Yaani kuhamia CCM kutoka uliko ni mpaka umuombe Mungu? Tumpumzishe Mwenyezi Mungu kwa Unafiki wetu uliojificha

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mbunge wa zamani wa Viti Maalum kupitia Chadema ambaye sasa amehamia CCM, Upendo Peneza amesema kabla hajama chama hicho, aliomba ushauri kwa Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf na pia alifunga na kuomba kabla hajatimiza uamuzi huo.

Chanzo: @MwananchiNews

Ngoja nami GENTAMYCINE sasa nimuombe Mungu anichagulie Mwanamke sahihi Kwangu ili niuage rasmi Ukapera!!!!
 
Mbunge wa "ZAMANI" hiyo tu inatosha...
 
Kachukue hakohako Kabanyamulenge katakufundisha kufunga na kuomba! Pia utapata koneksheni ya Rais Mstaafu wa Liberia!
 
Tangu lini mkurya muhuni kama wewe unaweza kumpata
mke?
Labda naye awe kichaa kama wewe ndiyo mtawezana
 
Huyu mbuzi nilikuaga namuona wa maana ila tangu ahamie ccm amekua kondoo kabisa
 
Hapo anataka uteuzi na siyo kwamba ameenda CCM kutumikia wananchi ameenda kutafuta fursa
 
maombi yako yaambatane na historia ya kufunua na kufunika, kuwafanya wenzie mafungu ya nyanya ile nawe kutunguu kikuhusu
 
Chukua yule alikuwa Mbunge wa Kawe awe mke utanishukuru baadae
 
Hana lolote huyo ni MALAYA wa kisiasa kama malaya wengine kina HALIMA
 
Huyo Peneza anahangaishwa na njaa tu hana uzalendo wowote ule.

Mbona wakati yupo CDM hatukuwahi kumsikia akiikosoa CDM kama anavyofanya MH Lissu?

..ananishangaza kidogo.

..analalamika Chadema kuna matumizi mabaya ya fedha.

..sasa Ccm alikohamia kuna matumizi mabaya ya fedha kuliko Chadema.

..tatizo waandishi wetu wa habari hawana weledi wa kuwahoji wanasiasa wanaojitokeza ktk vyombo vya habari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…