Yajue makundi manne ya dawa za kulevya & madhara yake

Yajue makundi manne ya dawa za kulevya & madhara yake

Nimekusoma napunguza Castle Lager na Embassy nihamie kwa Kakobe
 
Wakuu msaada jamani mm kati ya hayo ctumii kabisa lkn Nina matatizo kama kutokusikia var, kutokuona kwa mbali,kupoteza kumbukumbu kwa haraka ,picha hazijengeki kwenye ubongo,
Wkati mwanzo ckuwa hivyo nasumbuka sana wanajamvi msaada wenu ni muhimu wakuu ni hayo
 
Wakuu msaada jamani mm kati ya hayo ctumii kabisa lkn Nina matatizo kama kutokusikia var, kutokuona kwa mbali,kupoteza kumbukumbu kwa haraka ,picha hazijengeki kwenye ubongo,
Wkati mwanzo ckuwa hivyo nasumbuka sana wanajamvi msaada wenu ni muhimu wakuu ni hayo
Uko pande gani hapa TZ?

Na je, umewahi kupata Tina yoyote?
 
Jaribu basi kupima na kupata ushauri wa daktari Mara kwa mara, usikae tu ukijipa matumaini kwamba upon sawa.

Ni ushauri tu.

Nashukuru kwa ushauri wako

Lakini tukisema tukapime tu wote tutakuwa tuna matatizo tu ambayo sometimes yanaweza kuwa hayana madhara kwa muda huo au madhara yake yanaweza kuanza katika muda ambao utakuwa umeshakufa (let say unaonekana una dalili za kansa ambazo maturity yake ni baada ya miaka 60 ijayo na wewe tayari una miaka 30)

Mfano kuna rafiki yangu mmoja alichukua pregnant test ya mpenzi wake kama utani akajaribu kutest mkojo wake hahahah matokeo yalionyesha ana mimba ndipo alipochanyikiwa na kurudia mara kadhaa lakini majibu yalikuja yale yale

Alipoenda kwa Dr kupata ushauri
aliambiwa hiyo inaonyesha ana aina flani ya tezi so inatoa tissue flani the same na ambayo mama mjamzito anaitoa

We all human being have problems and one day we will die (babu wa loliondo haliridhihirisha hili), hata hizi pain killer dawa ( non steroidal anti inflammatory drugs) zina madhara makubwa sana kwenye miili yetu lakini inabidi tutumie tu hasa pale unapokuwa na Maumivu makali (in medicine kuna kauli zao za kitaalamu,usininukuu maana mimi sio mtu wa kada hiyo) kwamba angalia faida ya sasa na sio hasara ya baadaye (in soft language)
 
Nashukuru kwa ushauri wako

Lakini tukisema tukapime tu wote tutakuwa tuna matatizo tu ambayo sometimes yanaweza kuwa hayana madhara kwa muda huo au madhara yake yanaweza kuanza katika muda ambao utakuwa umeshakufa (let say unaonekana una dalili za kansa ambazo maturity yake ni baada ya miaka 60 ijayo na wewe tayari una miaka 30)

Mfano kuna rafiki yangu mmoja alichukua pregnant test ya mpenzi wake kama utani akajaribu kutest mkojo wake hahahah matokeo yalionyesha ana mimba ndipo alipochanyikiwa na kurudia mara kadhaa lakini majibu yalikuja yale yale

Alipoenda kwa Dr kupata ushauri
aliambiwa hiyo inaonyesha ana aina flani ya tezi so inatoa tissue flani the same na ambayo mama mjamzito anaitoa

We all human being have problems and one day we will die (babu wa loliondo haliridhihirisha hili), hata hizi pain killer dawa ( non steroidal anti inflammatory drugs) zina madhara makubwa sana kwenye miili yetu lakini inabidi tutumie tu hasa pale unapokuwa na Maumivu makali (in medicine kuna kauli zao za kitaalamu,usininukuu maana mimi sio mtu wa kada hiyo) kwamba angalia faida ya sasa na sio hasara ya baadaye (in soft language)
[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Nilikuwa naomba nimlekebishe kidogo mleta uzi huu
Kwenye namba tatu ameweka bangi lakini haipo kwenye class hiyo ngoja niweke sawa.

Bangi au cannabis hii ni dawa ya majani na maua ya cannabis sativa au Bangi kama ivyozoeleka hii ipo kwenye class ya psychoactive kutokana na compound ya THC (tetrahydrocannabinol) compound ya bangi kwa ujumla inatwa cannabinoids ambazo zilizo gunduliwa ni 100 na kidogo na zipo kama 400 ambazo hazija ngundliwa bado kazi zake ila katika bangi THC ndio pekee ambayo ni psychoactive nyingine zote sio ninaposema psychoactive inamaana ya dawa inayoact direct kwenye ubongo na kuleta zile burudani kuna compound ni halali hutumika kwa nchi kama america hii inaitwa CBD (Cannabinol) haina effect kwenye ubongo ila wakati mwingine THC inaact kwenye sperm cell na uterus kwaajiri ya kuweka mambo sawa kwenye sector ya usafi na usalama wa maeneo hayo.

Kuna hii nyingine inaitwa psychedelic, psychedelic drugs include mescaline, LSD, psilocybin, and DMT hivi zinatumika kwa spiritual purpose na kazi yake nyingine ni kuondoa addiction ya pombe na nicotine wale wazee wa sigara na ugoro hata CBD(cannabinoid) inafanya kazi hii.
Na zinatofauti kubwa tu hizi class za dawa.
 
Nilikuwa naomba nimlekebishe kidogo mleta uzi huu
Kwenye namba tatu ameweka bangi lakini haipo kwenye class hiyo ngoja niweke sawa.

Bangi au cannabis hii ni dawa ya majani na maua ya cannabis sativa au Bangi kama ivyozoeleka hii ipo kwenye class ya psychoactive kutokana na compound ya THC (tetrahydrocannabinol) compound ya bangi kwa ujumla inatwa cannabinoids ambazo zilizo gunduliwa ni 100 na kidogo na zipo kama 400 ambazo hazija ngundliwa bado kazi zake ila katika bangi THC ndio pekee ambayo ni psychoactive nyingine zote sio ninaposema psychoactive inamaana ya dawa inayoact direct kwenye ubongo na kuleta zile burudani kuna compound ni halali hutumika kwa nchi kama america hii inaitwa CBD (Cannabinol) haina effect kwenye ubongo ila wakati mwingine THC inaact kwenye sperm cell na uterus kwaajiri ya kuweka mambo sawa kwenye sector ya usafi na usalama wa maeneo hayo.

Kuna hii nyingine inaitwa psychedelic, psychedelic drugs include mescaline, LSD, psilocybin, and DMT hivi zinatumika kwa spiritual purpose na kazi yake nyingine ni kuondoa addiction ya pombe na nicotine wale wazee wa sigara na ugoro hata CBD(cannabinoid) inafanya kazi hii.
Na zinatofauti kubwa tu hizi class za dawa.
Kwa hiyo bangi haina madhara?
 
Kwanini ukikamatwa nayo unashtakiwa?
Miseducation tu ya system kama Colorado,USA saivi wanatumia whole plant pasina kutenga chemical compound ya THC ambayo ndio psychoactive maeneo mengine ya USA wanatumia CBD ambayo sio psychoactive na ni legal ila huku kwetu kwakua hatuna wataalamu wa mimie basi itabidi ukishikwa unawekwa ndani hakuna namna
 
Miseducation tu ya system kama Colorado,USA saivi wanatumia whole plant pasina kutenga chemical compound ya THC ambayo ndio psychoactive maeneo mengine ya USA wanatumia CBD ambayo sio psychoactive na ni legal ila huku kwetu kwakua hatuna wataalamu wa mimie basi itabidi ukishikwa unawekwa ndani hakuna namna
Hahahaaaa!! Ningekuwa president wa nchi ya viwanda ningempiga ban Dada Ummy nakukuteua wewe use waziri wa afya[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Back
Top Bottom