Yajayo Hayafurahishi; Mtazamo wa Isaya, Mnazareti, Mohammad, Wanautamaduni, na Wanavyuoni wa Kisasa

Kweli yajayo yanatisha!
 
Umepanic sasa tulia hivyo hivyo nakuuliza amri ya kuua watu Mungu aliwapa waisraeli au akuwapa ? mbona unakimbia kimbia ww
 
analeta utoto kabisa Mungu wa biblia anatoa amri ya kuua chochote kilicho hai katika wayebusi na waamori yeye anajifanya aoni kumb la torati 20: 10 -20 tena anazungumzia pia juu ya kuwafanyisha kazi mateka yeye anamwaga povu kwa mohamadi hii akili au matope
 
Nimekuelewa kumbe kuna Mungu halafu kuna Yesu sasa mwenye sikio na asikie msije mkawachanganya
 
Nimekuelewa kumbe kuna Mungu halafu kuna Yesu sasa mwenye sikio na asikie msije mkawachanganya
Ndiyo mkuu, kuna MUNGU na kuna YESU. Kwenye maandiko YESU anasema hivi; "BABA yangu ni MKUU kuliko mimi"...... Hivyo BWANA MUNGU ni mkuu sana kuliko BWANA YESU.

Lakini kuna kitu ambacho ni lazima ukielewe, YESU KRISTO akisimama mbele za Wanadamu anakuwa kama MUNGU, lakini akisimama mbele za BWANA MUNGU anakuwa Mwana! Unahitaji busara kuelewa maana ya maneno haya.
 
Kwanza hapo hujaweka kitabu bali umeweka link inayofahamika kwa kutunga mambo ya uongo, kuuzungumzia hasi uislam.

Umetoa kwa muhtasari kuhusu sira inayoelezea kufa kwa Fatima bint Asad. Kwa faida yako tu, huyu mwanamke unayemzungumzia ni mke wa Abuu Taalib ambaye ni mama wa Ali sahaba wa Mtume. Abuu Taalib ni mmoja kati ya watoto kumi wa babu yake Mtume na ndani ya hao watoto kumi Abdullah( baba mzazi was Mtume) naye alikuwamo. Kwa hiyo Abuu Taalib na baba yake Mtume( abdullah) ni mtu na mdogo wake mtu na kaka yake. Na Fatima binti Asad ndiye aliyemlea Mtume baada ya Mtume kufiwa na wazazi wote wawili akiwa hata miaka 10 hajafikisha. Sasa kwa hiyo fikra unayoileta hapa MTU alale na mama wa kumlea kama mtoto wake kabisa wa kumzaa wewe hii hata huifikirii mzee? Nawe unaikubali kirahisi tu.

Turudi kwenye hayo mapicha uliyoyaweka na hiyo link pamoja na maelezo yako yanayosema Mtume alilala na maiti ya huyo mama na kufanya nayo mapenzi. Kwanza link uliyoinukuu inatoka katika kitabu mtunzi wake ni Zakaria Botros, ni mzaliwa wa Misri ni mkiristo na ni mchungaji. Ulimwengu wa kiislam unamfahamu Huyu mtu kwa kukandia uislam kwa maandiko ya kupotosha. Mfano hiyo hadith uliyoiweka ni ya kutunga. Ahadith sahihi yake kaangalie katika kitabu cha "At-talkhees" imepokewa na Ana's ibn Maalik na kitabu cha "At-tabraani" katika "Awsat", imepokewa na ibn Aabbas.

"Idh' twa'ajaa" ndilo neno ulilolitumia kwenye hiyo ahadith kwa lengo LA kupotosha. Zakaria Botros ambaye unayemfuata wewe anasema kulala kwa kufanya mapenzi. Hii tafsiri si sahihi tizama kwenye kamusi zote za kiarabu huwezi kukuta tafsiri ya hilo neno kama alivyoeleza yeye. Tafsiri halisi ya hill neno ni kujilaza kwa kujinyoosha, kujiegemeza, kupumzika(kulala kwa kupumzika). Na akaweka scholar wa kiarabu anayeitwa Demetrius wa hiyo kamusi aliyoitumia yeye kutafsiri hill neno na Huyo mhariri hafahamiki ni nani.

Kwa hiyo ndugu yangu unatafuta mitandao amabayo ina usema vibaya uislam kutoka na mambo yao binafsi. Na huyo mtunzi wa hicho kitabu alipewa tuzo mwaka 2008 kwa kuukandia uislam.
 
asante sana ww sio wale wanafsi tatu za Mungu kuwa zote sawa Umethibitisha kuwa Yesu anakuwa mdogo mbele za Mungu hii aiitaji degree kuielewa
 
Hoja ya mauaji imekufa ameamia kwenye link za uzushi labda anafikir humu ni jukwaa la watoto eti kuoa mtumwa ni kubaka labda alitaka mtume awaue kama musa alivyotaka kuwaua wanawake walio shiriki tendo la ndoa na kuwaacha wale vimwali
 
Hoja ya mauaji imekufa ameamia kwenye link za uzushi labda anafikir humu ni jukwaa la watoto eti kuoa mtumwa ni kubaka labda alitaka mtume awaue kama musa alivyotaka kuwaua wanawake walio shiriki tendo la ndoa na kuwaacha wale vimwali
Maandishi yake yanasadifu yeye ni wa namna gani. Wenye ufahamu wenye afya njema washamjua. Unapotatizwa na jambo husika waulize wahusika, ndivyo waungwana wanavyofanya lakini yeye anatuhumu tena kwa maneno ghali sana. Ajabu akiambiwa alete ushahidi yeye analeta uchura uchura anaruka ruka tu.
 


Thank you so much kuwafungua macho watu na akili pia. Hopefully this will make people think twice na kujitafakari.
 


Nazungumzia hawa manabii watatu kwa sababu wayahudi wanamfuata Moses, wakristu wanamfuata Yesu, waislam wanamfuata Mohammad.....bado hujaelewa tu? Nikuulize tena kwa mara ya mwisho.....nani kati ya hawa manabii watatu aliyekuwa anaua watu na kubaka wake za watu na nani kati ya hawa manabii watatu aliyefanya mapenzi na Aunt yake marehemu akiwa kaburini? Narudia, nilisema hizi dini zote ni za kivita na ni kweli waliua sana watu ila nili base zaidi kwa manabii wa hizi dini. Mohammad was NOT a prophet at all, si kweli Mungu anaweza kumwambia Mohammad abake katoto ka miaka 9 au kuua wanaume ili abake wake zao...this is NOT true at all. Mohammad hakuwa nabii hata kidogo, msijidanganye jamani.
 
Umepanic sasa tulia hivyo hivyo nakuuliza amri ya kuua watu Mungu aliwapa waisraeli au akuwapa ? mbona unakimbia kimbia ww


Kama nilivyosema hapo awali...hizi dini zote ni tata na hazitufai...iweje Mungu atukataze kuua kisha awaambie waisrael na Mohammad waue tu? Kumbukeni, always history is written for the victor kwa manufaa yao.
 


Tatizo la waislam ni hili, mtu akiongea ukweli basi ni adui wa waislam.....hivi umewahi kujiuliza kwanini Mungu amruhusu Mohammad abake katoto ka miaka 9 tu? Hivi hata wewe mwenyewe unashindwa kufikiria, soma wasifu wa Mohammad na vimbwanga vyake, jamaa ni mbakaji, mzinzi, muuaji, na ni muongo pia. Kila akibaka anasingizia Mungu alimuotesha kufanya hivyo.
 
Kama nilivyosema hapo awali...hizi dini zote ni tata na hazitufai...iweje Mungu atukataze kuua kisha awaambie waisrael na Mohammad waue tu? Kumbukeni, always history is written for the victor kwa manufaa yao.
Tatizo lako ww sio mchambuzi ila umekomaa na mohamadi suala la kuua wote wameua tena musa aliua mpaka wanawake na watoto vip nakuuliza swali je musa ni nabii au sio nabii tuanzie hapo
 


Kaka kuna uongo mmoja uliusema katika mada fulani ukimzulia mtume Muhammad amani ya Allah iwe juu yake,nikasema ni kupuuzie sababu hujui unalo liandika,ila nimepita tena hapa naona unakariri ule uongo. Sasa naomba unijibu maswali haya :

1. Ni wapi mtume Muhammad alikuwa ana wabaka wake za watu ? Haoa naomba unipe na ushahidi.

2. Nipe ushahidi ni wapi mtume alimuoa mama Aisha Allah amridhie akiwa na umri wa miaka 6. Hapa kadhalika naomba unipe ushahidi.

Kwa munasaba wa maneno yako ya wewe kupinga dini hizi,

3. Umejuaje kama kuua na kubaka ni dhambi ?
 
Jana mlileta hadithi nyingi sana mwisho wa siku maandiko yako wazi mohamadi alioa watumwa hakubaka hoja ya kubakwa aina mashiko Kwasababu wote wale walioshindwa vita kumbe walishaolewa na mohamadi kawastiri wajane ww roho inakuuma
 
Mm namsubir aje ajibu swali langu kwa kitendo cha cha musa kuua watoto wadogo na wanawake je musa ni nabii au sio nabii very simple
 
Duh! bado unajiuma uma tu,we unahoji kuwa Mungu hawezi kumuagiza mtume wake auwe au kubaka.
Nimekupa andiko lenye kuonesha mmoja wa nabii wa Mungu akizini na mke wa na kumuua mumewe,ningetegemea kushangaa ni vp mtume wa Mungu kufanya hayo!

Lakini kama haitoshi umepewa andiko Moses akitoa amri ya kuuliwa watoto,na nikakuuliza hayo sio mauaji ila haukujibu.

Kila zama zilikuwa na mtume wao ambaye ametumwa na Mungu,hivyo hata sioni point yako ya hao mitume mengine wao kuuwa iwe sawa ila isiwe sawa kwa Yesu, Muhammad na Moses tu.


Wewe bora uwe wazi tu na sio kujificha ficha.
 




Mkuu naona una matatizo ya akili, rudia post zangu huko nyuma yote nimeeleza na ushahidi nimetoa, kwa kuwa unanipima uelewa wangu ngoja nikupe ushahidi mwingine. Nikujibu kama ulivyoniuliza.

1. Mtume alikuwa anavamia maeneo ya watu na kuua wanaume wote kisha anabaka wake zao yeye na jeshi lake, hii siyo siri hata kwenye Qu'ran imeandikwa….soma Qu'ran na vitabu vya Hadith utapata ukweli. Msikariri tu vitu bila kujuwa undani wake. Ifuatayo ni moja tu ya vituko vya uvamizi wa Mohammad:

Bukhari


  1. Narrated Ibn Aun: I wrote a letter to Nafi and Nafi wrote in reply to my letter that the Prophet had suddenly attacked Bani mustaliq without warning while they were heedless and their cattle were being watered at the places of water. Their fighting men were killed and their women and children were taken as captives; the Prophet got Juwairiya on that day. Nafi said that Ibn ‘Umar had told him the above narration and that Ibn ‘Umar was in that army. Ushahidi wake huko hapa (Book #46, Hadith [HASHTAG]#717[/HASHTAG])
2. Mohammad alimuoa mtoto Aisha, si Mama (kama unavyomuita) kwani alikuwa ni mtoto wa miaka 6 ila alianza kumbaka akiwa na miaka 9. Wewe hapo ulipo ukibaka mtoto wa miaka 9 nini kinajiri ukikamatwa? Ufuatao ni uthibitisho wa Muhammad kufanya mapenzi na mtoto Aisha. Fuatilia haya maandiko kwenye hivyo vitabu:

Muhammad’s marriage to 6yr old Aisha-(Sahih Al-Bukhari, Volume 5, Book 58, Number 234 and 236).

— Aisha cleans Muhammad’s semen stains (shahawa za Mohammad) - (Sahih Al-Bukhari, Volume 1, Book 4, Number 229-233),

— Muhammad fondling Aisha during her ‘Menses’- (Sahih al-Bukhari, Volume 1, Book 6, Number 298-300, Sunan Abu Dawud, Book 1, Number 0270)

— Muhammad liked to have intercourse with Aisha and his other wives when they were menstruating (Sahih Muslim, Book 003, Number 0577-0579),

3. Wewe hapo ulipo unaruhusiwa kubaka ama kuua? Hivi vitu vingine si LAZIMA uende shule mpaka ujuwe, tumia akili yako kwa kufikiri kijana. Au jiulize, mtu aje kubaka mtoto wako wa miaka 9 wewe utafanyaje, utamchekelea tu na kumpigia makofi?
 


Al Shabab kama kawaida yenu, huwa akili zenu zimefungwa na hampendi kuelewa....nimekujibu lakini bado tu hutaki kuelewa. Usiku mwema, ipo siku akili zitakujia na utaelewa before it's too late.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…