Yajue haya majani ni dawa ya vidonda vya tumbo

Thread ina miaka mitatu lakini hakuna mrejesho sijui waliokunywa wametokomea wapi!
Kama umepona basi Mungu ni mwema.
Mi nilianzia mwanzo kusoma mbona wapo walipsema wamepona!
Halafu hizi thread zipo 2 zinafanana!

Ila mi nitaleta mrejesho
 
Mashona nguo au Nyakifwega
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…