Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Mambo ya wanasiasa wachie wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena kamla mtu t∆ko kwenye V8 iliyonunuliwa kwa kodi zetu iliyowekwa mafuta kwa kodi zetu kwa malipo ya kodi zetu,just imagine,!Kumbe Kuna kada kalawiti
Na unaweza kukuta bajeti isijadaliwe kabisa kulingana na mwenendo wa heka heka za RC Yahaya utakavyokuwa
Siasa za Bongo ni za kimkakati sana 🐼
Mlale unono 😄
Sio v8, ni crown gari binafsi, ndio imehusishwa na tukio.Tena kamla mtu t∆ko kwenye V8 iliyonunuliwa kwa kodi zetu iliyowekwa mafuta kwa kodi zetu kwa malipo ya kodi zetu.
Don’t guarantee binadam ndugu baba kabisa wa ki roho ama mzazi anaweza fanya kitu ukaduwaaa kakaSiamini kama anaweza fanya hii ishu...anywys
Still tuta-assume ni gari iliyonunuliwa kwa malipo ya mshahara uliotokana na kodi zetu.Sio v8, ni crown gari binafsi, ndio imehusishwa na tukio.
Pwani hawa hawa waliobinafsishwa?🐼Kosa watu wa Pwani hadi sasa Mjerumani angalikuwa bado anatawla
Sasa 65M ndogo kwa hapa Tz? Akat kuna wenzie wanalawitiwa kwa chips kavu na soda. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na mjadala umehamia kwenye noti ya sh 100 kuwa na nembo ya Yanga.
Nchi ya mafala hii. Bora ningezaliwa jibwa Ulaya.
Hata Tumsime angekuwa kafirwa na afisa wa serikali za Ulaya angekuwa bilionea. Lkn hapa kaambulia 65M tu.
Ni mshahara wake. Gari ni yake auu rafiki yake. Bado haijasemwa gari ni ya nani, baaada ya tukio allishuka akatokea geti upande mwingine.Still tuta-assume ni gari iliyonunuliwa kwa malipo ya mshahara uliotokana na kodi zetu.
Kwa sasa Tanzania ni nchi ya kula kwa urefu wa kamba zetu , bajeti haina maana kama ripoti za CAG huwa zinapuuzwa . Tusubiri kuanzia 2025 Chadema wakichukua utawala wa nchi , waziri wa fedha na uchumi akiwa Peter Msigwa ndo bajeti za nchi zitaanza kuwa na maana .Na unaweza kukuta bajeti isijadaliwe kabisa kulingana na mwenendo wa heka heka za RC Yahaya utakavyokuwa
Siasa za Bongo ni za kimkakati sana 🐼
Mlale unono 😄
65mill?Na mjadala umehamia kwenye noti ya sh 100 kuwa na nembo ya Yanga.
Nchi ya mafala hii. Bora ningezaliwa jibwa Ulaya.
Hata Tumsime angekuwa kafirwa na afisa wa serikali za Ulaya angekuwa bilionea. Lkn hapa kaambulia 65M tu.
Kwani mlawitiwa yeye ana maoni gani katika bajeti hii mkuu?Na unaweza kukuta bajeti isijadaliwe kabisa kulingana na mwenendo wa heka heka za RC Yahaya utakavyokuwa
Siasa za Bongo ni za kimkakati sana 🐼
Mlale unono 😄
Bajeti zilikua za kina Amir Jamal, Cleopa Msuya, Edwin Mtei, Steven Andandangisye, Kighoma Malima. Sasa hii ya Mwigulu ya kukopa trilioni 20 ndani ya miaka mitatu na kuuza bandari bado nauli ya yreni Dar/Dom 120,000 utajadili Nini?Na unaweza kukuta bajeti isijadaliwe kabisa kulingana na mwenendo wa heka heka za RC Yahaya utakavyokuwa
Siasa za Bongo ni za kimkakati sana 🐼
Mlale unono 😄