Yaani kuhamia CCM kutoka uliko ni mpaka umuombe Mungu? Tumpumzishe Mwenyezi Mungu kwa Unafiki wetu uliojificha

Yaani kuhamia CCM kutoka uliko ni mpaka umuombe Mungu? Tumpumzishe Mwenyezi Mungu kwa Unafiki wetu uliojificha

Mpaka alikuwa analia kwamba ccm walikuwa wanawatuhumu kwamba wanaliwa na viongozi wa chadema.Huenda sasa akasema ilikuwa kweli maana njaa mbaya.

..Upendo anatuhumiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na kiongozi mmoja wa Ccm.

..Ccm wana pesa nyingi mno za kuhonga mpinzani yeyote anayewapa shida.

..kwa maisha ya ukata ya wapinzani, na ukosefu wa muamko miongoni mwa Watanzania, sio rahisi kwa mpinzani kusimamia misimamo yake kwa muda mrefu.

..madai ya mfumo wa siasa za haki, na kuandikwa kwa katiba mpya, ni ya muda mrefu kuliko kifungo alichotumikia Mzee Mandela.
 
Mbunge wa zamani wa Viti Maalum kupitia Chadema ambaye sasa amehamia CCM, Upendo Peneza amesema kabla hajama chama hicho, aliomba ushauri kwa Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf na pia alifunga na kuomba kabla hajatimiza uamuzi huo.

Chanzo: @MwananchiNews

Ngoja nami GENTAMYCINE sasa nimuombe Mungu anichagulie Mwanamke sahihi Kwangu ili niuage rasmi Ukapera!!!!
Upendo Peneza ana dalili zote za mtu mwenye mfadhaiko wa akili,Upendo yule aliyekuwa mjenga hoja mzuri bungeni Upendo aliyekuwa uwezo mkubwa wa kujieleza na kushawishi leo hii amekuwa mtu wa kusahau hata neno alilosema jana yake. Nafikiri aliahidiwa mambo makubwa naye akaamini akaanza kujenga gorofa hewani sasa kang'amua kuwa alipangwa tu ndiyo amefikia kutoa kauli za kutatanisha. Asaidiwe ushauri nasaha.
 
Mbunge wa zamani wa Viti Maalum kupitia Chadema ambaye sasa amehamia CCM, Upendo Peneza amesema kabla hajama chama hicho, aliomba ushauri kwa Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf na pia alifunga na kuomba kabla hajatimiza uamuzi huo.

Chanzo: @MwananchiNews

Ngoja nami GENTAMYCINE sasa nimuombe Mungu anichagulie Mwanamke sahihi Kwangu ili niuage rasmi Ukapera!!!!
🤣 🤣 🤣
 
Upendo Peneza ana dalili zote za mtu mwenye mfadhaiko wa akili,Upendo yule aliyekuwa mjenga hoja mzuri bungeni Upendo aliyekuwa uwezo mkubwa wa kujieleza na kushawishi leo hii amekuwa mtu wa kusahau hata neno alilosema jana yake. Nafikiri aliahidiwa mambo makubwa naye akaamini akaanza kujenga gorofa hewani sasa kang'amua kuwa alipangwa tu ndiyo amefikia kutoa kauli za kutatanisha. Asaidiwe ushauri nasaha.
✍️📝👍👌👏🤝🙏
 
Nakuunga mkono ndugu yangu Peneza amekuwa mtembeza tumbo huku akiwa amebeba kapu la kashifa Kwa viongozi wa CDM utadhani wakati yupo CDM kilikuwa na viongozi wengine tofauti na waliopo sasa.
Njaa wewe yako huioni!
 
Mbunge wa zamani wa Viti Maalum kupitia Chadema ambaye sasa amehamia CCM, Upendo Peneza amesema kabla hajama chama hicho, aliomba ushauri kwa Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf na pia alifunga na kuomba kabla hajatimiza uamuzi huo.

Chanzo: @MwananchiNews

Ngoja nami GENTAMYCINE sasa nimuombe Mungu anichagulie Mwanamke sahihi Kwangu ili niuage rasmi Ukapera!!!!

Watu wanatafuta fursa mzee, siasa kwa Afrika ni ajira inayohitaji kupepeta mdomo tu....

Miaka 2 ijayo usishangae kala uteuzi
 
Mbunge wa zamani wa Viti Maalum kupitia Chadema ambaye sasa amehamia CCM, Upendo Peneza amesema kabla hajama chama hicho, aliomba ushauri kwa Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf na pia alifunga na kuomba kabla hajatimiza uamuzi huo.

Chanzo: @MwananchiNews

Ngoja nami GENTAMYCINE sasa nimuombe Mungu anichagulie Mwanamke sahihi Kwangu ili niuage rasmi Ukapera!!!!
Hivi ni covid 19 inachukua uhamisho wa kudumu ama ni mafua ya kawaida 😁
 
Huo ni mwanzo tuu, utayasikia mengi mwaka huu.

Jiandae kisaikolojia.

Yes ukikaribia uchaguzi lazima "sisi-im" waajiri wapinzani kuichafua CDM...Dr Marcosy na peneza wapo kwenye project hizo ,walipita wengi sana lakini bado upinzani ulibakia imara.

Lipumba mwenyeketi wa CUF zaidi ya miaka 20 lakini hawamzungumzii hata kidogo wao wapo na Mbowe tu.......Wanachoshindwa kutambua ni kwamba CDM ipo imara kwasababu ya Uongozi mzuri wa Mbowe ,ona CUF ilivyovurugika..........Kama Mbowe angekuwa na tatizo kwa shuruba zilizopitia ingekuwa ishasambaratika ..kwahiyo sisiemu washaonaona ili CDM ife lazima Mbowe aondoke kwanza...Nawashauri CDM wasije kujichanganya kucheza mziki wa "sisiemu" wa kumuondoa Mbowe.
 
Mbunge wa zamani wa Viti Maalum kupitia Chadema ambaye sasa amehamia CCM, Upendo Peneza amesema kabla hajama chama hicho, aliomba ushauri kwa Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf na pia alifunga na kuomba kabla hajatimiza uamuzi huo.

Chanzo: @MwananchiNews

Ngoja nami GENTAMYCINE sasa nimuombe Mungu anichagulie Mwanamke sahihi Kwangu ili niuage rasmi Ukapera!!!!
Hv ukiingia CCM, una kuwa kichaa, unaanza kuwaza kama, mpuuzi, badala, ya, kutumia ubongo, unatumia makalio?
 
Back
Top Bottom