Yajue majinafumbo ya Marais wa Marekani wanayopewa na Secret service

Yajue majinafumbo ya Marais wa Marekani wanayopewa na Secret service

Katika Presidential Protective Division ya Secret Service codes names haipo katika protection codes so kwa maana nyingine codenames au majina ya utambuzi hayapo ktk kipengele cha ulinzi wa Rais ila yanatumiwa kama majina ya utambuzi ktk mawasiliano kwa magent wa SS


Mara nying hizo code names hutumika kwenye National Special Security Event (NSSE) na ni familia nzima ya kiongozi wanakuwa na hzo code names ambayo uchagua kutoka kwenye White House Communications Agency.ambao wanakuwa na majina pendekezwa na muhusika uchagua jina lake

Na siyo tu Rais ndo anayo hyo codenames mtu yeyote au mgeni yeyote anayekwenda White house lazima anapewa codename kama jina la utambulisho kwa maagent wa SS hasa kikosi cha U . S. Secret Service ’s counter assault team (CAT) a.k.a Secret Service’s baddest bad boys kikosi chenye jukumu la kumlinda rais na wageni wa rais

So codename ni kama vile ilivyo watu wengi wanajua Air Force one ni ndege kumbe ndege ni Boeing 747-200B ambazo dunian zipo nying tu lakini Air force one ni Air traffic control call sign

So kitendo cha rais wa US kuwa ndani ndege yeyote inaweza kupata call sigh ya airforce one hata kama ikitokea siku Rais wa US akapanda Bomberdia ya JPM itabadilika call sigh na kuwa Airforce one
Swali langu ni kuwa; Kutambulika mapema kwa hizo codes hakuna athali yoyote kiusalama?

Mfano, mleta uzi kaonesha codes za rais wa USA aliyepo madarakani sa hizi, vipi wadukuzi wakiingilia mawasiliano ya SS, hawawezi kuleta athali?
 
Swali langu ni kuwa; Kutambulika mapema kwa hizo codes hakuna athali yoyote kiusalama?

Mfano, mleta uzi kaonesha codes za rais wa USA aliyepo madarakani sa hizi, vipi wadukuzi wakiingilia mawasiliano ya SS, hawawezi kuleta athali?
Hakuna mahusiano ya moja kwa moja kati ya Codenames na Presidential security clearance ambazo zinakuwaga ni designated information ( classified information) ndio maana hzo codename zinatambulika kwa watu na pia codename zinatumika kwenye matukio maalumu tu kama National Special Security Event (NSSE) na zinaweza kubadilika kutokana na mahitaji na ni watu wengi tu wanapewa codes name si rais pekeyake wengi tu familia nzima , wafanyakazi wa ikulu wale ambao wako under secret service Control

Ndani ya US kuna watu wako under SS proctection na wapo wengine wako under SS Control

Kikosi cha Secret Service ’s counter assault team (CAT) ndio wenye kujumu la ulinzi wa wale ambao wako under SS protection wakati hzo codename ziko kwenye taasisi ya White House Communications Agency


Kuhusu kudukua sidhani kama kuna mtu anaweza kufanya hvyo trust me wenzetu wamewekeza sana kwenye ulinzi wa rais kila taasisi inafanya kila liwezekanalo rais hawe safe en sound dhidi ya threat ya aina yeyote so ulinzi wa cyber hyo ni kazi ya NSA na wakiwa kwenye ulinzi wao wa kawaida nje ya National Special Security Event (NSSE) wanatumia codename zingine si hyo mnayoijua nyinyi na si kila agent wa SS anapewa hyo codename ni wale au kikosi kijulikanacho kama Advance team au Protective Services Detail (PSD) coz ndani ya SS kuna vitengo tofauti kutokana na majukumu na unyeti wa kazi yako
 
Swali langu ni kuwa; Kutambulika mapema kwa hizo codes hakuna athali yoyote kiusalama?

Mfano, mleta uzi kaonesha codes za rais wa USA aliyepo madarakani sa hizi, vipi
wadukuzi wakiingilia mawasiliano ya SS, hawawezi kuleta athali?

Hebu fafanua hizo athari na utokeaji wake
 
Hebu fafanua hizo athari na utokeaji wake
Mfano, kama adui anapanga assassination na akajua location ya rais kupitia codes hizo ambazo tayar zinatambulika, haitakuwa rais kutekeleza shambulio? Maana nionavyo adui anaweza kujua route nzima ya rais
 
Mfano, kama adui anapanga assassination na akajua location ya rais kupitia codes hizo ambazo tayar zinatambulika, haitakuwa rais kutekeleza shambulio? Maana
nionavyo adui anaweza kujua route nzima ya rais


CAT, SAD DYNAMIC aaah haya bana wanaongea shimoni
 


CAT, SAD DYNAMIC aaah haya bana wanaongea shimoni
Wewe naona hata sio mtoa msaada niliouomba, labda unafikiri niko hapa kubishana wakati me natafuta msaada kutoka kwa wanaojua haya mambo!

Sasa wewe badala ya kutoa ufafanuzi naona unaleta vijembe[emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Aardwolfs na Jackals huwa wanakimbia sana miguu ya mbele hurudi nyuma lakini hawapati kiu sana
 
Wewe naona hata sio mtoa msaada niliouomba, labda unafikiri niko hapa kubishana wakati me natafuta msaada kutoka kwa wanaojua haya mambo!
Sasa wewe badala ya kutoa ufafanuzi naona unaleta
vijembe[emoji57] [emoji57] [emoji57]

Hapana
 
Wewe naona hata sio mtoa msaada niliouomba, labda unafikiri niko hapa kubishana wakati me natafuta msaada kutoka kwa wanaojua haya mambo!

Sasa wewe badala ya kutoa
ufafanuzi naona unaleta vijembe[emoji57] [emoji57] [emoji57]

Unahusianisha vip codenames na hicho ulichofikiria?
 
Wana jamvi

Salaam

Kila sehemu lazima kuwe na muongozo wa kufuata ili mambo yaende yanavyopaswa.
Marais wa Marekani hata nchi nyingine wanapewa majina fumbo "code names" kutoka kwa taasisi ya ulinzi wa viongozi haswa Marekani yaani Secret Services, viongozi wa taasisi hiyo nyeti mno duniani huketi na kwa kuwa walimjua tangu mwanzo kiongozi ajae humchambua zaidi na kutoa jina la siri kwaajili yake ili kurahisisha mawasiliano ya siri katika utendaji na safari zake, majina hayo hutolewa kufuata Muonekano, tabia, ushawishi, maongezi yake hata misimamo ya kiongozi huyo vilevile kiongozi huyo na familia yake wanaweza kuchagua kutoka katika mfumo wa mawasiliano wa ikulu kwa kuchagua maneno kadhaa pendekezwa yatumike
Secret service walitoa majina yafuatayo kwa viongozi hawa hapa:-

Gerald Ford, huyu alikua Rais wa 38 wa Marekani kati ya mwaka 1974 hadi 1977. alipoingia madarakani alikuta kuna wimbi la kashfa ya Watergate lillilomuandama mtangulizi wake yaani Richard Nixon, Ford alitamka hana mpango wa kumfungulia wala kuendelea na mashtaka juu ya mtangulizi wake ndipo alipoweka passkey ya zuio hilo, kutokana na hali hiyo Secret service wakampa jina la fumbo Passkey
Bill Clinton, Rais mstaarabu na mtulivu sana yeye aliwapenda sana scout boys na kazi zao haswa jinsi wanavyojiongoza yaani mpiganaji mwenye nguvu na maamuzi sahihi alijulikana kama Eagle hivyo secret service walimbatiza jinafumbo kuwa Eagle ndilo walilotumia katika mawasiliano dhidi yake
Baraka Obama, secret service walimpa jina la Renegade na walimuona sio mtiifu sana kwao lakini ni mpole sana, Michelle Obama Mke wake alipewa jina la Renaissance kwasababu ya matumaini aliyonayo katika kusaidia jamii
Donald John Trump, huyu ni Rais wa 45 wa Marekani na ndio yupo madarakani, kutokana na haiba na tabia zake za kijasiliamali na biashara zaidi na kupenda kukuza vitega uchumi, na jinsi anavyoongea, hivyo secret service walimpa jina la Mogul kama jina fumbo na ndilo wanalomuita katika kazi zao,Melania Trump is alipewa jina la“Muse, kwasababu ya kumfikirisha Trump kibiashara zaidi.
kama hata wewe unayafahamu sasa huo usiri wake uko wapi?
 
Back
Top Bottom