Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Inashangaza sanaaa!Najaribu tu kuwaza kwa sauti Mtu umefunga lakini unapata muda na shauku ya kwenda kutafuta wanaopika na kula?...
Mimi nilitaka ukifunga funga kwa kumaanisha usishinde njaa kisa sifaAstaghafirullah wewe ulitakaje mukubwa
Mimi nilitaka ukifunga funga kwa kumaanisha usishinde njaa kisa watu afu kwenda kutafuta chakula cha watu wanaokulaAstaghafirullah wewe ulitakaje mukubwa
hatarInashangaza sanaaa!
hakika,, wanafanya vitu ili waonekaneHawa ndiyo wale mafarisayo aliwazungumzia Yesu?
mmhHii deen ni shida hapa duniani
Yaani mungu wao anasaidiwa na Mwanadamu kuadhibu watu duu, ni nomaaahatar
Allah hajiwezi anapiganiwaYaani mungu wao ansaidiwa na Mwanadamu kutoa kuadhibu watu duu, ni nomaaa
Sometimes tunazidiwa akili hata na Mbayuwayu....Allah hajiwezi anapiganiwa
Wako confusedNi upumbavu kumbagua mtu kidini wengine wamechanganyika kama briham diaz baba mmoroco mama spaniola catholic ile ile sasa sisi wApumbavu na wajingaa ambayo tunapigana haileti ustwai mzuri wa nchi hao jamaa hawajuagi? Sijui wanajua naturality yao ni bara through slave trade bagamoyo tabora wanzanzibari halisi ni fresh from bara. Biashara ya utumwa wakazaliana na arabic wanamdharau nweusi mwenzao shem on them