GREAT NAME
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 1,078
- 1,718
Hakika ukifanya hivyo uta balikiwa Sana Tena kabla hauja wapelekea tembelea kwanza
Utawaona wanao hitaji msaada hata hata kwa kuwa angalia tu
waulize majina yao Kisha wapelekee mkuu uta barikiwa
INSHAALAH 🙏🙏Ubarikiwe ndugu yetu kwa kutukumbusha jela sio poa, Mungu pekee ndo atuepushe maana hata tukijitahidi kuishi vizuri bado maadui zetu watafanya njama tuombe sana kwa muumba atulinde na hila za walimwengu
lazima mkawe mboga ya mnyampalaDe Opera mshamba_hachekwi tukienda jera tunatoboa kweli
Kabisa, kule hapafai kabisa. 🙌🏾Ahahaaha ngoja tujiepushe na makosa aki
By the way zile siyo sehemu nzuri kabisaAiseeh pale mahala pana watu wake😅😅
naona L na R ni mgogoro
Nyapala pamoja na wengine wenye kesi nzito nzito maisha yao ni rahisi huko jera japo bado wapo jeraHuko jera nyapala nae analala Mchongoma? Au anakuwa na sehemu maalum ya kulala?
Huo ubasha wanafanyia ktk mazingira gani?
Hakika mkuu mungu atuepusheMungu atuhepushe tuu aiseee..
Hasa kwa sisi wanahume tuna safari ndevu sana
Ilikuaje mkuu?Nimeponea chupchup kuingiamo humo. Nitapeleka kadri nlivyojaliwa
Kuna wafungwa Hawa huwa na uniform Tena moja tu Yani haijarishi atakaa mdagani hapo jera huwa nayo moja tuHivi megereza huwa hawapi hata uniform?
Yaah umeongea ukweliJela mfungwa huwezi kuongea na askari ukiwa umesimama, ni kuchuchumaa tu.
Hii kesi mbona ni ya madai na sio uhujumu uchumi?!Alifuja pesa ATM akiwa boss kusimamia kuweka pesa ATM zote za Bank anayofanyia kazi....hupewa ATM card hazina limit ujue recon tu....unaweza kujisahau unazila ti mara unashangaa imefika 200m ndani muda fulani wKija auditor umeisha.....publuc fund...
Kesi haina dhamana...uhujumu uchumi
Nikumwomba mungu tu labda tuta salimikaUbarikiwe ndugu yetu kwa kutukumbusha jela sio poa, Mungu pekee ndo atuepushe maana hata tukijitahidi kuishi vizuri bado maadui zetu watafanya njama tuombe sana kwa muumba atulinde na hila za walimwengu
Ni KwasababuKwa nini unajiita Killing Machine??