PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwakibashite-kijana mwizi wa vyeti na alipata faf faf fa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwakibashite-kijana mwizi wa vyeti na alipata faf faf fa
Ohoooooo!!!mwe mwe mwe mwe!!!!!!!!!!
Tumpale-TumsifuHahahahhh!
Kweli hii ni chit chat asee
Mkuu mie naomba maana ya tumpale maana limenichekesha sana huku
hahahhh duh!Tumpale-Tumsifu
Maana ya hili jina Tusekelege ni tuchekeleage???!!
Asesisye
Asangalwisye
- Amenichangamsha (Mungu)
Isakwisa
- Atarudi ( Mungu)
Asumwisye
- Ameniamsha ( Mungu )
Asubisye
- Ameniriwadha ( Mungu)
Asagwile - Amenichagua ( Mungu )·
Kwa kifupi majina mengi ya kinyakyusa ya mwanzoni yana uhusiano na kumshukuru Mungu, mfano
Gwakisa- Mungu wa huruma
Tuntufye- Tumtukuze Mungu
Lugano - Mungu wa upendo
Andendekisye- Mungu amenitengeneza
Naishia hapo kwasa
Mimi Mwa.......NA ww mnyAkyusa
Imunyu - chumviipumba - kabuli
Maswebele - kumbikumbi
Isupuni - kijiko
Isukulu - shule
Nsebo - barabara
Ikisu - dunia/nchi
Mwikemo - mtakatifu
Lugano - upendo
Ifindu - chakula
Mwanguku = mwana wa kuku [emoji23][emoji23][emoji23]Kinyakyusa neno "mwa" maana yake ni "mwana wa" ivyo wanafupisha kwa mfano kuna mtu anaitwa "mwangomale" maana yake ni "mwana wa ngomale"
Mbona mwenye jina namfahamu! Captain umejiachia?Tuntufye Mwaipasi....
Mmanyani -rafikiImunyu - chumvi
Hamisi - maji
Unyambala - mume
Ummanyani - Nisaidieni banyakyusa... Ni rafiki au ndugu?
Asante mkuuMmanyani -rafiki
Kikolo - ndugu
Mkuu nipo bado ndo namalizia kulima ya kiangaziMkuu bado hujatoka kuvuna maharage kijijini
Correction:Tunsume - tumsifu
Tumpale - tumuombe
Wenye.majina zaidi watiririke hapa
Naruhusu corrections
Acha kuharibu lugha za watu mkuuMbombo ngafu .....ngoma nzito