Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya ndie huyu?Mpaka uione hii pisi ndio utaamini View attachment 3016523
Ndiye aliyelawitiwa?Mpaka uione hii pisi ndio utaamini View attachment 3016523
Tena kosa halina dhamana, hadi kuja kutoka atasotaMaisha ni fumbo kubwa sana .Juzi juzi alikuwa mkuu wa mkoa leo anaenda kulala mahabusu.
Haina dhamanaHii kesi ina dhamana ???
Nimeuliza tu
Wallah vileBora fedheha ya punyeto kuliko fedheha za namna hii
Atahama chamaAkikutwa na hatia, apewe miaka 30 kama wananchi wa kawaida wanavyopewa hizo mvua.
Ile miuno ya baba askofu gwajiboy ungeamini ni yeye?😹Siamini kama anaweza fanya hii ishu...anywys
Majuzi nilikuwa na rafiki yake aliyekuwa nae na kusoma nae. Wanasema kuna kipindi pia alitolewaga ukuu wa wilaya kwa kashfa kama hizo hizoIla nyuma ya pazia jamaa ni kitombi sana. Hii issue wala sikuishangaa
Dah ameshafuta hadi FB yake.Wanaficha jina wakati tushajua ni tumsime Mathias, dah kwa hizo Mzee Mathias mtoto wake raia washamtoa rinda, huyo dada asipopewa physiological relief hili tukio linaweza kumuathiri sana
Huyo binti tamaa zake zimemponza.iwe fundisho kwa viongozi wote wenye tabia ya uzinzi.
Viongozi wote ambao hawataki kutulia na familia zao lazima waumbuliwe.
Nawaasa wanawake wote ambao wamerubuniwa na mabosi/vigogo wawaumbuwe haraka.
Kuna tatizo kubwa sana kwa Dada zetu, mama zetu wanao soma na wanao fanya kazi maofisini na hata kwenye siasa wanadhalilishwa na kutumiwa kingono ili watimize malengo yao!!!!
Ongeza na yule aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha,Bwana Pima na wenzake nao wameachiwa..wapo huru...Tushazoea hizo sarakasi za Lumumba.
Gekul yuko mtaani.
Sabaya yuko mtaani.
Makonda yuko mtaani
Kenan Kihongosi yuko mtaani.
Majizi, wauwaji, vibaka ni sehemu ya CCM huo ni upepo tu utavuma na mwisho wa siku utasikia DPP hana nia ya kuendelea na kesi maana hakuna ushahidi wa kutosha kumtia mshtakiwa hatiani.
Safi,Kuna yule DC wa Mafia alilawiti mwanafunzi akakamatwa mbona kuko kimya? Isijekuwa ni danganya toto funika Kombe mwanaharamu apite.Jeshi la polisi limemkamata aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Yahaya Nawanda (46) kwa tuhuma za kumwingilia kinyume na maumbile mwanafunzi wa chuo ambaye jina lake limehifadhiwa...
Hakuna kesi bila mlalamikaji.Polisi haija futa kesi.