Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini umesoma kuhusu madhara yake he huwezi kuacha kuitumia kabla haijakudhuru?Ndio niliwahi tumia uyoga mara moja ila cannabis naipenda sana japo situmii kila siku
Hahahaa!! Naona kama uko round ya 8 hivi , [emoji2] [emoji2]Watu huwa hawaelewi
Cannabis side effectsLakini umesoma kuhusu madhara yake he huwezi kuacha kuitumia kabla haijakudhuru?
Nakushauri achana nayo.
Hivi kuna watu watumia drugs kama wahusika wa dawa hizo ie doctors and pharmacistLakini umesoma kuhusu madhara yake he huwezi kuacha kuitumia kabla haijakudhuru?
Nakushauri achana nayo.
Hapana si shauri watu wanywe pombe ila kwa utashi wako mwenyewe kama unataka kunywa haina shida maadamu haikupi madhara ya moja kwa mojaKwa hiyo unashauri watu walewe pombo?
Jaribu basi kupima na kupata ushauri wa daktari Mara kwa mara, usikae tu ukijipa matumaini kwamba upon sawa.Hapana si shauri watu wanywe pombe ila kwa utashi wako mwenyewe kama unataka kunywa haina shida maadamu haikupi madhara ya moja kwa moja
Mimi ni mtumiaji mzuri sana wa pombe na haijawai kuniletea madhara yoyote naitumia kama kiburudisho
Mungu akulinde mkuu.Sijawahi na sitatumia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bangi mbaya sana wakati tupo O'level kuna jamaa alivuta alivyorudi nyumbani kwao akawa anamuambia baba yake we dogo haujambo?Eti unajiona unapaa utasababisha watu watest aisee [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] *****[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bangi mbaya sana wakati tupo O'level kuna jamaa alivuta alivyorudi nyumbani kwao akawa anamuambia baba yake we dogo haujambo?
Baadaye ilivyomuisha kichwani nikamuuliza hivi ukivuta unajisikiaje akasema kwanza watu wote anawaona wadogo kama sisimizi halafu anapata raha ya ajabu. Akienda kulala anaona kama kitanda kinapaa hivi [emoji23] [emoji23] .
Inatumika kwa ushauri wa daktari.Cannabis side effects
.Red eye ambayo ni tiba kwa macho inaleta njaa nzuri kwa wasiokuwa na hamu ya kula inaleta usizingizi nzuri kwa wale wenye mawazo inazuia uzalishaji wa mafuta mwilini kwa kiwango kinachohitajika nzuri kwa wanao sumbuliwa na kisukari
Sijaona side effect mbaya hapo
Baba yake akawa dogo!!? [emoji12] [emoji12] [emoji12][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bangi mbaya sana wakati tupo O'level kuna jamaa alivuta alivyorudi nyumbani kwao akawa anamuambia baba yake we dogo haujambo?
Baadaye ilivyomuisha kichwani nikamuuliza hivi ukivuta unajisikiaje akasema kwanza watu wote anawaona wadogo kama sisimizi halafu anapata raha ya ajabu. Akienda kulala anaona kama kitanda kinapaa hivi [emoji23] [emoji23] .
Sasa mie natumia kwasababu hapa bongo doctor gani atakuandikia dawa kama bangi utibu msongo wa mawazo na wasi wasi alafu bangi sio addictive na hakuna aliewahi kuwa overdose kwenye bangi sio kama paracetamol ukizidisha tu lazima ukioneInatumika kwa ushauri wa daktari.
Watumiao bila ushauri wa daktari ndio hao mateja
Kama hauumwi kidonge cha nini?
Alafu hakunaga teja wa bangi wanaokuwa mateja mara nyingi huwa nikujiendeza tuInatumika kwa ushauri wa daktari.
Watumiao bila ushauri wa daktari ndio hao mateja
Kama hauumwi kidonge cha nini?
Nenda Mental Health Clinic iliyo karibu nawe, utapata ushauri mzuri kuhusu matumizi ya bange kuponya msongo wa mawazo na wasiwasi.Sasa mie natumia kwasababu hapa bongo doctor gani atakuandikia dawa kama bangi utibu msongo wa mawazo na wasi wasi alafu bangi sio addictive na hakuna aliewahi kuwa overdose kwenye bangi sio kama paracetamol ukizidisha tu lazima ukione
Unajua kuna specific drugs for specific illNenda Mental Health Clinic iliyo karibu nawe, utapata ushauri mzuri kuhusu matumizi ya bange kuponya msongo wa mawazo na wasiwasi.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Unajua kuna specific drugs for specific ill