Yajayo Hayafurahishi; Mtazamo wa Isaya, Mnazareti, Mohammad, Wanautamaduni, na Wanavyuoni wa Kisasa

Jana mlileta hadithi nyingi sana mwisho wa siku maandiko yako wazi mohamadi alioa watumwa hakubaka hoja ya kubakwa aina mashiko Kwasababu wote wale walioshindwa vita kumbe walishaolewa na mohamadi kawastiri wajane ww roho inakuuma


Alioa watumwa kwa sababu alikuwa a sexual predator, akijisikia hamu anakwenda vamia sehemu na kuua wanaume wote kisha anachukua wake zao na kuwadu. Usijichekeshe…..yaani mimi roho iniumie kwa kumuonea wivu mbakaji? Ebu soma hizi haya kwanza kwenye Qu'ran ujikumbushe:

1. Thou shall Rape, Marry, and Divorce Pre-pubescent Girls. Qu'ran 65:4
2. Thou shall have Sex Slaves and Work Slaves. Qu'ran 4:3, 4:24, 5:89, 33:50, 58:3, 70:30
3. Thou shall Beat Sex Slaves, Work Slaves, and Wives. Qu'ran 4:34

Ukishamaliza kusoma na kuelewa, rudi kuja kunikosoa, labda pengine nitakuwa na wivu mwingine dhidi ya mbakaji Mohammad.
 
Al Shabab kama kawaida yenu, huwa akili zenu zimefungwa na hampendi kuelewa....nimekujibu lakini bado tu hutaki kuelewa. Usiku mwema, ipo siku akili zitakujia na utaelewa before it's too late.
Eh! nishakuwa Al-shabab tena!!! haya ngoja nikuache.

Vp sasa dini zetu za asili ?nipe mawili matatu huko.
 
HII NDIO ENDING OF THINKING CAPACITY YAKO. UMESEMA UMEDANGANYWA KUHUSU DINI. HIVYO WEWE HUAMINI TENA HIZO DINI AT SAME TIME UMEDANGANYWA KUHUSU MOHAMMED KISHA UNAAMINI KATIKA HUO UONGO.
FOOLISH
NI VIZURI KAMA UNGEKUWA UNA AKILI BASI HATA HUYO MOHAMMAD USINGEAMINI KAMA ALIWAHI KUWEPO, TOFAUTI NA HAPO UTADANGANYWA MPAKA KUFA KWAKO.
 
BADO TU UNAAMINI UONGO
 
Kwenye Quran wapi wameandika Mohammad alikuwa anabaka?
 
YAANI UNAAMINI HISTORIA(HADITHI ZA VITABU VYA KALE) KISHA UNAPINGA HISTORIA KWA KUTUMIA HISTORIA
 
BADO TU UNAAMINI UONGO


Uwongo uko wapi hapo.....usijiaminishe vitu visivyo na maana kijana, soma upate kupevuka. Mwenzio nimesema hizi dini zote mbili (Ukristu na uislam) ndipo nikaona hazina faida zozote kwetu.
 
YAANI UNAAMINI HISTORIA(HADITHI ZA VITABU VYA KALE) KISHA UNAPINGA HISTORIA KWA KUTUMIA HISTORIA


Hizo ni hadith zenu waislam, kwani nyie si bado mnafuata sheria za kale mpaka leo hii au wewe tu ndiyo hufuati?
 
YAANI UNAAMINI HISTORIA(HADITHI ZA VITABU VYA KALE) KISHA UNAPINGA HISTORIA KWA KUTUMIA HISTORIA


Kijana Mosaby nahisi una akili timamu.....wewe kama ni muislam LAZIMA utakuwa unajuwa kuwa Uislam una base katika three (3) doctrines nazo ni Qu'ran, Sira, Hadith (ambazo zaidi ya 80% vinazungumzia maisha ya Mohammad tu na vituko vyake).....sasa kwanini unapinga hivi vitabu na kusema ni vya kale? Sheria zote za dini ya Kiislam ziko based therein, wewe unafuata dini gani? Narudia, usipende kukariri tu, some upevuke.
 
Una uthibitisho gani kama mimi mwislam halafu napinga hivyo vitabu?
Kinachotakiwa uongee fact based on reality and not fact based on historical narration. Je utawaaminije baadhi ya history na zingine usiziamini? Unatakiwa uprove theory zako kwa current event and not historical event. Una hakika gani kama walioandika hizo story wako 100% correct?
 


Waislam wanadai Qu'ran kimeshushwa na Mungu na nimequote hivyo vitu from that holly book, kama unabisha wabishie waislam, all I did was quoting what I read in school na si kuambiwa tu mtaani. Sasa kama Qu'ran ni maandiko ya Mungu wewe unambishia Mungu? Basi Mpigie simu umbishie.
 
Uwongo uko wapi hapo.....usijiaminishe vitu visivyo na maana kijana, soma upate kupevuka. Mwenzio nimesema hizi dini zote mbili (Ukristu na uislam) ndipo nikaona hazina faida zozote kwetu.
Kuamini kuwa Mohammad alifanya hayo wakati hayo yameandikwa na mtu kama wewe.
 
Kama wewe haumbishii. Kwanini unampinga?(usitumie jazba jibu kistaarabu) Hicho ulichofundishwa shule una hakika gani kuwa ni correct? Je itakuwaje kama waliokufundisha wako katika mfumo wa kuendelea kukudanganya kama Yesu na Muhammad?
 


Kaka sijaona ushahidi wa nani alibakwa na mtume amani iwe juu yake,unaleta nukuu ambazo ziko dhidi yako.

Wewe umeshakubali kabisa kwamba mtume alimuoa mama Aisha,sasa vipi ambake ?

Pili ungekuwa mtu mwenye busara na mtazamo chanya,ungeuliza kwanini nimemuita Aisha mama,Allah amridhie mama. Allah aliye juu ametuambia ya kuwa wakeze mtume ni mama zetu.

Kadhalika bado hujaonyesha ni wapi aliolewa mama Aisha akiwa na miaka 9 na wala hujaonyesha ni wapi alibaka.

Nasubiri majibu. Pia ujifunze kunukuu maandiko,kisha uyasome na uyaelewe.
 
Ingawa simuamini huyu Muhamad lakini wanaume wa enzi hizo walikuwa vilaza sana.
Maana alijua hawa jamaa wasingekubali kupigana vita vyake na alijua tamaa zao kubwa ni ngono.
Ndio maana akawaambia tukishinda vita kila mwanaume ajitwalie mwanamke mateka amfanye mkewe.
But wakashutuka mmh sasa je tukifa?????
Ndio fasta akachanganya kichwa akawaambia atakayekufa vitani akieneza dini ya Mungu basi atakutana na wanawake bikra 70...ni just simple logic...jamaa mzuka ukawaingia wakawa mapanga fyaa.....
NB: Na ndio maana huoni zawadi ya wanawake wakifika huko kama watapewa wanaume 70 sababu kwenye mipango yake ya vita hawakuwepo...so hawakuwepo nao kuhoji zawadi zao.
Mic Drop!!!
 
Ilo jiwe lije tu Ata saizi nimechoka kula malage kila cku mm.....[emoji57]
 
Kuoa mke wa miaka sita sioni ajabu, Kuna mila za baadhi ya maeneo mtoto anachumbiwa tangu akiwa mchanga lkn majukumu yake ya mke atatekeleza akishakuwa.

Kumbuka kuwa Muhammad licha ya kuwa ni nabii lakini aliziishi baadhi ya mila ambazo hazipingani na amri za Mwenyezi MUNGU. Mfano wa mila mbaya ambayo Mtume Muhammad aliipoga marufuku ni tabia ya baadhi ya waarabu kuwaua watoto wachanga wanapozaliwa wakiwa wanawake na wakati wazazi walikuwa wakitarajia mtoto wa kiume. Yapo mengi yalipigwa marufuku ikiwemo zinaa, kamali, ulevi, kuua pasipo haki n.k.

Tusimsingizie Muhammad uongo kwa vile tu tunachuki na uislam kwasababu ya mapenzi ya dini zetu. Ni bora kuwa kimya kwa jambo usilokuwa na hakika nalo kuliko kuzusha uongo. Sina hakika ukiulizwa muhammad alimuua nani na kwasababu gani utajibu nini? Infact kuua ni jambo baya lkn si jambo la ajabu maana hata wewe mtu akikuprovoke to the maximum waweza kuua and it is legal.

Mtu unashindwa hata kujiulliza swali jepesi why millions of wise people on earth follow muhammad baadala yake unatunga mambo usiyoyajua. Ukitaka kuujua uchawi sharti ujifunze kwa wachawi wenyewe na ukitaka kuujua uislam sharti ujifunze kwa waislam wenyewe sio unaenda kujifunza isilam kanisani halafu unasema unaujua. Infact wapo pia baadhi ya waumini wa dini ya kiislam wajinga kama ww wanaofundishwa ukristo msikitini halafu wanasema wanaujua ukristo kumbe wapotoshaji tu.

Kukaa kimya ni bora zaidi kwa jambo usilolijua. Inahitaji hekima kidogo tu kutambua jambo hili. Cha ajabu ww unajiita mkristo lkn unalalamika watu wengi kufa kwa harakati za muhammad kueneza uislam lakni hulalamiki MUNGU wa waisrael aliyeamuru waisrael toka misri wawaue watu wote watakaowakuta katika nchi ya kanaan. Kuna dalili zote ww huzijui hata hizi dini bali umedandia tu kwa mbele gari linaloitwa dini. Soma dini zote uelimike sio usome dini moja kukuza mahaba yako kwa dini husika.
 
Mheshimiwa, mbona hicho kisa cha Banu Mustaliq unakisimulia nusu? Mantiki yako ni nini? Hii ni chuki au ni nini? Ni roho mbaya au tuiitaje? Kama hupendezwi na uislam waache waliyopendezwa nao. Utaishi maisha ya raha tu, tatizo liko wapi. Ukikutana na wenye jazba watakuja kukuumiza mwisho wa siku uandike waislamu wakorofi.

Hicho kisa cha Banu Mustaliq kinapatikana katika Zaad al' Maad mjeledi wa 2/ 112, 113..Ibn Hisham 2/289,290,294 na 95. Ilikuwa ni Bani Al ' Mustaliq ndiye was mwanzo aliyeyaanza na habari zikamfikia Mtume s.a.w na ilikuwa ni mwezi Shaaban ya pili, kwamba kiongozi wa Bani Al' Mustaliq kwa jina ni Al harith bin Dirar amekusanya jeshi lake na pamoja na baadhi ya waarabu kuivamia Madinah. Buraidah bin Al' hasiib Al' aslam kwa haraka akatumwa aende akachunguze kupata uhakiki wa hiyo habari kuhusu Banu Mustaliq. Akakutana na Abi Dirar kiongozi wa Banu Mustaliq, akazungumza naye ili kuepusha vita aliyokusudia kuifanya. Abi Dirar akakataa akaweka wazi nia yake na akatangaza vita.

Huo ni muhtasari, ukitaka habari kamili pitia vitabu nilivyoweka hapo juu. Sipati picha yaliyo moyoni mwako kama unayo ya dhihirisha yapo hivi. Hata kama mtu/jamii ina/ana' kosea tumia hekima kumu/ kuwa- elimisha. Njia unayoitumia si nzuri kiukweli hata kama waislamu wanakosea.
 
Mheshimiwa, haya mambo utakuja kuaibika bure. Haya, tupatie ushahidi wa kiislam unaothibiti kwa hayo uliyoandika kama wewe ni msema kweli.

Sihitaji fikra yako nahitaji ushahidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…