GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mbunge wa "ZAMANI" hiyo tu inatosha...Mbunge wa zamani wa Viti Maalum kupitia Chadema ambaye sasa amehamia CCM, Upendo Peneza amesema kabla hajama chama hicho, aliomba ushauri kwa Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf na pia alifunga na kuomba kabla hajatimiza uamuzi huo.
Chanzo: @MwananchiNews
Ngoja nami GENTAMYCINE sasa nimuombe Mungu anichagulie Mwanamke sahihi Kwangu ili niuage rasmi Ukapera!!!!
Kachukue hakohako Kabanyamulenge katakufundisha kufunga na kuomba! Pia utapata koneksheni ya Rais Mstaafu wa Liberia!Mbunge wa zamani wa Viti Maalum kupitia Chadema ambaye sasa amehamia CCM, Upendo Peneza amesema kabla hajama chama hicho, aliomba ushauri kwa Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf na pia alifunga na kuomba kabla hajatimiza uamuzi huo.
Chanzo: @MwananchiNews
Ngoja nami GENTAMYCINE sasa nimuombe Mungu anichagulie Mwanamke sahihi Kwangu ili niuage rasmi Ukapera!!!!
Tangu lini mkurya muhuni kama wewe unaweza kumpataMbunge wa zamani wa Viti Maalum kupitia Chadema ambaye sasa amehamia CCM, Upendo Peneza amesema kabla hajama chama hicho, aliomba ushauri kwa Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf na pia alifunga na kuomba kabla hajatimiza uamuzi huo.
Chanzo: @MwananchiNews
Ngoja nami GENTAMYCINE sasa nimuombe Mungu anichagulie Mwanamke sahihi Kwangu ili niuage rasmi Ukapera!!!!
Huyu mbuzi nilikuaga namuona wa maana ila tangu ahamie ccm amekua kondoo kabisaMbunge wa zamani wa Viti Maalum kupitia Chadema ambaye sasa amehamia CCM, Upendo Peneza amesema kabla hajama chama hicho, aliomba ushauri kwa Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf na pia alifunga na kuomba kabla hajatimiza uamuzi huo.
Chanzo: @MwananchiNews
Ngoja nami GENTAMYCINE sasa nimuombe Mungu anichagulie Mwanamke sahihi Kwangu ili niuage rasmi Ukapera!!!!
Huyo Peneza anahangaishwa na njaa tu hana uzalendo wowote ule.Kachukue hakohako Kabanyamulenge katakufundisha kufunga na kuomba! Pia utapata koneksheni ya Rais Mstaafu wa Liberia!
Nakuunga mkono ndugu yangu Peneza amekuwa mtembeza tumbo huku akiwa amebeba kapu la kashifa Kwa viongozi wa CDM utadhani wakati yupo CDM kilikuwa na viongozi wengine tofauti na waliopo sasa.Huyu mbuzi nilikuaga namuona wa maana ila tangu ahamie ccm amekua kondoo kabisa
Binti mdogo anaanza uchawi mapema, akizeeka sijui atakuajeNakuunga mkono ndugu yangu Peneza amekuwa mtembeza tumbo huku akiwa amebeba kapu la kashifa Kwa viongozi wa CDM utadhani wakati yupo CDM kilikuwa na viongozi wengine tofauti na waliopo sasa.
Hapo anataka uteuzi na siyo kwamba ameenda CCM kutumikia wananchi ameenda kutafuta fursaMbunge wa zamani wa Viti Maalum kupitia Chadema ambaye sasa amehamia CCM, Upendo Peneza amesema kabla hajama chama hicho, aliomba ushauri kwa Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf na pia alifunga na kuomba kabla hajatimiza uamuzi huo.
Chanzo: @MwananchiNews
Ngoja nami GENTAMYCINE sasa nimuombe Mungu anichagulie Mwanamke sahihi Kwangu ili niuage rasmi Ukapera!!!!
ukimjibu mpumbavu nawe utaonekana mpumbavu zaidiNafurahi CHADEMA hawamjibu chochote wapo kimya
maombi yako yaambatane na historia ya kufunua na kufunika, kuwafanya wenzie mafungu ya nyanya ile nawe kutunguu kikuhusuMbunge wa zamani wa Viti Maalum kupitia Chadema ambaye sasa amehamia CCM, Upendo Peneza amesema kabla hajama chama hicho, aliomba ushauri kwa Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf na pia alifunga na kuomba kabla hajatimiza uamuzi huo.
Chanzo: @MwananchiNews
Ngoja nami GENTAMYCINE sasa nimuombe Mungu anichagulie Mwanamke sahihi Kwangu ili niuage rasmi Ukapera!!!!
Najua Mungu atasikia maombi yako kwa kuwa anasikia vyote, ila hapo kwenye kujibiwa sasa ndiyo ngoma nzito 😂😂Ngoja nami GENTAMYCINE sasa nimuombe Mungu anichagulie Mwanamke sahihi Kwangu ili niuage rasmi Ukapera!!!!
Chukua yule alikuwa Mbunge wa Kawe awe mke utanishukuru baadaeMbunge wa zamani wa Viti Maalum kupitia Chadema ambaye sasa amehamia CCM, Upendo Peneza amesema kabla hajama chama hicho, aliomba ushauri kwa Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf na pia alifunga na kuomba kabla hajatimiza uamuzi huo.
Chanzo: @MwananchiNews
Ngoja nami GENTAMYCINE sasa nimuombe Mungu anichagulie Mwanamke sahihi Kwangu ili niuage rasmi Ukapera!!!!
Hana lolote huyo ni MALAYA wa kisiasa kama malaya wengine kina HALIMAMbunge wa zamani wa Viti Maalum kupitia Chadema ambaye sasa amehamia CCM, Upendo Peneza amesema kabla hajama chama hicho, aliomba ushauri kwa Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf na pia alifunga na kuomba kabla hajatimiza uamuzi huo.
Chanzo: @MwananchiNews
Ngoja nami GENTAMYCINE sasa nimuombe Mungu anichagulie Mwanamke sahihi Kwangu ili niuage rasmi Ukapera!!!!
Huyo Peneza anahangaishwa na njaa tu hana uzalendo wowote ule.
Mbona wakati yupo CDM hatukuwahi kumsikia akiikosoa CDM kama anavyofanya MH Lissu?