Huu siyo wenyewe mmea namba mbili ni ule maarufu siku hizi za CORONA kwa jina la KASHWAGALA unatibu magonjwa mengi ila kama una PRESHA wanasema inabidi uwe makini - Unapandisha Presha (Sina uhakika na hili). Lakini hii picha siyo yenyewe kabisa, hivyo kuwa makiniNimeona majani yanayofanana na hayo majani aliotuonesha mdau...
Unakunywa mara ngapi kwa siku na dozi ni ya siku ngapiUkiandaa kila siku ili kupata matokeo mazuri itapendeza. Hata pia nilipotumia pia niliandaa kila siku.
Mungu akubariki ninayatufuta hayo majani nami nijianzishie doziNdio maana nimekuwa nahukumiwa nafsini, kuona nimepona gonjwa ambalo watu wanapoteza pesa nyingi na kuwa nimekaa kimya miaka inaenda na sijasaidia mtu yeyote. Atleast kwa sasa nimejaribu.
Huu siyo wenyewe mmea namba mbili ni ule maarufu siku hizi za CORONA kwa jina la KASHWAGALA unatibu magonjwa mengi ila kama una PRESHA wanasema inabidi uwe makini - Unapandisha Presha (Sina uhakika na hili). Lkn hii picha siyo yenyewe kabisa, hivyo kuwa makini
Yenyewe hii hapa Chini
View attachment 1518173
Mimi siyo mtu wa Dar hivyo siyajuiHaya ni mavumbasi?
Huku dar wanayaita?
Asante mjumbe ngoja niyatafuteMara moja kwa siku, Tumia kwa siku 4
JF ina sharti la kutuma picha lazma size iwe ndogo kitu ambacho kinaathiri resolution ya picha na picha kutoka kwenye muonekano wake wa awali nicheki kwenye 0625680616 nikufowadie kwa watsup.Wana jamiiforums naomba msaidie kumpata yule member ambaye jana alikuwa akitangaza dawa ya vidonda vya tumbo na kuweka picha ya majani yake, kama yupo karibu namuomba pm au kama kuna mtu alichukua namba zake msaada please, ahsanteni
Huu sio mchicha sheikHuu siyo wenyewe mmea namba mbili ni ule maarufu siku hizi za CORONA kwa jina la KASHWAGALA unatibu magonjwa mengi ila kama una PRESHA wanasema inabidi uwe makini - Unapandisha Presha (Sina uhakika na hili). Lkn hii picha siyo yenyewe kabisa, hivyo kuwa makini
Yenyewe hii hapa Chini
View attachment 1518173
Siyo Mchicha huo ndo Kashwagala ingawa jamaa anabisha ila hapa ninapoishi nimeipanda na wakati wa COVID nilikuwa naitumia kila siku kwenye CHAIHuu sio mchicha sheik