Muulize mdaka mishale atakupa taarifaNaomba Kuuliza Hivi Simba Sc Kwa Sasa inajishughulisha Na Nini Nchini Tanzania..? [emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize mdaka mishale atakupa taarifaNaomba Kuuliza Hivi Simba Sc Kwa Sasa inajishughulisha Na Nini Nchini Tanzania..? [emoji28]
Wewe utakuwa kwenye kamati tendaji ya klabu! Halafu unatoa tu hadharani siri za kambi.Niko hapa kuthibitisha kuwa Victor Akpan, Ismail Sawadogo na Mohamed Ouattara wameachwa rasmi Simba
Hapana mkuuWewe utakuwa kwenye kamati tendaji ya klabu! Halafu unatoa tu hadharani siri za kambi.
Yaani huna tofauti na Baba wa Taifa enzi hizo!! Alikuwa anamiliki luninga pale magogoni! Halafu anakuja kulihutubia Taifa kuhusu matukio yatakayo tokea duniani. Kumbe alishayaona tayari.
Hongera Mkuu nahisi wewe ni Mo au Ngungu [emoji16][emoji28]Kichwa cha habari chahusika. Baada ya kusuasua kwa misimu miwili ni dhahiri sasa kuna mabadiliko yafuatayo yatafanyika Simba SC:
1. Fred Nganjiro (Vunjabei) hataendelea kuwa kit supplier wa Simba. Itapewa kampuni ya nje ya nchi (hasa Afrika kusini) au ndugu yetu mmoja atachukua tender.
2. Baadhi ya wachezaji watapewa mkono wa kwaheri na wengine kupelekwa kwa mkopo.
Wachezaji: Jonas Mkude, Habib Kyombo, Augustine Okra, Nassoro Kapama, Victor Akpan, Nelson Okwa, Mohamed Outara, Gadiel Michael, Beno Kakolanya, Ismail Sawadogo na pengine Peter Banda wataoneshwa mlango wa kutokea.
3. Watasajiliwa wachezaji katika nafasi zifuatazo: Golikipa, Beki wa kati Viungo wakabaji , Kiungo Mshambuliaji , Mawinga, Beki wa kushoto na (Striker).
4. Mchua misuli (Fareed Casem) na kocha wa viungo(Kelvin Mandra)wataondoshwa.
5. Mo atahusika kwa ukaribu na usajili.
6. Kuna wachezaji tegemeo wataondoka. Kama si Baleke, Zimbwe basi Inonga
Ila bado sijaona ya sawadogoNiko hapa kuthibitisha kuwa Victor Akpan, Ismail Sawadogo na Mohamed Ouattara wameachwa rasmi Simba
Ha ha haaa. Hamna mkuu mi ni mkulima wa mboga mbogaHongera Mkuu nahisi wewe ni Mo au Ngungu [emoji16][emoji28]
Inafuata muda si mrefuIla bado sijaona ya sawadogo
Wewe utakuwa kwenye kamati tendaji ya klabu! Halafu unatoa tu hadharani siri za kambi.
Yaani huna tofauti na Baba wa Taifa enzi hizo!! Alikuwa anamiliki luninga pale magogoni! Halafu anakuja kulihutubia Taifa kuhusu matukio yatakayo tokea duniani. Kumbe alishayaona tayari.
Mo tena?Huyu ni Mo a.k.a Kanjibhai
Ujue hiki unachofanya siyo sawa kabisa! Yaani tunayojadili pamoja kwenye vikao wewe unakuja kuyamwaga hadharani mapema kabisa! Mjumbe hii siyo sawa!Ha ha haaa. Hamna mkuu mi ni mkulima wa mboga mboga
Hamna kaka mimi mkulima wa huko mkoaniUjue hiki unachofanya siyo sawa kabisa! Yaani tunayojadili pamoja kwenye vikao wewe unakuja kuyamwaga hadharani mapema kabisa! Mjumbe hii siyo sawa!
Kwa nini mkuu?Niko hapa kuwacheka
Kaachwa mazimaNext ni Sawadogo. A loan au kuachwa ni 50 kwa 50