Yahaya Nawanda, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Simiyu akamatwa na Polisi kwa tuhuma za ulawiti

kwanza inakuwaje mpaka anaingizwa ndani anafanyiwa hayo mambo then baadae ndiyo anakuja kushitaki

alifosiwa kufanya mapenzi au ndiyo namna nyengine ya kuchafua watu?
Sijui kwanini watanzania hamuelewi...hata mkeo wa nyumbani ukimwingilia kinyume akikushtaki ni kosa, ni kinyume na SHERIA za nchi...huyu dada halalamiki kuliwa mbele analalamika kuliwa nyuma
 
Bush lawyer katika ubora wako,hukusikia polisi waliposema wamechukua nguo za binti alizovaa siku ya tukio ili kwenda kupima DNA?
 
Manipulation of information and systematic intrusion of social engineering drivers indicate the wide large-scale repercussions in Tanzania..changing the face and dynamics of Social relations, governmental structure, political and ethnic contexts , economic and etc
 
Naitun
Naitunza hii post kwa rejea
 
Noma sana, kwa hiyo Allah anakuwa amekaa na makabrasha yake!
 
Jinai ni kosa dhidi ya Jamhuri na ni Jamhuri (kupitia DPP) ndiyo yenye uwezo wa "kutokuwa na nia" ya kuendelea na kesi. In short, kwa jicho la kisheria, aliyeingiliwa na Dr. Nawanda ni Jamhuri na sio huyo demu!
 
Jinai ni kosa dhidi ya Jamhuri na ni Jamhuri (kupitia DPP) ndiyo yenye uwezo wa "kutokuwa na nia" ya kuendelea na kesi. In short, kwa jicho la kisheria, aliyeingiliwa na Dr. Nawanda ni Jamhuri na sio huyo demu!
Hahaaaaaaaaa we jamaaa eti Jamu imefanywaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…