Yajayo Hayafurahishi; Mtazamo wa Isaya, Mnazareti, Mohammad, Wanautamaduni, na Wanavyuoni wa Kisasa

Yajayo Hayafurahishi; Mtazamo wa Isaya, Mnazareti, Mohammad, Wanautamaduni, na Wanavyuoni wa Kisasa

Unapouhukumu uislam, uhukumu kwa misingi yake na sheria zake. Katika uislam tunafundishwa al' elm qablal qaul wal amal kwa maana uwe na elimu kabla ya kuongea kuhusu kitu/jambo husika na kabla ya kutenda jambo husika basi uwe na elimu na hilo jambo. Hiyo ni kama dibaji tu nakupa ili ujue yaliyomo.

Umeleta jambo kuhusu uislam, na misingi na sheria ya uislam inafahamika inapopatikana. Hebu tuletee ushahidi kwa hayo uliyoyaandika.


Hammaz Kumbuka, sheria za Qu'ran ni sheria za karne ya 6 ambazo zimepitwa na wakati....sasa tuko kwenye karne ya 21 kama ulikuwa hujuwi. Huwezi ku base sheria zilizopitwa na wakati kwa maisha ya sasa.
 
Ndiyo maana nimesema yakubidi usome usikariri tu vitu? Aisha aliolewa akiwa na miaka 6 ila walianza kujamiiana akiwa na miaka 9 Mohammad akiwa na miaka 54. Jiulize, wewe hapo ulipo kwa akili yako unaweza kumuoza mwanao wa miaka 6 kwa Sheikh mkuu wa Tanzania? Nyie watu vipi jamani, someni vitabu mpanue mawazo yenu.
Maandishi yako ni mazuri sana na yanasisimua, hebu tupatie ushahidi umeyapata wapi/ ama kwenye kitabu kipi? Na sisi tufahamu kama wewe unavyofahamu.
 
....japo hata mm siziamini sana hizi dini za kuletwa ila

[emoji115][emoji115][emoji115]Hiki ndio huitwa kiburi cha uzima
 
Nikosoe uwongo wangu, soma historia mkuu ndipo utajuwa ukweli. Usitokwe na povu tu na kujidharaulisha.
Historia inakupa mwanga kidogo ya ukweli
Historia sio mkombozi wako
Tafuta iliyo kweli ambayo imetamkwa na aliye kweli acha porojo kama umejiumba mwenyewe
 
Hammaz Kumbuka, sheria za Qu'ran ni sheria za karne ya 6 ambazo zimepitwa na wakati....sasa tuko kwenye karne ya 21 kama ulikuwa hujuwi. Huwezi ku base sheria zilizopitwa na wakati kwa maisha ya sasa.
Mbona unahama mada? Au kwa ghafla umesahau tunachokizungumzia? Sheria za Qur'an ya karne ya 7 ( si ya 6) na karne ya sasa hiyo ni ajenda nyengine. Ajenda yetu hapa ni shutuma ulizotoa kuhusu Muhammad bin Abdillah kuoa binti mdogo na mengine uliyoandika kuhusu juu yake hiyo ndiyo ajenda yetu husika.

Nakukumbusha tena Mheshimiwa, madai yako umeyapatia wapi? Tusimkosee heshima mleta Uzi kwa kujadili jambo ambalo lipo nje ya Uzi wake. Tafadhali, tuwekee ushahidi.
 
@Masound mshahara
Mbogo harisi
me sioni jambo linalowafanya muwe na vita baridi ya maneno hari kwamba kira mmoja wenu anamuamini mungu wake kwa nafsi yake na kifo pekee ndicho kitakacho yaondoa yote haya na ukweli kuonekana.
IMANI NIBORA KULIKO DINI
 
Maandishi yako ni mazuri sana na yanasisimua, hebu tupatie ushahidi umeyapata wapi/ ama kwenye kitabu kipi? Na sisi tufahamu kama wewe unavyofahamu.


Nimesoma sana dini na kujiuliza hivi waafrika tulikosea wapi kuendekeza hizi dini za watu zisizo na manufaa kwetu? Mungu atukataze kuua kisha Mungu huyo huyo atugeuke na kuambia baadhi ya watu waendelee kuua tu wataenda mbinguni, inaingia kichwani hii? Tafuta hivi vitabu usome, haki ya nani vitakufungua macho.
Aisha.jpg
daed.jpg

Moja ya mistari ikimnukuu Mohammad kwenye hiki kitabu ni kama ifuatavyo:

….."‘I (Mohammed) put on her my shirt that she may wear the clothes of heaven, and I SLEPT with her in her coffin (grave) that I may lessen the pressure of the grave. She was the best of Allah’s creatures to me after Abu Talib’…The prophet was referring to Fatima , the mother of Ali.
“The Arabic word used here for slept is “Id’tajat,” and literally means “lay down” with her. It is often used to mean, “Lay down to have sex.”

Mohammed is understood as saying that because he slept with her she has become like a wife to him so she will be considered like a “mother of the believers.” This will supposedly prevent her from being tormented in the grave, since Muslims believe that as people wait for the Judgment Day they will be tormented in the grave. “Reduce the pressure” here means that the torment won’t be as much because she is now a “mother of the believers” after mohammed slept with her and “consummated” the union. “


Source: https://themuslimissue.wordpress.com/2013/01/18/islam-the-crimes-of-prophet-mohammed/
 
Halaaaaa kumbe Yesu ni njia tu yakukupeleka kwa Mungu asante mwenye kusikia na asikie njia aiwezi kuwa nyumba
Hakuna njia nyingine itakayokufikisha kwenye hiyo "nyumba" pasipo kupitia njia ya YESU KRISTO. Huwezi kamwe kuingia Paradiso bila kupitia kwa YESU KRISTO. Yeyote yule anayesema atakufikisha kwa MUNGU pasipo YESU KRISTO, mtu huyo ni muongo, tena ni muongo hasa.

Mwenye masikio na asikie!
 
Mkuu mitale na midimu nimeusoma uzi wako, hongera kwa kuwakumbusha watu kule dunia inakoelekea, lakini kuna mengi sana ya kutisha yanayokuja na hujayaandika humu kwenye uzi wako. Mfano kuna mengi ya kutisha yametabiriwa kwenye kitabu cha UFUNUO na hujayagusia kabisa.

Pia umehitimisha uzi wako kwa kumung'unya maneno, kama vile umeogopa kuwaambia watu ukweli wa suluhisho, ni hivi UKWELI ni huu; hakuna WOKOVU kwa mwanadamu yeyote yule nje ya YESU KRISTO. Narudia tena; hakuna WOKOVU nje ya YESU KRISTO, hakuna dini, wala nabii atakayekuokoa wala mtume zaidi ya YESU KRISTO.

YESU KRISTO ni njia, kweli, na uzima, mtu yeyote hatafika kwa MUNGU pasipo kupita kwa njia ya YESU KRISTO.

Mwenye masikio na asikie!
Yesu Kristo au Mungu!!? Wapo wasioamini katika Yesu Kristo lkn wanaamini katika Mungu mmoja muumba wa mbingu na ardhi, hao unawazungumziaje? Fungua bongo yako uwe huru kupokea mawazo mapya na si kukarili na kukumbatia mafundisho ya kibaguzi.
 
Ndiyo maana nimesema yakubidi usome usikariri tu vitu? Aisha aliolewa akiwa na miaka 6 ila walianza kujamiiana akiwa na miaka 9 Mohammad akiwa na miaka 54. Jiulize, wewe hapo ulipo kwa akili yako unaweza kumuoza mwanao wa miaka 6 kwa Sheikh mkuu wa Tanzania? Nyie watu vipi jamani, someni vitabu mpanue mawazo yenu.
Na YESU KRISTO alisema hivi kuhusu watoto wadogo; "ole wake mtu yule amkoseshaye mmoja wa wadogo hawa, maana ni heri mtu huyo angefungiwa jiwe la kusagia shingoni mwake na kutupwa katikati ya bahari kuliko kuishi na kuisubiri ile siku ya hukumu".

Kuanza kujamiiana na watoto wa miaka 9 ni kuwakosesha watoto, ole wao watu wanaojamiiana na watoto wadogo maana wanawakosesha kama alivyosema BWANA YESU. Moto unakuja na siku hiyo tutaona mengi sana, wengi wataumbuka siku hiyo wakiwemo hao wanaojiita MITUME na siyo mitume.
 
Mbona unahama mada? Au kwa ghafla umesahau tunachokizungumzia? Sheria za Qur'an ya karne ya 7 ( si ya 6) na karne ya sasa hiyo ni ajenda nyengine. Ajenda yetu hapa ni shutuma ulizotoa kuhusu Muhammad bin Abdillah kuoa binti mdogo na mengine uliyoandika kuhusu juu yake hiyo ndiyo ajenda yetu husika.

Nakukumbusha tena Mheshimiwa, madai yako umeyapatia wapi? Tusimkosee heshima mleta Uzi kwa kujadili jambo ambalo lipo nje ya Uzi wake. Tafadhali, tuwekee ushahidi.


Unataka kuniambia ulikuwa hujuwi kuwa Mohammad alioa katoto ka miaka 6 na kuanza kujamiana naye akiwa na miaka 9? Je, ulikuwa hujuwi kuwa Mohammad alikuwa anabaka wake za watu na kuua waume zao?
 
sipendi mtu anayemuhubiri Yesu kwa njia za kutisha watu aisee ,usidhani kwamba watu watamfuata Yesu kisa eti umewatishia kuhusu mwisho wa dunia never,atakayemfuata atakua ni mwoga na sio mwenye imani
brother muhubiri Yeu lakini sio kwa kutishatisha watu apa
 
Na YESU KRISTO alisema hivi kuhusu watoto wadogo; "ole wake mtu yule amkoseshaye mmoja wa wadogo hawa, maana ni heri mtu huyo angefungiwa jiwe la kusagia shingoni mwake na kutupwa katikati ya bahari kuliko kuishi na kuisubiri ile siku ya hukumu".

Kuanza kujamiiana na watoto wa miaka 9 ni kuwakosesha watoto, ole wao watu wanaojamiiana na watoto wadogo maana wanawakosesha kama alivyosema BWANA YESU. Moto unakuja na siku hiyo tutaona mengi sana, wengi wataumbuka siku hiyo wakiwemo hao wanaojiita MITUME na siyo mitume.


Watu hawataki kupevuka tu, sielewi kwanini wanakuwa wabishi kuelewa au hata kupenda kujisomea ili wajuwe ukweli. Hivi kweli Mungu anaruhusu babu wa miaka 54 alale na katoto ka miaka 9?
 
Yesu Kristo au Mungu!!? Wapo wasioamini katika Yesu Kristo lkn wanaamini katika Mungu mmoja muumba wa mbingu na ardhi, hao unawazungumziaje? Fungua bongo yako uwe huru kupokea mawazo mapya na si kukarili na kukumbatia mafundisho ya kibaguzi.
Mkuu greybakuza kama huna imani kwa YESU KRISTO biashara yako imekwisha, huna chako tena, wewe utakuwa MAJIVU tu. Kila asiyeamini katika YESU KRISTO hana nafasi katika Paradiso, hana nafasi katika Ufalme wa MUNGU. Huo ndiyo UKWELI ulivyo, ukimkataa YESU ni kama umemkataa MUNGU.

Iko hivi hata Manabii na watakatifu wa zamani kabla YESU hajaja duniani walikuwa wanamfahamu YESU na walikuwa wanajua kuna siku atakuja mtu anaitwa YESU MESSIAH. Mfano mzuri ni maneno haya ya Daudi; alisema hivi; "BWANA akamwambia BWANA wangu, keti mkono Wangu wa Kuume hata nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako". Hapa ni Daudi alikuwa anamzungumzia MUNGU kumwambia YESU aketi mkono wa Kuume wa MUNGU hata atakapomaliza kuwaweka adui zake chini ya miguu yake. Daudi alijua kuwa ukiachilia BWANA MUNGU, pia yupo BWANA mwingine ambaye ni YESU MESSIAH.

Hata Ibrahimu pia alijua habari za YESU MESSIAH, ukisoma Injili ya YOHANA utaona kuna mahali YESU anawaambia Wayahudi hivi; "baba yenu Ibrahimu alipooneshwa siku yangu alifurahi na kushangilia. Wayahudi wakamjibu na kusema; "wewe hujafikisha hata miaka 50 umepata wapo kumuona Ibrahimu"? YESU akawajibu; "kabla Ibrahimu hajazaliwa duniani Mimi nalikuwepo".

Huu ni ushahidi tosha kuwa YESU alikuwepo kabla hata dunia haijaumbwa. Ukisoma kitabu cha MWANZO utaona MUNGU anasema hivi; "na tujifanyie mtu kwa mfano wetu..." Hapa BWANA MUNGU anatumia "wingi"; na tujifanyie mtu kwa... Utaona kwamba kumbe wakati wa Uumbaji BWANA MUNGU hakuwa peke yake, alikuwa pamoja na MWANAE ambaye ni YESU KRISTO.

Narudia tena kuandika, hakuna WOKOVU nje ya YESU KRISTO, hakuna, hakuna. Usipomwamini YESU KRISTO kama BWANA NA MWOKOZI wako, kamwe hutaingia kwenye Uzima wa Milele, utachomwa moto na kuangamia. YESU KRISTO aliletwa na MUNGU duniani ili kila mwanadamu AOKOLEWE, yeye anayemkataa YESU anakataa KUOKOLEWA, na kila anayekataa kuokolewa maana yake ni kwamba ataangamia katika dhambi zake na moto wa milele.

Mwenye masikio na asikie!
 
Si kosa lako, umekurupuka tu kutoka kunya kuja kudandia daladala. Huko nyuma nilisha andika kuwa hizi dini zote (Judaism, Christianity, Islam) ni za kivita, ila hapa issue ilikuwa Mohammad kwani kati ya manabii wote wa hizo dini tajwa hapo juu aliyekuwa anaua na kubaka ni Mohammad pekee. Je, ni chuki hiyo dhidi ya uislam?
Mkuu yawezekana ukawa na hoja nzuri unataka kufikisha ila kama nilivyosema kuwa huku kuelemea upande mmoja tu ndio kunaharibu...hebu pitia hili andiko.

One evening David got up from his bed and walked around on the roof of the palace. From the roof he saw a woman bathing. The woman was very beautiful, and David sent someone to find out about her. The man said, “Isn’t this Bathsheba, the daughter of Eliam and the wife of Uriah the Hittite?” Then David sent messengers to get her. She came to him, and he slept with her. (She had purified herself from her uncleanness.) Then she went back home. The woman conceived and sent word to David, saying, “I am pregnant.”… In the morning David wrote a letter to Joab and sent it with Uriah. In it he wrote, “Put Uriah in the front line where the fighting is fiercest. Then withdraw from him so he will be struck down and die.”… When Uriah’s wife heard that her husband was dead, she mourned for him. [2 Samuel 11:2-26]
 
Mkuu yawezekana ukawa na hoja nzuri unataka kufikisha ila kama nilivyosema kuwa huku kuelemea upande mmoja tu ndio kunaharibu...hebu pitia hili andiko.

One evening David got up from his bed and walked around on the roof of the palace. From the roof he saw a woman bathing. The woman was very beautiful, and David sent someone to find out about her. The man said, “Isn’t this Bathsheba, the daughter of Eliam and the wife of Uriah the Hittite?” Then David sent messengers to get her. She came to him, and he slept with her. (She had purified herself from her uncleanness.) Then she went back home. The woman conceived and sent word to David, saying, “I am pregnant.”… In the morning David wrote a letter to Joab and sent it with Uriah. In it he wrote, “Put Uriah in the front line where the fighting is fiercest. Then withdraw from him so he will be struck down and die.”… When Uriah’s wife heard that her husband was dead, she mourned for him. [2 Samuel 11:2-26]


Ni kweli, ila Narudia tena.....nilishasema hapo awali kuwa hizi dini zote ni za kivita sie waafrika hazituhusu tulipigwa tu changa la macho. Huyo David si Yesu wala Moses, nimesema katika manabii wote hawa Yesu, Moses na Mohammad mbakaji na muuwaji ni Mohammad peke yake. Ni hayo tu.
 
Watu hawataki kupevuka tu, sielewi kwanini wanakuwa wabishi kuelewa au hata kupenda kujisomea ili wajuwe ukweli. Hivi kweli Mungu anaruhusu babu wa miaka 54 alale na katoto ka miaka 9?
Mbaya zaidi huyo huyo anayelala na mtoto wa miaka 9 anasema eti ametumwa na MUNGU kuleta DINI duniani. Mimi siku zote huwa nasema hivi, kuna tofauti kubwa sana ya Allah na BWANA MUNGU...... Allah ni mungu kama vile ISIS, MITHRA, TAMUZ, ISHTAR n.k. Lakini BWANA MUNGU ndiye MUNGU MUUMBA wa mbingu, dunia na viumbe vyote, vinavyoonekana na visivyoonekana.

Mwenye masikio na asikie!
 
Ni kweli, ila Narudia tena.....nilishasema hapo awali kuwa hizi dini zote ni za kivita sie waafrika hazituhusu tulipigwa tu changa la macho. Huyo David si Yesu wala Moses, nimesema katika manabii wote hawa Yesu, Moses na Mohammad mbakaji na muuwaji ni Mohammad peke yake. Ni hayo tu.
Mkuu hoja yako haieleweki,kwa sababu hao wengine pia nao ni manabii kama ilivyo kwa Muhammad,Yesu na Moses. Sasa wewe et unaona kawaida tu kwa hao manabii wengine kufanya lolote ila kasoro hao watatu tu!! sioni hoja ya msingi labda hao manabii wengine sio wa Mungu.

Hata hivyo mwanzo kabisa umepewa andiko la kuhusu Moses ila wewe unaona sawa kwa nabii kutoa amri kama hii:?:

"Now kill all the boys [innocent kids]. And kill every woman who has slept with a man, but save for yourselves every girl who has never slept with a man. (Numbers 31:17-18) "

Hayo sio mauaji???
 
Back
Top Bottom