Robertinho aliwahi kusema hamtaki Chama? Tusaidie takwimu za workrate ya Ntibazonkiza. Sakho misimu yote miwili kafunga 9goals premier league. Bocco kacheza dk ngapi NBC premier league na kufunga goli ngapi?Nikiangaliaga wachambuzi wa bongo huwa nasema wanawezaje kuitwa hivyo?
Utamuelewa wakati ukifikaHuyu jamaa hata simuelewi
Mkuu nani anafata maana mtililiko wako kama unajua yupi anakuja kwa muda huuMawinga tayari wamesajiliwa na kutangazwa kama nilivyosema. Winga Onana, winga Kramo
Beki kisikiMkuu nani anafata maana mtililiko wako kama unajua yupi anakuja kwa muda huu
Ameenda wapi?Naona na Joash Onyango Achieng kamkimbia Malone. Hii inatuongezea option ya kumsajili Fabrice Ngoma
Singida Fountain GateAmeenda wapi?
e ni kubwa kuliko ya Onyango?Naona na Joash Onyango Achieng kamkimbia Malone. Hii inatuongezea option ya kumsajili Fabrice Ngoma
Hakuwahi kusema kwa maneno, ila amewahi kusema kwa vitendo.Robertinho aliwahi kusema hamtaki Chama? Tusaidie takwimu za workrate ya Ntibazonkiza. Sakho misimu yote miwili kafunga 9goals premier league. Bocco kacheza dk ngapi NBC premier league na kufunga goli ngapi?Nikiangaliaga wachambuzi wa bongo huwa nasema wanawezaje kuitwa hivyo?
Onyango tayari huko, bado Banda & Sakho. Pole pole tu tutaelewanaAcha kulisha watu maneno..kila mtu..kila mtu watu gani? Kama hufahamu kitu ni bora ukae kimya
Hawa inabidi waondokeOnyango tayari huko, bado Banda & Sakho. Pole pole tu tutaelewana
Sakho anakwenda Ulaya au timu kubwa Afrika.Onyango tayari huko, bado Banda & Sakho. Pole pole tu tutaelewana
NdiyoIna maana Malone workrate yak
e ni kubwa kuliko ya Onyango?
Sawa..kwenye uchambuzi wako ulisema Sakho hana impact..je mchezaji asiye na impact mbona anatakiwa na timu kubwa..Banda aliathirika na majeruhi...Onyango ni yeye mwenyewe tu amejistukia ila Simba kwa maana ya uongozi bado ulioana bado anafaa kama ilivyo kwa Bocco.Onyango tayari huko, bado Banda & Sakho. Pole pole tu tutaelewana
SherrifNa Banda kuna uwezekano mkubwa akauzwa ulaya
Habibu Kiyombo no bora mara 10 kuliko Bocco. Nasikia atakwenda Singida. Kwa vyovyote hao Singida wamepata bonge ya mchezaji. Nina hakika Bocco hatakiwa popote katika timu za premier hapa TZ.Awaachie wengine akina nani?!..maana nafasi yake inatakiwa ichukuliwe na mzawa..mtaje anaemzidi
Ongea kwa takwimu tuoneHabibu Kiyombo no bora mara 10 kuliko Bocco. Nasikia atakwenda Singida. Kwa vyovyote hao Singida wamepata bonge ya mchezaji. Nina hakika Bocco hatakiwa popote katika timu za premier hapa TZ.