Yajue mabadiliko yanayokuja katika Sheria ya Usalama Barabarani

Yajue mabadiliko yanayokuja katika Sheria ya Usalama Barabarani

Chaliifrancisco

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2015
Posts
26,021
Reaction score
79,710
Serikali inakusudia kufanya marekebisho kadhaa katika Sheria ya Usalama Barabarani, Sura ya 168. Marekebisho yaliyowasilishwa Bungeni kupitia Mswaada
wa Marekebisho ya Sheria ya makosa ya Barabarani ni pamoja na:-

1. Marekebisho katika Kifungu cha 21, kwa kuweka sharti la lazima kwa mtu yeyote anayetaka kuwa dereva wa pikipiki kusomea udereva katika shule ya udereva iliyosajiliwa kama ilivyo kwa madereva wa magari.

2. Marekebisho ya Kifungu cha 36, ambapo inakusudiwa kuwa dereva aliyefungiwa leseni Kenya na Uganda atahesabika kuwa amefungiwa vilevile kuendesha gari Nchini (Tanzania);

3. Marekebisho ya Kifungu cha 50, ambapo inependekezwa kuongezeka kifungu kidogo cha (29) chenye lengo la kufanya kuwa kosa la kwa dereva kuendesha gari huku akiongea na simu.

Kifungu hiki hakihusiani na kuendesha gari huku dereva akiongea na simu kwa kutumia kifaa maalumu cha kuongelea;

4. Utambulisho wa kifungu kipya cha 39D, ambacho kinaleta kufanya kuwa kosa kwa abiria aliyeko katika gari bila ya kufunga mkanda.

Vilevile kifungu hiki kinafanya kuwa kosa kwa mhusika / wahusika kwa kumweka au kumbeba mtoto aliyeko chini ya umri wa miaka mitano katika kiti cha mbele. n.k.
 
Hapa Kwenye Boda Boda imekaa vyema Sana hawa wajinga wanakufa kilasiku Kwa uzembe wa wao na traffic pia
 
Haya mapendekezo yatakuwa yamependekezwa na polisi wenyewe haya unafuu wowote kwa raia
 
Hizo driving School zenyewe zipo za kutosha?
Màana driving kwasaivi ni hitaji la msingi kwa kila raia
 
Serikali inakusudia kufanya marekebisho kadhaa katika Sheria ya Usalama Barabarani, Sura ya 168. Marekebisho yaliyowasilishwa Bungeni kupitia Mswaada
wa Marekebisho ya Sheria ya makosa ya Barabarani ni pamoja na:-

1. Marekebisho katika Kifungu cha 21, kwa kuweka sharti la lazima kwa mtu yeyote anayetaka kuwa dereva wa pikipiki kusomea udereva katika shule ya udereva iliyosajiliwa kama ilivyo kwa madereva wa magari.

2. Marekebisho ya Kifungu cha 36, ambapo inakusudiwa kuwa dereva aliyefungiwa leseni Kenya na Uganda atahesabika kuwa amefungiwa vilevile kuendesha gari Nchini (Tanzania);

3. Marekebisho ya Kifungu cha 50, ambapo inependekezwa kuongezeka kifungu kidogo cha (29) chenye lengo la kufanya kuwa kosa la kwa dereva kuendesha gari huku akiongea na simu.

Kifungu hiki hakihusiani na kuendesha gari huku dereva akiongea na simu kwa kutumia kifaa maalumu cha kuongelea;

4. Utambulisho wa kifungu kipya cha 39D, ambacho kinaleta kufanya kuwa kosa kwa abiria aliyeko katika gari bila ya kufunga mkanda.

Vilevile kifungu hiki kinafanya kuwa kosa kwa mhusika / wahusika kwa kumweka au kumbeba mtoto aliyeko chini ya umri wa miaka mitano katika kiti cha mbele. n.k.
Mwendokasi sionagi Mikanda kwa ajili yetu sisi abiria vipi hii imekaaje??
 
Kuongea Na Simu Hivi Watunga Sheria Wabunge Wamelongwa Na Nani? Yaani Wao Wataweza
 
Serikali inakusudia kufanya marekebisho kadhaa katika Sheria ya Usalama Barabarani, Sura ya 168. Marekebisho yaliyowasilishwa Bungeni kupitia Mswaada
wa Marekebisho ya Sheria ya makosa ya Barabarani ni pamoja na:-

1. Marekebisho katika Kifungu cha 21, kwa kuweka sharti la lazima kwa mtu yeyote anayetaka kuwa dereva wa pikipiki kusomea udereva katika shule ya udereva iliyosajiliwa kama ilivyo kwa madereva wa magari.

2. Marekebisho ya Kifungu cha 36, ambapo inakusudiwa kuwa dereva aliyefungiwa leseni Kenya na Uganda atahesabika kuwa amefungiwa vilevile kuendesha gari Nchini (Tanzania);

3. Marekebisho ya Kifungu cha 50, ambapo inependekezwa kuongezeka kifungu kidogo cha (29) chenye lengo la kufanya kuwa kosa la kwa dereva kuendesha gari huku akiongea na simu.

Kifungu hiki hakihusiani na kuendesha gari huku dereva akiongea na simu kwa kutumia kifaa maalumu cha kuongelea;

4. Utambulisho wa kifungu kipya cha 39D, ambacho kinaleta kufanya kuwa kosa kwa abiria aliyeko katika gari bila ya kufunga mkanda.

Vilevile kifungu hiki kinafanya kuwa kosa kwa mhusika / wahusika kwa kumweka au kumbeba mtoto aliyeko chini ya umri wa miaka mitano katika kiti cha mbele. n.k.
1. Marekebisho katika Kifungu cha 21, kwa kuweka sharti la lazima kwa mtu yeyote anayetaka kuwa dereva wa pikipiki kusomea udereva katika shule ya udereva iliyosajiliwa kama ilivyo kwa madereva wa magari.

Hiyo hapo juu ni sawa lakini kuongea na simu lazima kufafanua kwakuwa naweza kuongea kupitia loud speaker bila kuishika
 
Back
Top Bottom