mukulupapaa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 2,930
- 1,733
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dunh noma sana kwa hiyo njiwa wanadeka kuliko wanawake wajawazito [emoji23][emoji23]
*nasikia hata ukinyoa kiduku wanaondoka, ukivaa jezi ya arsenal ndo wanabeba na kibanda kabisa
Unawajulisha kwa kiingeleza au kiswahili??Kama kuna tukio nyumbani kwako au kwa jirani wa karibu, mfano harusi, msiba au sherehe yoyote wajulishe, wakistukia tu watu nyomi, mziki huo au vilio wanasepa wote. Kuna bibi mmoja aliwafuga wengi na kuwapa taarifa kama kuna tukio nyumbani kwake au kwa majirani, sasa alifiwa na mwanae wa Dar kutokana na uchungu akasahau kuwaambia, siku ya msiba hawakutoka ila siku ya pili alikuta banda tupu. Afu sijui huwa wanaenda wapi maana hupotea tu.
Dahdunh noma sana kwa hiyo njiwa wanadeka kuliko wanawake wajawazito [emoji23][emoji23]
*nasikia hata ukinyoa kiduku wanaondoka, ukivaa jezi ya arsenal ndo wanabeba na kibanda kabisa
Wanunulie kondomMi naombeni njia za kuwatimua tuu,wamehamia kwangu na wamezaliana mnoo,kila siku wanadondosha ceilling board za kuzunguka nyumba,nawatwanga manati ila ndio kama nimewaongezea kasi ya kuzaliana...
Watakuwa wa yle bibi aliyesahau kuwataarifu kuhusu msiba wa mwanae mkuu....[emoji16]Mi naombeni njia za kuwatimua tuu,wamehamia kwangu na wamezaliana mnoo,kila siku wanadondosha ceilling board za kuzunguka nyumba,nawatwanga manati ila ndio kama nimewaongezea kasi ya kuzaliana...
Sasa unawajulishaje?Wanasepa mkuu, huyu bibi mpaka Leo hana hata mmoja nae alizira
unasema nao kwa lugha ganiWanasepa mkuu, huyu bibi mpaka Leo hana hata mmoja nae alizira
Nmecheka hadi nmepaliwadunh noma sana kwa hiyo njiwa wanadeka kuliko wanawake wajawazito [emoji23][emoji23]
*nasikia hata ukinyoa kiduku wanaondoka, ukivaa jezi ya arsenal ndo wanabeba na kibanda kabisa
Hahaha aiseeedunh noma sana kwa hiyo njiwa wanadeka kuliko wanawake wajawazito [emoji23][emoji23]
*nasikia hata ukinyoa kiduku wanaondoka, ukivaa jezi ya arsenal ndo wanabeba na kibanda kabisa
Aisee njiwa itakuwa asili yao Tanga.@Phoenix[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama kuna tukio nyumbani kwako au kwa jirani wa karibu, mfano harusi, msiba au sherehe yoyote wajulishe, wakistukia tu watu nyomi, mziki huo au vilio wanasepa wote. Kuna bibi mmoja aliwafuga wengi na kuwapa taarifa kama kuna tukio nyumbani kwake au kwa majirani, sasa alifiwa na mwanae wa Dar kutokana na uchungu akasahau kuwaambia, siku ya msiba hawakutoka ila siku ya pili alikuta banda tupu. Afu sijui huwa wanaenda wapi maana hupotea tu.
[/QQUO
Home tunawafuga..ila humu fix kibao
umenikumbusha mbali...mateka. Alaf kuna mafundi wa kuteka. Ni kukaa karib na kaka zako ama?kwenye jamii yetu nayoishi haya ya njiwa ni michezo ya vijana wa kiumeWengine hutafta mabanda ya karibu wakiona wenzao ndio wanaitwa mateka kama una moyo mdogo waweza usiwafuge hawasemwi vibaya kama kuku au mfugo mwengine wanapenda kupeana romance s mchezo