Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 1,292
- 2,382
Ulitumiaje Christine na ugonjwa wako ulikuwa nao kwa muda gani mkuu?Nishapata soln
Mungu mwema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitumiaje Christine na ugonjwa wako ulikuwa nao kwa muda gani mkuu?Nishapata soln
Mungu mwema
Hello Tayana habari, umepata tiba ya vidonda vya tumbo? Mimi pia nasumbuka navyoUpo mkoa gani jmn na vidonda aisee!
Naomba msaada wako
Mrejesho pia
Mwenye hayo majani nayaomba. Hata kununua nitanunuaHello Tayana habari, umepata tiba ya vidonda vya tumbo? Mimi pia nasumbuka navyo
mAtumizi yake ni kwa muda gani mkuu?Haya majani yanapatikana zaid sehemu zenye bustani
mkuu naomba unisaidie nayapataje nakuomba sana nielekeze ulikoyapata au unipeleke kwa gharama zangu ntashukuru ,kuuNdio maana nimekuwa nahukumiwa nafsini, kuona nimepona gonjwa ambalo watu wanapoteza pesa nyingi na kuwa nimekaa kimya miaka inaenda na sijasaidia mtu yeyote. Atleast kwa sasa nimejaribu.
Nyakati za masikamAtumizi yake ni kwa muda gani mkuu?
Sikupati ,,pls nicheki nikupigie serious 0752661812Kama kuna anayepata taabu na vidonda vya tumbo nitafte inbox nikupe no. kwa dawa hii usipopona basi wewe utakuwa na tatizo jingine.Kama mimi nimepona kwa nini wewe usipone.
Nakiri wazi kabisa,,nimemtumia masaa mawili vimetulia kaaabisa Vidonda kesho siku ya pili natumia,,Haya majani ni kiboko sana,hata kama unaumwa tumbo,ukiyatafuna tu.tumbo linaacha kuuma kabisa aisee.
Ufaham huu niliotoa hapo ulilenga kukuwezesha wewe kupata tiba toka katika mazingira yako na sio mimi kukuletea tiba. Hata kesho nisipokuwepo najua jukwaa hili litakuwepo litakufaa na litawafaaa wengine pia. Majani hayo huota pembezoni mwa vijito au maeneo nyevu.mkuu naomba unisaidie nayapataje nakuomba sana nielekeze ulikoyapata au unipeleke kwa gharama zangu ntashukuru ,kuu