Yajue makundi ya vyakula pamoja na faida za kula chakula bora

Yajue makundi ya vyakula pamoja na faida za kula chakula bora

Vizuri.
Hivi Ni vyakula vipi vinafaa kwa mtu km Mimi ninayehitaji kuongeza mwili kiasi ambavyo havina madhara kwa afya
Sky Eclat
 
Hii kitu kuifatilia ni ngumu kama jiwe!

Heri nibaki zangu gym ninyanyue machuma weee nijenge kifua na kukata fat!

Hiyo chakula ni full time job aisee!

Sio rahisi kiivyo!
hivi mafuta huwa yanakatwa na nini mkuu?
mafuta hayakatwi kwa kupiga vyuma labda kwa mazoezi ya wepesi ambayo yatapelekea kupungua na kufanya mwili utumiue mafuta yalohifadhiwa, mafuta hayaungwuzi kirahisi
 
Kwnye wanga nitaacha ila siyo nyama, unaweza kujifanya unaacha nyama upate afya afu kuna mpuuzi anakuja kuchomoa betri unakufa

carcinoma

Daby
1566034188810.png


1566034244304.png


1566034270076.jpeg
 
Mama, nimefanikiwa kuacha vyakula vya wanga ingawa nyama bado natumia, shida ni mbadala wa hivyo vyakula ukiondoa hivyo vyakula ulivyoorodhesha ambavyo ni shida kuvipata nn kingine unaweza kutumia tusema hebu tuwekee hapa mfano wa milo mitatu ambayo mtu anaweza kutumia kwa b/fast, lunch na jioni visivyo na wanga na na nyama
 
Vizuri.
Hivi Ni vyakula vipi vinafaa kwa mtu km Mimi ninayehitaji kuongeza mwili kiasi ambavyo havina madhara kwa afya
Sky Eclat
kula kiafya yani, weka uwiano sawa wa makundi ya vyakula muhimu katika sahani yako, wanga, protini, mafuta, na madini hiyo ndo njia pekee nyingine zinauwalakini
 
Mama, nimefanikiwa kuacha vyakula vya wanga ingawa nyama bado natumia, shida ni mbadala wa hivyo vyakula ukiondoa hivyo vyakula ulivyoorodhesha ambavyo ni shida kuvipata nn kingine unaweza kutumia tusema hebu tuwekee hapa mfano wa milo mitatu ambayo mtu anaweza kutumia kwa b/fast, lunch na jioni visivyo na wanga na na nyama
Ndizi mbichi, mbegu za mchicha ingawa huku kwetu si nyingi maboga
 
hivi mafuta huwa yanakatwa na nini mkuu?
mafuta hayakatwi kwa kupiga vyuma labda kwa mazoezi ya wepesi ambayo yatapelekea kupungua na kufanya mwili utumiue mafuta yalohifadhiwa, mafuta hayaungwuzi kirahisi

Bro

Fat inaondolewa kwa mazoezi mazito na kujenga muscles!

Inatakiwa power kubwa ku-burn zile fat na hapo hapo kujenga muscles!

Piga vyuma kisawasawa then kapime fat ratio uone!

Shida ni kwamba watu hawapendi kunyanyua vitu vizito!

Weight ya maana ni kila kitu mzee!

Haidanganyi ile!

Mtu una ma-Fat ya kutosha mwilini halafu unaniambia yanaondoka kwa kufanya mazoezi ya ku-dance?

Fat inahitaji too much energy to remove them!
 
Nyama na wanga yanaifanya damu yako iwe rahisi kukaribisha magonjwa.

Ni kweli mkuu!

Ila vyakula hivyo katika maisha ya kawaida kupangilia ni another fulltime job!

Ninachofanya ni kupunguza amount na kunyanyua vyuma na kusukuma treadmill kadiri ninavyoweza kuyeyusha!
 
kwa kautaalam kangu kadogo nilichokapata na nikijumlisha na shuhuda, Nashauri watu wale kiafya wale walio wazima yani wajitahidi kula uwiano sawa wa vyakula vyao katika makundi ya vyakula
Ukiwa na tatizo unaweza kuliondoa kwa vyakula tuu hasa matatizo ya lishe, tukumbushane kuwa hakuna dawa ya magonjwa ya lishe zaidi ya lishe yenyewe
 
Ni kweli mkuu!

Ila vyakula hivyo katika maisha ya kawaida kupangilia ni another fulltime job!

Ninachofanya ni kupunguza amount na kunyanyua vyuma na kusukuma treadmill kadiri ninavyoweza kuyeyusha!
Pia vinahitaji muda na pesa, huwa Nina freeze vegetables
 
kwa milo hii choo hakiwezi jaa kwa kweli na tisu haziwezi isha hivyo matumizi ya maji yatapungua na fedha mfukoni inaweza kuwepo.
swali mbona mnaofanya diet mkichanga kwenye harusi hamruki kitu kwenye bufeeeeeee!
 
Bro

Fat inaondolewa kwa mazoezi mazito na kujenga muscles!

Inatakiwa power kubwa ku-burn zile fat na hapo hapo kujenga muscles!

Piga vyuma kisawasawa then kapime fat ratio uone!

Shida ni kwamba watu hawapendi kunyanyua vitu vizito!

Weight ya maana ni kila kitu mzee!

Haidanganyi ile!

Mtu una ma-Fat ya kutosha mwilini halafu unaniambia yanaondoka kwa kufanya mazoezi ya ku-dance?

Fat inahitaji too much energy to remove them!
umeeleza vyema ila akiba ya mafuta kwenye gari huwa inatumika pindi mafuta yalokusudiwa kuendesha gari kuisha na si vinginevyo, Mafuta ni sukari iliyobadilishwa ili iweze kuhifadhiwa kwa matumizi ya baadae undapo mwili utapungukiwa nguvu na mtu hajapata chakula kwa muda mrefu, mafuta huanza kurudishwa katika mfumo wa sukari na kutumika tena, na ndo maana mtu akikaa kwa njaa muda mrefu ananza kupukutika maana mwili unatumia akiba yakwanza ambayo ni mafuta.

Pili vyuma hujenga mwili na ukipiga vyuma hamu ya kula inakuja hata ka hamu ilikuwa imekukalia kando, hivyo ndivyo mwili ujiendesha kwaajili ya kujilinda.
Kadri utakavyokula ndivyo mwili utahifadhi maana huwezi kula sana ukapiga mazoezi sana kuweza,

Tatu mwili mkubwa hupanua moyo ushahidi mkubwa angalia wanyanyua vyuma wengi huwa wamekuwa wahanga wakubwa sana wa shambulizi la moyo, linki nakuambatanishia
 
kwa milo hii choo hakiwezi jaa kwa kweli na tisu haziwezi isha hivyo matumizi ya maji yatapungua na fedha mfukoni inaweza kuwepo.
swali mbona mnaofanya diet mkichanga kwenye harusi hamruki kitu kwenye bufeeeeeee!
😂😂😂😂😂😂😂
 
kwa sisi watoto wa kiswahili bila wali au ugali sijui kama kutalalika na hasa hiyo sahani namba nne lazima tuwe na imani kipo kingine kinakuja na hiyo ni apetaiza!
😂😂😂
 
Back
Top Bottom