James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,984
- 3,695
Au haka kademu kametumwa na CHadema???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Faza ale mvua hakuna namnaJinai ni kosa dhidi ya Jamhuri na ni Jamhuri (kupitia DPP) ndiyo yenye uwezo wa "kutokuwa na nia" ya kuendelea na kesi. In short, kwa jicho la kisheria, aliyeingiliwa na Dr. Nawanda ni Jamhuri na sio huyo demu!
Ifike mahala wakuu wa mikoa wapewe assignment na muda wa kuzikamilisha mara tu wanapoapishwa!Yeyote anayefeli kuzikamilisha anaachia nafasi mara moja.Matukio haya ni ushahidi tosha viongozi huko maofsini wanakazi lakini haziwaumizi kichwa they can work on them today or they can postpone na hakuna wa kufuatilia au kuuliza.Jeshi la polisi limemkamata aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Yahaya Nawanda (46) kwa tuhuma za kumwingilia kinyume na maumbile mwanafunzi wa chuo ambaye jina lake limehifadhiwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza leo, Juni 13, 2024 Naibu Kamishina wa Polisi na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, DCP Wilbrod Mutafungwa amesema mtuhumiwa huyo amekamatwa leo jijini Mwanza saa 6.00 mchana.
Kwa mjibu wa Kamanda Mutafungwa amesema tayari jeshi hilo limeanza kufanya mahojiano sanjari na kufanya uchunguzi wa kimaabara kuhusiana ana tuhuma hizo na baada ya kukamilisha uchunguzi utafikishwa kwenye ofisi za mashtaka.
Pia gari alilokuwa anatumia mtuhumiwa huyo nalo linashikiliwa.
Pia soma:
Shida ni mazingira na namna alivyofanyiwa hiko kitendo kama kukomolewa au kudhalilishwa. Nawanda angeimbisha hadi demu akavua mwenyewe sidhani kama ingeleta shida. Tatizo ubabe wa madaraka; demu kaamua naye kumdhalilisha! Unadhani hapo nani kadhalilika zaidi?Huyu binti asingelawitiwa akafanya mapenzi ya kawaida angepiga kelele hizi au ?
Wakati mwingine ni mambo ya kishirikina kwamba ukipiga nyuma unapanda cheo kutoka RC kuwa Waziri
Sheria ni msumenoJeshi la polisi limemkamata aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Yahaya Nawanda (46) kwa tuhuma za kumwingilia kinyume na maumbile mwanafunzi wa chuo ambaye jina lake limehifadhiwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza leo, Juni 13, 2024 Naibu Kamishina wa Polisi na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, DCP Wilbrod Mutafungwa amesema mtuhumiwa huyo amekamatwa leo jijini Mwanza saa 6.00 mchana.
Kwa mjibu wa Kamanda Mutafungwa amesema tayari jeshi hilo limeanza kufanya mahojiano sanjari na kufanya uchunguzi wa kimaabara kuhusiana ana tuhuma hizo na baada ya kukamilisha uchunguzi utafikishwa kwenye ofisi za mashtaka.
Pia gari alilokuwa anatumia mtuhumiwa huyo nalo linashikiliwa.
Pia soma:
Uchunguzi gani wa kimaabara wakati mwanafunzi alishapimwa na kugundulika amefumuliwa RINDA? Kwakuwa hajabakwa hapo atafungwa tu miaka miwili.Jeshi la polisi limemkamata aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Yahaya Nawanda (46) kwa tuhuma za kumwingilia kinyume na maumbile mwanafunzi wa chuo ambaye jina lake limehifadhiwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza leo, Juni 13, 2024 Naibu Kamishina wa Polisi na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, DCP Wilbrod Mutafungwa amesema mtuhumiwa huyo amekamatwa leo jijini Mwanza saa 6.00 mchana.
Kwa mjibu wa Kamanda Mutafungwa amesema tayari jeshi hilo limeanza kufanya mahojiano sanjari na kufanya uchunguzi wa kimaabara kuhusiana ana tuhuma hizo na baada ya kukamilisha uchunguzi utafikishwa kwenye ofisi za mashtaka.
Pia gari alilokuwa anatumia mtuhumiwa huyo nalo linashikiliwa.
Pia soma:
Ndiyo maana waganga wengi wapo Dar, tatizo watu wengi wanafanikiwa kupitia ushirikina mazee bila hivyo hawa akina Aweso, Ummya, Nape, Mwigulu, Makamba,Jafo, Mbarawa, Masauni, Kijaju wasikuwepo kwenye cabinet maana utendaji kazi wao ni wa hovyo haswa.Waganga watu wa hovyo sana aisee
Ok. Vipimo vya daktari vinasemaje, kwa sababu CCM Ina mbinu 1000 za Hila,kumfuta uRC. Inawezekana hiyo ni mbinu Moja TU wametumia na wamefanikiwa.Shida ni mazingira na namna alivyofanyiwa hiko kitendo kama kukomolewa au kudhalilishwa. Nawanda angeimbisha hadi demu akavua mwenyewe sidhani kama ingeleta shida. Tatizo ubabe wa madaraka; demu kaamua naye kumdhalilisha! Unadhani hapo nani kadhalilika zaidi?
Wanatafuta namna ya kumbeba faza sababu ni mwenzao, wao huwa wanakomaa na sisi masikini ambao hatumo kwenye mfumo wao.Uchunguzi gani wa kimaabara wakati mwanafunzi alishapimwa na kugundulika amefumuliwa RINDA? Kwakuwa hajabakwa hapo atafungwa tu miaka miwili.
Hamna kesi hapo kama Gekul tuJeshi la polisi limemkamata aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Yahaya Nawanda (46) kwa tuhuma za kumwingilia kinyume na maumbile mwanafunzi wa chuo ambaye jina lake limehifadhiwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza leo, Juni 13, 2024 Naibu Kamishina wa Polisi na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, DCP Wilbrod Mutafungwa amesema mtuhumiwa huyo amekamatwa leo jijini Mwanza saa 6.00 mchana.
Kwa mjibu wa Kamanda Mutafungwa amesema tayari jeshi hilo limeanza kufanya mahojiano sanjari na kufanya uchunguzi wa kimaabara kuhusiana ana tuhuma hizo na baada ya kukamilisha uchunguzi utafikishwa kwenye ofisi za mashtaka.
Pia gari alilokuwa anatumia mtuhumiwa huyo nalo linashikiliwa.
Pia soma:
Wanatafuta namna ya kumbeba faza sababu ni mwenzao, wao huwa wanakomaa na sisi masikini ambao hatumo kwenye mfumo wao.
DNA haijawahi kumwacha mtu salama wewe. Hadi gari ya jamaa imezuliwa polisi unadhani kwanini? Vipimo vitachukuliwa siti ya nyuma ku-trace DNA za wote wawili hapo kwenye siti kupitia "maji maji" ya miili yao yaliyodondoka hapo!Hii ni Kesi nyepesi sana, Mtuhumiwa atashinda ingawa imemsababishia aibu na fedheha kwa Jamii na pia kumfukuzisha Ukuu wa Mkoa.
Atashinda kwa sababu haina ushahidi wa moja kwa moja kwamba Mtuhumiwa alitenda hilo kosa, inawezekana vipimo vilionesha kuwa Mlalamikaji kaingiliwa kinyume na maumbile lakini ni ushahidi upi utathibitisha kuwa aliyetenda kosa hilo ni Mtuhumiwa?
Lakini pia naona Mlalamikaji hawezi kutoa ushirikiano kutokana na aibu lakini pia shinikizo kutoka Watu wengine ambao wapo upande wa Mtuhumiwa.
Asipokutwa?Akikutwa na hatia, apewe miaka 30 kama wananchi wa kawaida wanavyopewa hizo mvua.
Sure ni utapeli tapeli tuYes wanazingua tu hao mapolisi ,wanabuy time tu waonekane kuna kitu walifanya.
Akikutwa na hatia, apewe miaka 30 kama wananchi wa kawaida wanavyopewa hizo mvua
Adhabu ya kulawiti ni kifungo cha maisha jela. Hiyo ya 30 ni adhabu ya kubakaAkikutwa na hatia, apewe miaka 30 kama wananchi wa kawaida wanavyopewa hizo mvua.