Yaani umefunga halafu unaenda kutafuta wanaopika na kula? Inawezekana Mungu huwa anacheka sana akiangalia haya maigizo

Ile dini ya Kipumbavu ilioshushiwa kitabu na Majini, wengi wao hawajui hata wanaabudu nini zaid ya kutupia magauni na kushinda njaa.

Nashauri Zanzibar waachwe tu wawafuate Mabwana zao Warabu, huwezi vunja hiyo ndoa ya Utumwa.
Maneno makali
 
Hizo ni fujo tu, Mungu hayuko kwenye ushenzi huo wa dini. Dini zingine ni ujinga mtupu ayojitungia mtu kuwa anamuabudu mungu kumbe ni akili zake tu za kijinga. Mungu gani anakataza watu kula mchana? Funga hufanyika sirini na Mungu huona huko na sio hii ya kushurutisha watu wafunge bila kupenda
 
Mtu akifunga anatakiwa akae ndani au barazani anaperuzi kitabu chake cha dini kwa tafakari huku anafanya toba.Huo muda wa kutafuta harufu ya wanaopika misosi anautoa wapi?Tabia hiyo ni mbaya na ni maigizo ya hali ya juu.
 
Hii deen ni shida hapa duniani
Shida sio dini shida ni hao watu wanaotaka kujisafisha mbele za watu afu kama unguja wametoka wanazuoni wengi tu ambao wanafundisha mambo mazuri ya bwana mtume Mohammad S. A. W ila hawataki kuwasikiliza mafundisho. Naweza kusema zanzibar waislamu wapo wazuri na wapo wa hovyo tena hovyo kabisa
 
Hiyo funga inabadilishwa ratiba ya kula tu tena kwa lazima na sio hiyari.

Nilishangaa yule kamanda wa polisi anasema wameshakamata watu 12 wanasubiri kuwafikisha mahakamani sasa najiuliza watahukumiwa kwa sheria zipi?
 
Hiyo funga inabadilishwa ratiba ya kula tu tena kwa lazima na sio hiyari.

Nilishangaa yule kamanda wa polisi anasema wameshakamata watu 12 wanasubiri kuwafikisha mahakamani sasa najiuliza watahukumiwa kwa sheria zipi?
Naamini hakimu atawauliza..."kwa nini mlikua chakula?.Hamjui kula ni dhambi?"...😂😂😂😂
 
Watu wa aina hiyo ni wale wanafunga kwa hasira na siyo kwa takwa lao kutoka moyoni mwao, mfano ni kama wale walio choma sindano za corona na wale ambao hawakuchoma,beef lilikua kali sana na kila mtu akimlaumu mwenzake kabugi!!
 
Mimi nilitaka ukifunga funga kwa kumaanisha usishinde njaa kisa watu afu kwenda kutafuta chakula cha watu wanaokula
Ngoja na mimi ni organise kundi langu la wanaume tulio kwenye ndoa tukawachape wale Jamaa wa kataa ndoa wa humu na huko nje!! Kila mtu alinde chake!!
 
ni kitu cha ajabu sana. sidhani kama unakuwa umefunga kweli na ukiwakuta wasio waislam wanakula, unawapiga viboko, ukiamini mungu wako amekuelekeza ufanye hivyo. sisi tusio waislam tufunge ramadhani kitu gani icho? na kama ninyi mmefunga, sisi hatujafunga, ninyi ni nani kutuambia sisi tusile? na kama mnachapa hadi wakristo viboko, tuseme hiyo dini yenu ni ya amani kweli?
 
Hahaha mbona wafia hiyo dini wamepotea kabisaa hawataki tena tetea ujinga wa ndugu zao au wako busy kupiga watu wanaokula mchana
Wanataka watu wale usiku kama muhanga..
 
mkuu haya mambo ni balaa ndio yaliyoimegasha Sudan kutoka Sudan mbili
 
Umemaliza mkuu, shida hayo majinga yatakuelewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…