Yajue majinafumbo ya Marais wa Marekani wanayopewa na Secret service



KAMA WAJUA MPAKA LA DONALD TRUMP WANALOLITUMIA THEN HAYO MAJINA HAYANA MAANA. BAKI NAYO TU. SIO SIRI TENA. MPAKA MBONGO ANAYAJUA?
 
Wakati Raisi wa 35 wa Marekani John Fitzgerald Kennedy kitengo cha USSS walimpatia code name ya "Lancer" na mkewe Jacqueline Bouvier alijulikana kama "Lace"
 
Kawaida tu hata kambini tuna codes....kuna siku risasi zinaitwa vocha, sasa njoo ujifanye mwenyeji halafu hujui code ya Siku hiyo
 
Vasco Dagama!! Kamwambia SIZONJE asimuute ite MZEE!!!
 
We ni mwongo! Majina ya siri kamwe huwa hayafahamiki, ukiona limefahamika ujue hilo fake secret name!
 
Mkuu Codes names ziko kila sehemu... Na hio inayojulikana na watu wengi Haitumiki sana na Wale PSU ya Raisi Kwa wenzetu US kuanzia POTUS, FLOTUS na first family wote wako coded Kiusalama zaidi SS huweza kudecode names zao na kufanya maongezi safely through handset waliozovaa public bila mtu kungundua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…