Hizi ulizoandika hapa wewe ndio propagandaBora amekataa fedha chafu za uarabuni. Mwarabu anakuchukua sio lengo la mpira Bali kuitangaza dini yake na kutengeneza propaganda dhidi ya Ukristu. Wakifika huko wanawalazimisha kufuata Mila zao ikiwepo kuvaa makanzu, watawatumia kwenye matangazo mbalimbali na kutengeneza propaganda kuwa wameslimu. Ronaldo anaonja joto ya jiwe huko
😳Una uhakika kua ligi ya USA team hua zinashuka daraja?
USA hakuna kushuka daraja hata ukiwa wa mwisho,msiwe mnarukia vitu msivyovijua na kukimbilia kuanzisha thd JF.
HazishukiKwani USA timu hua zinashuka daraja?
Wakuu mimi pia nimevutiwa kujua inakuwaje timu hazishuki daraja huko USA wanaendeshaje ligi yao? Mwenye kujua anipe elimu kidogo
Wakuu mimi pia nimevutiwa kujua inakuwaje timu hazishuki daraja huko USA wanaendeshaje ligi yao? Mwenye kujua anipe elimu kidogo
Ni kama CR7 alivyorudi Manchester na alivyoondika,bila shaka anajuta kwanini alirudi coz kuondoka kwake haikua kwa amani kati yake na kocha wake hapo Trafford.Mosi, Messi kashashinda kila kitu, hivyo kurudi kwake kama mvhezaji Barca isingekuwa challenge mpya...
Pili, experience yake ya mwisho na Barca haikuwa nzuri na hiyo imempelekea kuwatosa kirahisi...
Tatu, namna Barca wanavyocheza kwa sasa na performance yao, ingekuwa ni miyeyusho tu na pengine kufuta mazuri yote aliyokwisha yafanya hapo Barca...