Yajue masharti ya kufuga njiwa: Hawapendi Umbea na Ulevi

Una raha sana Dada Faiza

Hivi kumbe ni watamu? Naona mdogo wangu anawauza tu hatujawahi waonja
 
Mi naomba kuuliza kwanini njiwa manga wanapenda sana nyumba za kishua? Yaani nyumba ikiwa ya hovyo hovyo huwezi kumkuta katua hta kwa bahati mbaya.....ila nyumba za kishua utawakuta wamejazana mpaka basi
wanapenda kula baga na soseji! huko uswazi utawalisha ukoko
 


HAKUNA chochote cha ukweli ulichoandika hapa juu. Yote uliyoyasema mimi baadhi nimeyafanya kam kuwasema njiwa yupi tukamkamate na kumchinja na hakun njiwa hata mmoja aliyetoroka. Tuache kudanganyana na kuaminishana uwongo.
 
HAKUNA chochote cha ukweli ulichoandika hapa juu. Yote uliyoyasema mimi baadhi nimeyafanya kam kuwasema njiwa yupi tukamkamate na kumchinja na hakun njiwa hata mmoja aliyetoroka. Tuache kudanganyana na kuaminishana uwongo.
chinja mmoja mbele yao utapata majibu;
,
 
Njiwa ukimchungulia wakati anataka kutaga hata kama yao lilisha anza kutoka analirudisha ndani hadi njiwa dume awepo[emoji1787]
hii hata kuku, au paka wakikutanisha vikojoleo vyao, huwa cha mwenzake kinajaa vumbi na kuwa kikavu .. show inasimama
 
na kuhusu kuhisiwa na mambo ya kina Mshana Jr , ( samahani brother!!!)???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…