea wake zenu.
 
hamas wanavuna walichokipanda hata sisi kama nchi tungekua superpower tungetuma jet fighter zetu kwenda kupay homage to our fallen comrades. ni vile tuko majalala kiaina bado tunapambana na systems za luku
Basi na wao kilicho wapata ni mavuno ya wao kwenda kwenye nchi ambayo ime jaa migogoro wakati kuna mataifa kibao ambayo angeenda kujifunza.
 
Chawa wa Mama wamefurahia sana na kusherehekea
 
Hivi ilikuaje kuaje hadi hawa ndugu zetu wakajikuta wanakua wahanga wa ugomvi kati ya Israel na Palestine/Hamas? Je walikua ni miongoni mwa wale waliokutwa disco? Anyways hili liwe funzo kwa serikali kuwahusia vijana wanapopelekwa nje wafanye kilichowapeleka.
 
1. Alipenda haki na usawa hakuachana na ukristo na hatua za kumfanya mwenye heri zinasonga.

2. Kama yeye Mandela na Afrika Kusini inawatambua wapalestina na jitihada zao kama wapigania uhuru.

3. Mengine ni hadithi ila Palestina yuko sahihi kupambana na mwizi wake kama anavyoona yeye inafaa.
Wajinga,wapumbavu na maskini ndo waliona Yule alikuwa na haki na usawa uwezi ukaja na Sera na kuzuia mtu asimiliki kiwango flan cha fedha na ndo maana alifeli hazarani zile zilikuwa Sera za wasio na akili na nikuambie Tu ukwel Yule alikuwa hapendi watu wenye uelewa kuliko ye

2. Hao afrika kusini ni wajinga tuh kwamba wao ndo wanawapenda waraabu ,kuliko UAE,BAHRAIN AZERBAIJAN,MISRI NA WAKINA SAUD ambao wanataka kujiunga na mazayuni wale ni waraabu wenzao na waislamu wenzao

3.sawa kama anapambana na mwinzi wake waaachwe wa pambane sasa kwanini wafrika waingilie ambao hawana Masada wowote
 
Wewe huwe
Ndio maana mnaambiwa hamna akili kwanza aliye kwambia kuwa kuipinga Israel ni kuwapinga wayahudi ni nani?

Kwanza unacho takiwa ni kutofautisha kati ya watu wenye asili ya kiyahudi, dini ya kiyahudi, na taifa la Israel.

Si kila raia wa Israel ni myahudi na wala si kila mtu mwenye asili ya kiyahudi ni raia wa Israel , na si kila mwenye asili ya kiyahudi ana abudu kwenye dini ya kiyahudi.

Kwahiyo mtu akikosoa Tz basi anawapinga watu wenye asili ya Africa ?

Huo urokole wenu umewafanya kuwa wapumbavu na ndio maana wachungaji huwa wanawagongea wake zenu.
Mimi siwezi zungumzia uislam coz siufaham lakin ni mkristo na najua nachozungumza,wewe unajifanya uanajua mambo ya mashariki ya kati kuliko wa waraab wenyewe
 
Wajinga,wapumbavu na maskini ndo waliona Yule alikuwa na haki na usawa uwezi ukaja na Sera na kuzuia mtu asimiliki kiwango flan cha fedha na ndo maana alifeli hazarani zile zilikuwa Sera za wasio na akili na nikuambie Tu ukwel Yule alikuwa hapendi watu wenye uelewa kuliko ye

2. Hao afrika kusini ni wajinga tuh kwamba wao ndo wanawapenda waraabu ,kuliko UAE,BAHRAIN AZERBAIJAN,MISRI NA WAKINA SAUD ambao wanataka kujiunga na mazayuni wale ni waraabu wenzao na waislamu wenzao

3.sawa kama anapambana na mwinzi wake waaachwe wa pambane sasa kwanini wafrika waingilie ambao hawana Masada wowote

1. Kwamba watu wote na heshima zao ni wajinga isipokuwa wewe au ninyi mnaotofautiana nao?

FpKL8ABWcAANyqU.jpeg


2. Kwamba Nyerere mjinga, Mandela mjinga, Afrika Kusini kama taifa wajinga isipokuwa wewe?

3. Kwani wewe una achievement gani labda hao wangekuja kujifunza kwako au kwenu?

4. Unadhani Nobel prize ni sawa na tuzo za BASATA?

5. Si kuwa kumbe wewe labda tujadili yale mambo yetu ya dawa dawa za kienyeji tu?
 
Hivi ilikuaje kuaje hadi hawa ndugu zetu wakajikuta wanakua wahanga wa ugomvi kati ya Israel na Palestine/Hamas? Je walikua ni miongoni mwa wale waliokutwa disco? Anyways hili liwe funzo kwa serikali kuwahusia vijana wanapopelekwa nje wafanye kilichowapeleka.

1. Mkuu wahanga wa Oct 7 si wote walikuwa disco.

2. Kumbuka kuna wababu na wa bibi wa miaka 80+, watoto miaka 3 na hata miezi 8.

3. Wapo hata waliokuwa wamelala majumbani mwao.

4. Zaidi sana tatizo si kuwa disco bali kuwa mahali siyo kwenye muda siyo.

5. Ingeweza wakuta kanisani, msikitini, sokoni, darasani nk.

Hivyo mkuu ushauri wako hauna mashiko na hasa ukizingatia disco si haramu.
 
Mkuu marekebisho tafadhali ila si kwa ubaya:

1. Pana mateka waliripotiwa kufa wakawa wazima; tusubiri hata hao wenzetu wanaweza kuwa wangalipo.

2. Israel anarusha makombora bila kujali kuna wengi wasio na hatia Gaza wakiwamo mateka tokea Oct 7 kwenye eneo dogo kuliko dar na kila siku; kwa nini hudhani huyu katuulia pia ndugu zetu kwenye huu wendawazimu wake?

3. Israel ameanza kujaza maji kwenye mahandaki bila kujali ndugu za wahanga sisi tunasema je; ana uchungu gani na ndugu zetu huyu?

4. Oct. 7 akiwa kwenye mtafaruku na HAMAS Israel aliuwa watu hovyo; hata aliouwa Israel lawama ni Kwa HAMAS?

Inauma ila Israel hawezi kujivua lawama.

Wapumzike kwa amani kama wametangulia ila Israel ana kesi ya kujibu.

wengine tulikua tunauliza idf analipua mabovu akiwalenga kina nani majibu hayapatikani, maana mtu mwenye akili timamu huwezi lipua hovyo hovyo wakati hujui mateka wapo wapi,

Na kukazia 7 oct, raia waliouwawa pale israel ilikua kwa ushirikiano wa hamas na jeshi la israel idf kwa maana pande zote ziliua raia

Na kwa uongo uliokithiri wa idf kufahamu hawa watz wenzetu wameaga vipi dunia ni ngumu
 
Back
Top Bottom