Yafuatayo yatafanyika Simba SC kuelekea Msimu wa 2023/2024

Yafuatayo yatafanyika Simba SC kuelekea Msimu wa 2023/2024

Niko hapa kuthibitisha kuwa Victor Akpan, Ismail Sawadogo na Mohamed Ouattara wameachwa rasmi Simba
Wewe utakuwa kwenye kamati tendaji ya klabu! Halafu unatoa tu hadharani siri za kambi.

Yaani huna tofauti na Baba wa Taifa enzi hizo!! Alikuwa anamiliki luninga pale magogoni! Halafu anakuja kulihutubia Taifa kuhusu matukio yatakayo tokea duniani. Kumbe alishayaona tayari.
 
Wewe utakuwa kwenye kamati tendaji ya klabu! Halafu unatoa tu hadharani siri za kambi.

Yaani huna tofauti na Baba wa Taifa enzi hizo!! Alikuwa anamiliki luninga pale magogoni! Halafu anakuja kulihutubia Taifa kuhusu matukio yatakayo tokea duniani. Kumbe alishayaona tayari.
Hapana mkuu
 
Kichwa cha habari chahusika. Baada ya kusuasua kwa misimu miwili ni dhahiri sasa kuna mabadiliko yafuatayo yatafanyika Simba SC:

1. Fred Nganjiro (Vunjabei) hataendelea kuwa kit supplier wa Simba. Itapewa kampuni ya nje ya nchi (hasa Afrika kusini) au ndugu yetu mmoja atachukua tender.

2. Baadhi ya wachezaji watapewa mkono wa kwaheri na wengine kupelekwa kwa mkopo.
Wachezaji: Jonas Mkude, Habib Kyombo, Augustine Okra, Nassoro Kapama, Victor Akpan, Nelson Okwa, Mohamed Outara, Gadiel Michael, Beno Kakolanya, Ismail Sawadogo na pengine Peter Banda wataoneshwa mlango wa kutokea.

3. Watasajiliwa wachezaji katika nafasi zifuatazo: Golikipa, Beki wa kati Viungo wakabaji , Kiungo Mshambuliaji , Mawinga, Beki wa kushoto na (Striker).

4. Mchua misuli (Fareed Casem) na kocha wa viungo(Kelvin Mandra)wataondoshwa.

5. Mo atahusika kwa ukaribu na usajili.
6. Kuna wachezaji tegemeo wataondoka. Kama si Baleke, Zimbwe basi Inonga
Hongera Mkuu nahisi wewe ni Mo au Ngungu [emoji16][emoji28]
 
Daaaah we jamaa baada ya kusoma ulichokiandika halafu kila kitu kinatokea

Nimenyong'onyea sana kwenye mstari wa mwisho kwamba kati ya Inonga, Zimbwe au Baleke mmoja wao ataondoka, daaaaah!!!!
 
Back
Top Bottom