Yajue makundi manne ya dawa za kulevya & madhara yake

 
Acha matusi ya reja reja kwa hiyo tukiwa tunakunywa pombe tunapumbaa

Faida ya pombe ni nyingi kuliko hasara
Kijamii na kiuchumi
 
Acha matusi ya reja reja kwa hiyo tukiwa tunakunywa pombe tunapumbaa

Faida ya pombe ni nyingi kuliko hasara
Kijamii na kiuchumi
Pombe imeathiri watu wengi kiafya, kijamii, na kiuchumi.
Kama ni faida lbd ni kodi inayotozwa na serikali kwa viwanda vya uzalishaji na usambazaji.

Kwa walevi no majanga.
 
Kumbe bangi uleta maono? Safi sanaa na kusikia vitu visivyo sikika na binadam wa kawaida,nataka kuona malaika kwa kupitia bangi na kusikia sauti za mashetani pia
Umesoma madhara yake ??
Usitafute maono kwa kuvuta bangi, hutabaki salama kichwani kama ilivyomfanya mrembo Wema [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]
 
Cannabis au bangi haifanyi mboni ya jicho kuwa kubwa moja na nyingine magic mashroom au uyoga ni dawa nzuri ya depression 100% faster than pharma product imefanyiwa uchunguzi mwaka huu na kuonesha kuwa effective zaidi ya dawa nyingine alafu tunatambua kuwa cannabis au bangi inatambuliwa kwa sasa na WHO kuwa haina madhara kwahiyo ni safe.
 
Pombe imeathiri watu wengi kiafya, kijamii, na kiuchumi.
Kama ni faida lbd ni kodi inayotozwa na serikali kwa viwanda vya uzalishaji na usambazaji.

Kwa walevi no majanga.
Kila kitu kinaathari mkuu na kikubwa ni kufanya kile kinachokupa furaha na unachokifurahia ili mradi kiwe legal
(Cocaine,heroine na izo mandrax hizi sizisapoti kabisa) at least bangi unakuwa productive

Pombe ina historia kubwa sana katika maisha ya mwanadamu
 
Inaitumiaga mkuu?
 
Kwa hiyo unashauri watu walewe pombo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…