EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Wanachuchumaa wakiwa wanafanya niniAskali hupiga ukuiwa kituoni hasa Kama unakataa kosa hukupiga ili ukubali lakini sio jera Ila kingine kinacho legeza Sana miguu hasa magoti jera Ni Ile kuchuchumaa sana
Unapo ongea na nyapala unachuchu maaWanachuchumaa wakiwa wanafanya nini
Matumizi ya r na l yana umiza kichwaAnother itaendelea...
Sasa mbona ni adhabu ndani ya adhabu ?? Hii ni sawa kweli?Unapo ongea na nyapala unachuchu maa
Unapo ongea na askali una chuchumaa
Mkiitwa assemble mna chuchumaa
Tena assemble ndiyo baraa mna weza kukaa masaa hata mawili mme chuchumaa kumbuka sio kukaa mnakuwa mme chuchumaa
Hayo yapo kwa ajili ya wenye nacho tuKwanini mashirika yanayotoa misaada ya kisheria yasiende kuwasaisldia hao waliosingiziwa? Waliokaa mahabusu miaka mitano anaona Bora ningefanya hayo ninayotuhumiwa niwe hapa kihalali. Kuna mashirika, mpk mawakili wa serikali, na legal aids mbalimbali ikiwemo na ya Mhe Rais hebu wawe wakiwakumbuka na hao kama Kijana aliyeokota risasi
Mbona wanasema saivi chooni kumefungwa cctv camera ni kweli au mahabusu ulikokua yalikua bado hayajafungwa camera?Nyapala pamoja na wengine wenye kesi nzito nzito maisha yao ni rahisi huko jera japo bado wapo jera
Na kuhusu ubasha huwa unafanyikia chooni
je tuta zuia ushoga jera kweli?
Ndiyo maana wanasema
Kama jera ni shule mpeleke mwanao sio mwana wa mwenzio
Cc @Mshana Jr , @Ushimen @Bantu Lady @To yeye @Evelyn Salt @Scars @Greatest Of All Time @Frank Wanjiru @MALCOM LUMUMBA @dudus
Ndugu yangu jera ukiwa na pesa nothing is impossibleMbona wanasema saivi chooni kumefungwa cctv camera ni kweli au mahabusu ulikokua yalikua bado hayajafungwa camera?
Jera Ni mateso mkuuSasa mbona ni adhabu ndani ya adhabu ?? Hii ni sawa kweli?
Mantiki yake ni nini au wameweka utaratibu wa kuwatesa watuUnapo ongea na nyapala unachuchu maa
Unapo ongea na askali una chuchumaa
Mkiitwa assemble mna chuchumaa
Tena assemble ndiyo baraa mna weza kukaa masaa hata mawili mme chuchumaa kumbuka sio kukaa mnakuwa mme chuchumaa
Ni upuuzi na kukomoana tuMantiki yake ni nini au wameweka utaratibu wa kuwatesa watu
Hivi hao wanaongiliwa na manyapala wanabakwa au kwa tamaa zao wenyewe?? Dah maana inahuzunisha sana!!Ni upuuzi na kukomoana tu
Kwani raia wanaruhusiwa kuingia ndani kuona ili kujua mahitaji ?Hakika ukifanya hivyo uta balikiwa Sana Tena kabla hauja wapelekea tembelea kwanza
Utawaona wanao hitaji msaada hata hata kwa kuwa angalia tu
waulize majina yao Kisha wapelekee mkuu uta barikiwa
Mkuu Maneno mengi kuhusiana na misaada ya kisheria ni porojo za kisiasa.Wasiishie kuongea Kwenye matiivii tunatoa misaada ya kisheria na siku ya sheria kutoa msaada Kwa wananchi walio huru mitaani badala kuanzia na ndugu wanaoozea huko Kwa kesi za kusingiziwa.
Jela za Tanzania na kwingineko zimevuka mipaka ya kumuadhibu mhalifu na kuingia kwenye kuutweza utu wa binadamu hivi mfano huyo anayewaambia wafungwa wainame awakague mpaka mkunduni hivi yeye mwenyewe sijui anafikiriaje kuhusu hiyo kazi yake,anawachungulia mpaka watu wenye umri wa zaidi ya wa baba yake,na viongozi wetu wanayajua haya na wala hawana habari nayo sijui pengine wanayaacha ionekane jela ni jehanamu kuwa discourage watu wasifanye makosa ya kuwapeleka hukoNi upuuzi na kukomoana tu
Hivi hawawezi kutumia scanner zinazoangalia ndani ya mwili?Jela za Tanzania na kwingineko zimevuka mipaka ya kumuadhibu mhalifu na kuingia kwenye kuutweza utu wa binadamu hivi mfano huyo anayewaambia wafungwa wainame awakague mpaka mkunduni hivi yeye mwenyewe sijui anafikiriaje kuhusu hiyo kazi yake,anawachungulia mpaka watu wenye umri wa zaidi ya wa baba yake,na viongozi wetu wanayajua haya na wala hawana habari nayo sijui pengine wanayaacha ionekane jela ni jehanamu kuwa discourage watu wasifanye makosa ya kuwapeleka huko
Na hiyo kuchuchumia masaa mawili si miguu inakufa ganzi. Wagonjwa, wazee, walemavu vipi kuhusu kuchuchumaa assembly?Unapo ongea na nyapala unachuchu maa
Unapo ongea na askali una chuchumaa
Mkiitwa assemble mna chuchumaa
Tena assemble ndiyo baraa mna weza kukaa masaa hata mawili mme chuchumaa kumbuka sio kukaa mnakuwa mme chuchumaa
Uwezekano upo ila tu ni kwamba wamependa sehemu ile iwe kuzimu na iogopekeHivi hawawezi kutumia scanner zinazoangalia ndani ya mwili?