Mr Leo
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 604
- 1,269
Hizi ulizoandika hapa wewe ndio propagandaBora amekataa fedha chafu za uarabuni. Mwarabu anakuchukua sio lengo la mpira Bali kuitangaza dini yake na kutengeneza propaganda dhidi ya Ukristu. Wakifika huko wanawalazimisha kufuata Mila zao ikiwepo kuvaa makanzu, watawatumia kwenye matangazo mbalimbali na kutengeneza propaganda kuwa wameslimu. Ronaldo anaonja joto ya jiwe huko