ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
waliachia raia Tena wayahudi wenye passport za Russia bila ngenga Tena viongoz wa Qartar walienda Moscow kuongelea Hilo , hio heshima unaipata ukiwa hucheki na petty terrorists ,walishawahi kutumia mapumbu ya wazee wao kwenye bahasha kwa kuteka warusi as collateral sasa mapimbi hapa wamasai wametekwa na wameuawa ila yana sympathize with terrorists kwa sababu za kiimani yanahis yatapata dhambi kusema hamas wametoka boko kuua ndugu zaoKwa hiyo wangegundua je kuwa hao wa mataifa mengine ni wa mataifa mengine na si mapandikizi?
Kumbuka wamekutwa kwenye maeneo ya wizi au si kuwa mshikwa na ngozi ndiye mla nyama?