Wanga basi punguza portion, ongeza mboga kwenye sahani yaani nyumbani wewe mama na watoto wawili mle makabichi mawili na 1/2 kilo ya nyama. Nusu ya sahani kabichi robo ugali na vipande viwili vya nyama.Huo muda wa kutengeneza hiyo diet ni nani anao hapo Daslama? Mwanamke gani atakaa apike hayo mavitu on top of that ni gharama sana kuweka consistency ukizingatia gharama za hayo mavitu sokoni.
Practicality ni kwa ma Don tu ila sie mbwa kala mbwa hatuna namna zaidi ya kujisindilia wanga tu.
usemalo hupingwa na tabu hasa ugonjwa ambao utakulazimu kuweka baadhi ya vyakula kando mfano wanga na sukariHuo muda wa kutengeneza hiyo diet ni nani anao hapo Daslama? Mwanamke gani atakaa apike hayo mavitu on top of that ni gharama sana kuweka consistency ukizingatia gharama za hayo mavitu sokoni.
Practicality ni kwa ma Don tu ila sie mbwa kala mbwa hatuna namna zaidi ya kujisindilia wanga tu.
Wataka kunionjesha!![emoji1]Mpenda nyama[emoji3]
HahahaTatizo ulikuwa mkorofi, hata uliponunuliwa mabuti ili uwe unaukanyaga umande juu uliyakataa
usemalo hupingwa na tabu hasa ugonjwa ambao utakulazimu kuweka baadhi ya vyakula kando mfano wanga na sukari
Karibu tule.Wataka kunionjesha!![emoji1]
dada Sky Eclat mpaka wageni kama mm nikija napata huduma hizi au ni za mzee pekeake?
Karibu tule.
Wewe unaendana na Mimi aisee..napenda nyama jamani
ila kwangu zote hizo ni mboga bado ugali
hapo sasa nikisema mm wataona ni wivuHivi Sky Sweet maize na viazi havipo kwenye ukoo wa wanga?
hawawezi kusonga tu wakiukuta huku wanapiga kawaida tuYah wenzetu hawasubiri yakomae wale ugali.
uvute tako kama mtoto wa mkuluNaona mayai (kuku nyama) protini na mahindi(wanga). Sijaelewa kusidio lako ni lipi hasa?
yaani gari ya mguu ile kila kitu fresh miiba, mbigiri nkKatambuga ndiyo mpango mzima, jua mvua, umande all weather
ndizi ukila alafu ukapiga chapya ya kibabe chakula chote kinaisha tumboni aaagrrrrrrSasa unaweza kushinda na ndizi na mchicha asubuhi mchana na jioni?
Tuendelee kula nyama [emoji4]Kabisaaa umejuaje!
Kwa hiyo tunafanyaje sasa mama?
weee mama weka wa kushiba.Huo muda wa kutengeneza hiyo diet ni nani anao hapo Daslama? Mwanamke gani atakaa apike hayo mavitu on top of that ni gharama sana kuweka consistency ukizingatia gharama za hayo mavitu sokoni.
Practicality ni kwa ma Don tu ila sie mbwa kala mbwa hatuna namna zaidi ya kujisindilia wanga tu.
mjifunze na kufuga sasaKaribu tule.
Wewe unaendana na Mimi aisee..napenda nyama jamani
Acha zako!...Tuendelee kula nyama [emoji4]