Kama imekuuma, achana na hiyo timu. Kwani umelazimishwa?! Hamia isiyohonga. Mtibwa Manungu anafungwa hadi na wachovu. Taifa na Simba kafungwa tano bila. Hizo tatu za jana ni chache sana. Ilitakiwa zifike hata sita, ili kelele zipasue makoo yenu!
Kama imekuuma, achana na hiyo timu. Kwani umelazimishwa?! Hamia isiyohonga. Mtibwa Manungu anafungwa hadi na wachovu. Taifa na Simba kafungwa tano bila. Hizo tatu za jana ni chache sana. Ilitakiwa zifike hata sita, ili kelele zipasue makoo yenu!