Yajue Maisha yalivyo jela

Yajue Maisha yalivyo jela

Nyampala anapatikanaje?

Na je ili uwe nyampala unatakiwa uwe mbabe gerezani?

Unaweza kuchaguliwa kuwa nyampala hata kama kifungo chako ni cha muda mfupi au nyampala ni wale waliofungwa kwa miaka mingi?

Nyampala hupatikana kwa kupigiwa kura na wafungwa au huchaguliwa na askari jela?

Je kila nyampala lazima awe mla vinyeo vya wenzie au kuna manyampala hawana michezo hiyo?
 
Mkuu nina swali moja.
Nyapala akitaka kukupiga show mwanaume mwenzie ambaye ni rijali kabisa, ukikataa ukamkazia, si basi? Au inakuwaje mpaka mtu anafanywa bila ridhaa yake?
Hii inanipa majonzi sana, ni kwamba anatumia ubabe au ni vipi yani??
Mkuu hakuna anayelazimishwa ni tamaa zako tu ukitaka ulalie godoro lisilo na kunguni ule dagaa rosti limeungwa au hadi pilau ndio maana kuna msemo" tumbo liliponza tako jela" maana yake hiyo
 
Nyampala anapatikanaje?

Na je ili uwe nyampala unatakiwa uwe mbabe gerezani?

Unaweza kuchaguliwa kuwa nyampala hata kama kifungo chako ni cha muda mfupi au nyampala ni wale waliofungwa kwa miaka mingi?

Nyampala hupatikana kwa kupigiwa kura na wafungwa au huchaguliwa na askari jela?

Je kila nyampala lazima awe mla vinyeo vya wenzie au kuna manyampala hawana michezo hiyo?
1)Nyampala huchaguliwa na askali jera na huapishwa na wao

2)ubabe utakufanya uheshimike lakini haukufanyi kuwa nyapala japo nimoja yanjia ya wewe kuwa nyampala ili usiwe kikwazo kwa manyampala

3 )unaweza kukaa mda mlefu na usiwe nyapala na ukakaa mda mfupi na ukawa nyampala Ina tegemeana na ushawishi wako wa nje/ndugu kwa maaskali jera kwa usarama wako ndani ya jera

4)askali jera ndiyo huamua Nani awe nyampala Ila nyampala ndiyo huchagua Nani awe kiele ele

5)nyampala wengi niwatu wazuli ila wapo wapuuzi ambao waki pewa cheo hicho huwa na tabia hizo mkuu
 
1)Nyampala huchaguliwa na askali jera na huapishwa na wao

2)ubabe utakufanya uheshimike lakini haukufanyi kuwa nyapala japo nimoja yanjia ya wewe kuwa nyampala ili usiwe kikwazo kwa manyampala

3 )unaweza kukaa mda mlefu na usiwe nyapala na ukakaa mda mfupi na ukawa nyampala Ina tegemeana na ushawishi wako wa nje/ndugu kwa maaskali jera kwa usarama wako ndani ya jera

4)askali jera ndiyo huamua Nani awe nyampala Ila nyampala ndiyo huchagua Nani awe kiele ele

5)nyampala wengi niwatu wazuli ila wapo wapuuzi ambao waki pewa cheo hicho huwa na tabia hizo mkuu
Sawa,nmekusoma
 
Niulize chochote kuhusu ntakujibu nikitu Cha ukweli mkuu na kimeisha tayali
Hilo gereza ulilofungwa hali yake ilikuwa hivi?? Hili ni segerea (DSM) kwa mujibu wa Boni Yai.

Ndani ya gereza Kuu la Mahabusu Dar es Salaam - Segerea kuna sehemu kubwa na maarufu kama tano;

Sehemu ya kwanza; nje ya gereza, wageni hufika na kusubiri utaratibu wa kuingia ndani kuona ndugu zao. Kuna Canteen, Duka na eneo la kukaa wageni.

Sehemu ya pili; Jengo la Utawala ambalo ndiyo ofisi ya Mkuu wa Gereza maarufu “Bwana Jela” na askari wake wanasimamia wafungwa na mahabusu ndani ya gereza.

Sehemu ya tatu; “ujambazini”, huko kuna vyumba vya Jela 10 na kila Kimoja kina idadi maalum ya watu, mfano namba 10 inachukua watu zaidi ya 200 na zaidi.

Sehemu ya nne; Upande maalum (Special Wing) wanaishi mahabusu au wafungwa ambao ni watoto chini ya miaka 18, mahabusu, wafungwa wachache

Sehemu ya tano; “PC - Private Cell”. Huko hupelekwa watu watukutu au wanaotenda makosa wakiwa ndani ya gereza nje na makosa wanayopelekwa nayo gerezani.

Ujambazini selo zipo 10 zikiwa zina Mahabusu na Wafungwa wanaokadiriwa kuwa 600

katika hao 600 mahabusu pekee wapo 500 kule Ujambazini kote na Mahabusu 400 wote wanakabiliwa na mashitaka ya Ujambazi (armed robbery) na cha ajabu zaidi wote mashitakata yao yametokea zehemu moja, kwa "Dulla Ma-robbery" nitaeleza siku nyingine kwa upana hapa.

Kwanini wanaita special wing? Ni swali kila mtu anajiuliza ndani ya gereza na nje ya gereza lakini hakuna mwenye majibu kamili. Kwa sababu siku hizi hata Ujambazini kuna TV zenye ving'amuzi vya DSTV na AZAM kila Jengo.

Ujambazini kula chakula cha gerezani (ugali maharage umejitakia tu) sababu watu wa Ujambazini wanaruhusiwa kuweka order ya chakula cha canteen.


 
🙆🙆🙆 wanakagua Hadi back stage? Sasa mtu utaficha Nini huko jamani?
Kwa sisi tulio wahi kua jela nilikua nashuhudia watu wakiweka sigara ,sigara znanunuliwa pakti moja ,alaf zinatolewa kwenye pakti zinawekwa kweny karatas ya nailoni kama Ile mifuko miyeus iliyopigwa marufuku ,yaan anachana kipande Cha iyo nailoni na kuweka zile sigara zikiwe zimeviringishwa midhili ya barafu sema inakua fupi ,,alaf anaweza paka mafuta au mate alafu anaisokomeza huku matakoni ,anachukua ingine anaisokomeza ,Kwa iyo anaweza beba idadi kubwa tuu,,,Akifka kule sigara inaweza kuuzwa jero ,au buku ,kumbuka inaweza kua biashara ya hata afande ,,bangi pia nlishuhudia
 
IMG-20241031-WA0004.jpg
 
Back
Top Bottom