Yajayo yanafurahisha kwa kila Mtanzania, tutaita maji mma. Marehemu hakashifiwi!

Hali ya uchumi na mfumuko wa Bei vilianza kabla ya hii vita, hii vita no chaka la kujifichia.

Hali ni mbaya sana serikalini, ni muda tu mtapata majibu.

Kuna vuta nikuvute nguo ichanike.

Mama na jopo lake nchi imewashinda mapema mno.
Ulitaka wakulima washindwe hata kuvaa nguo mpya kwa kuwanyima masoko bora kama alivyofanya merehemu?.
Acha kila mtu afaidi kazi ya nguvu zake.
 
Tangu ulipotuambia Putin amefariki kisha ukaja kusema tena amefufuka na kansa sikuamini tena....

Watanzania ni sisi sisi na yote tutayavumilia
Hamkumwelewa

Putin HALISI alishajifia siku nyingi sema tishu refiling ndio inamweka Mjini!!

Jiulize ni mtu GANI asie zeeka KILA siku kijana!!
 
Tuanzishe umoja party
Katibu mkuu awe Bashiru
Mwenyekiti polepole
 
Yule alikuwa ni zaidi ya shetani
 
Alikuwepo Daud alie muuwa Uria tena kwa nia yakumtaka mke wake uwe Magu ambaye huwenda hata hakutoa oda yakuuwawa ila waliomuuwa wwnajuwa chanzo. Uko Saudia Walimchinja mtu kama kuku
 
We jamaa unanichekeshaga!

Ulianzaga mwanzoni mwa uongozi wa Samia kumpiga mkwala Rais, Mara kutabiri amalizi mwaka uongozi wake,

Sasaivi umekuwa mpolee
 
Jiwe Nchi ilishamshinda!
 
Wanaofanya kazi kwenye hizi NGO's hasa USAID na nyingine za magharibi nadhani wajiandae kisaikolojia tu, funds zinaanza kupunguzwa taratibu ila kwa uhakika.

Leo DANIDA wameshafunga ofisi zao bongo, no more funds.
Sasa kuna ubaya gani kama wafadhili wakifunga ofisi ??

Nchi haiwezi kukua kwa kutegemea misaada isiyo na kikomo.
 
Mbona ww unawaabudu Daud na wenzao kina Ibrahim na walishakufa,au hao ni watakatifu wa kwenu ni mizimu?....
 
Hali ya uchumi na mfumuko wa Bei vilianza kabla ya hii vita, hii vita no chaka la kujifichia.

Hali ni mbaya sana serikalini, ni muda tu mtapata majibu.

Kuna vuta nikuvute nguo ichanike.

Mama na jopo lake nchi imewashinda mapema mno.

hawa vifaduro kuna nini wanajua sasa???

kila kitu wameaguzwa wasene ni sababu ya vita.
 
kuna pimbi nilikuwa namwambia akawa anadhani yeye yuko jikoni zaidi.

nikamwambia Dr mwana wa ali,alitaka kufanya atemp mbaya kabisa lakini kwa manufaa ya kampuni sio kijiwe chake na masela zake,waliokwenda kuchana mkeka ni jamaa watatu wa taasisi zile tatu zinazofuatana.na kisa walikuwa wakiulizia taarifa za mkubwa wao hawapewi majibu yaliyonyooka baada ya kelele za kumtafuta kuzidi mitandaoni.jamaa ilibidi wafike kwa pamoja pale hospital nje ya nchi jirani wakiwa wamekwenda kawaida kabisa kama kwenda kumwona mgonjwa sio na manguo yao NO.
walivyofika pale nao wakapewa jibu kama alilopewa mkwere"mzee amesema nyinyi msiingie"na wao kwa pamoja wakauliza "hata sisi jamani!!!"
wakatumia vyeo sasa,kama kuwafukuza akawafukuze yeye mwenyewe,mpaka ndani.wanakuta.....
Mwamba wa mweusi umelala[emoji24][emoji24][emoji24],wa baridi kabisa.

kumgeukia Dr wamuhoji nini kile akanyoosha maelezo kwamba dereva anayetajwa na kanuni,ana reseni ila kwakweli haimudu gari.ataingiza gari mtaroni.wakamkemea weeeeeeee weeeee,usitutanie.tuko kwa ajiri hiyo apigiwe simu haraka arudi aliko akasome taarifa,kkutwa akasimame kwenye mimbari.the rest was it is.

ajabu ni kwamba Dr hakuhukumiwa kwa adhabu aliyostahili "uhaini"unajua ni kwanini???huyu jamaa niliyebishana naye hakunijibu.
 
Hata haieleweki ni nini kimeandikwa hapa
 
M
Thread za onyo zisiondolewe, huezi jua labda wahusika watageuka na kutubu Nchi ikaepuka mapigo.
 
WAHUNI wamerudishwa ulingoni. Mwamba aliwafutilia mbali lakini huyu kwa kuwa anaingilika kirahisi rahisi, amethubutu kuwaingiza ulingoni WAHUNI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…