Yajue masuala mbalimbali kuhusu Biashara ya kuuza Juisi ya matunda ya aina mbalimbali

Yajue masuala mbalimbali kuhusu Biashara ya kuuza Juisi ya matunda ya aina mbalimbali

Acha kumtisha bhana, Wise Sister, unaweza kuzipata hizi na ile yenye ubora kabisa inayoweza kusaga/kukamua machungwa, matango, apple, mapeasi n.k ni kama shilingi 200,000 na ile ya kukamua machungwa, nanasi n.k ni shilingi 50,000. Hii ya elfu 50 haihitaji umeme na unaweza kuitumia mahali popote. Hizo zote unatengeneza juice bila kuchanganya na maji. Mimi ninazo nyumbani kwa matumizi binafsi lakini pia zinafaa kwa biashara. Ili kuepuka kuharibika kwa juice pale umeme unapokatika mara kwa mara, ni vyema ukahifadhi matunda kwenye friji kwani mteja akija unaweza kumkamulia juice ndani ya dakika 2 akapata kiasi anachohitaji.

Karibu.

Duh!.... Asante sana ndugu yangu, kiukweli am getting luck with this. Kwahiyo, nawezapata wapi hizo kwa bei hiyo, na hiyo ya 50,000 inaitwaje? Umenitia moyo sana mkuu, nakushukuru sana. Kama una picha yake mkuu wawezaniwekea hapa nizione muonekano wake ili hata napoenda dukani inakuwa rahisi kwa sababu nitakuwa tayari nazifahamu kichwani. Shukrani nyingi
 
Acha kumtisha bhana, Wise Sister, unaweza kuzipata hizi na ile yenye ubora kabisa inayoweza kusaga/kukamua machungwa, matango, apple, mapeasi n.k ni kama shilingi 200,000 na ile ya kukamua machungwa, nanasi n.k ni shilingi 50,000. Hii ya elfu 50 haihitaji umeme na unaweza kuitumia mahali popote. Hizo zote unatengeneza juice bila kuchanganya na maji. Mimi ninazo nyumbani kwa matumizi binafsi lakini pia zinafaa kwa biashara. Ili kuepuka kuharibika kwa juice pale umeme unapokatika mara kwa mara, ni vyema ukahifadhi matunda kwenye friji kwani mteja akija unaweza kumkamulia juice ndani ya dakika 2 akapata kiasi anachohitaji.

Karibu.

Ndugu unaongelea dispenser kwa lk 200000 !!! we ulinunua wapi? tuelekeze hata mi ntanunua nyingine 3.
sababu mimi nimeshawahi nunua tatu nilitembea madukani sikuwahi pata chini ya laki 6. na ya kusagia matunda bila maji ninazo nilinunua chini ya 50 lakini sio Dar
 
Last edited by a moderator:
Ndugu unaongelea dispenser kwa lk 200000 !!! we ulinunua wapi? tuelekeze hata mi ntanunua nyingine 3.
sababu mimi nimeshawahi nunua tatu nilitembea madukani sikuwahi pata chini ya laki 6. na ya kusagia matunda bila maji ninazo nilinunua chini ya 50 lakini sio Dar

dispenser la laki 2 sijui labda mtumbani!!! hiyo anayozungumzia nadhani ni juicer, ni mashine ya kukamulia matunda (siyo kusaga, inakamua), hizo bei rahisi, amazon mpaka elfu 50 unapata, ukijumlisha na nauli inafika kwa kama laki na 20 hivi!
Juicer.jpg
 
Hii kweli ni Elimu , japokuwa nigependa kuona hizo machine ulizonazo, so naomba uweke picha za machine ulizonazo
 
dispenser la laki 2 sijui labda mtumbani!!! hiyo anayozungumzia nadhani ni juicer, ni mashine ya kukamulia matunda (siyo kusaga, inakamua), hizo bei rahisi, amazon mpaka elfu 50 unapata, ukijumlisha na nauli inafika kwa kama laki na 20 hivi!
View attachment 166903
mimi mwenyewe nimeshangaa ndio maana nikaomba atueleueze aliponunua ,au anaongelea juice mixer pia.
 
mbona umeenda mbali sana mkuu... yamekuwa matusi tena.. kwani we ukiuza nguo duka hili, linalofuata siruhusiwi kuuza na mimi? au kosa ni kumwambia na mi nipo Shinyanga, au kosa ni kumwambia na mi nataka nifungue biashara ya aina hiyo?? Staarabika kidogo... Nikosoe kwa hoja sio matusi... Kumwambia nami nipo Shinyanga maana yake tunaweza share kitu in common kuhusu hiyo biashara.. sasa yeye hajajibu wewe unanishambulia kwa matusi....
Elimika kidogo ili ujue baya na zuri.

msamehe bure mkuu, malumbano si mazuri. Msilumbane, tuelimishane wandugu.
 
dispenser la laki 2 sijui labda mtumbani!!! hiyo anayozungumzia nadhani ni juicer, ni mashine ya kukamulia matunda (siyo kusaga, inakamua), hizo bei rahisi, amazon mpaka elfu 50 unapata, ukijumlisha na nauli inafika kwa kama laki na 20 hivi!
View attachment 166903

Hata hii nimeipenda mkuu, asante kwa kunielimisha pia, so hii ya kukamua matunda ndo ambayo haihitaji umeme ama zipo nyingine? Nashukuru sana ndugu
 
Ndugu unaongelea dispenser kwa lk 200000 !!! we ulinunua wapi? tuelekeze hata mi ntanunua nyingine 3.
sababu mimi nimeshawahi nunua tatu nilitembea madukani sikuwahi pata chini ya laki 6. na ya kusagia matunda bila maji ninazo nilinunua chini ya 50 lakini sio Dar

Anataka Kamulio/blender, sio dispenser. Hiyo bei ya laki 2 na ile ya elfu 50 ni makamulio ya juice.
 
Bill, sikuwezi unanunua dispenser kwa matumizi ya nyumbani. wow nimekupenda bure. tuandikie hilo duka ulilonunua kwa laki 2.

Ina maana siku hizi dispenser inakamua matunda kwa ajili ya juice? Acha uzembe wa kuwaza.
 
Duh!.... Asante sana ndugu yangu, kiukweli am getting luck with this. Kwahiyo, nawezapata wapi hizo kwa bei hiyo, na hiyo ya 50,000 inaitwaje? Umenitia moyo sana mkuu, nakushukuru sana. Kama una picha yake mkuu wawezaniwekea hapa nizione muonekano wake ili hata napoenda dukani inakuwa rahisi kwa sababu nitakuwa tayari nazifahamu kichwani. Shukrani nyingi

Bahati mbaya nipo safari Wise Sister, nilikuwa na namba ya wauzaji nimeipoteza ila nikirudi nitazipata, ukinicheck (ni-PM) kuanzia tarehe 7 July ninaweza kuwa nazo.

Hizi ni mashine za kukamulia juice (Juicer) na sio dispenser. Ninayo ya kukamua kwa mkono (manually) ambayo inatoa juice nzuri sana ya Nanasi na machungwa na inachuja yenyewe. Hii bei yake ni elfu 45 mpaka 50. Pia ile nyingine ya umeme bei yake ni kati ya 180k to 200k. Inakamua juice ndani ya dk 10 unapata lita kadhaa za juice isiyokuwa diluted with water.
 
Last edited by a moderator:
Ina maana siku hizi dispenser inakamua matunda kwa ajili ya juice? Acha uzembe wa kuwaza.

Usiniite mzembe wa kuwaza msifikiri watu wote humu ni watoto shika adabu yako. Umeona picha aliyoonyesha mtoa mada? si ameonyesha picha ya dispenser au?
 
Wise Sister, japo sio brand yenyewe halisi niliyo nayo lakini juicer ya laki 200,000 ni kama hii.

Juicer 2.jpg

Juicer 3.jpg

Na ile nyingine ya elfu 50 ipo exactly the same kama hiyo hapo chini.

Ya mkono.jpg
 
Shostiee fika hapa kariakoo utapata juicers na dispencers na extracors za juice aina nyingi bei ya kushindana. bishara hiyo ni nzurilakini uwepo mwenyewe, laa sivyo utaibiwa sana !
 
Ndugu wanajamii forum, Kwanza natoa pongezi kwa jukwaa hili la wajasiliamali. Mimi ni mdada mwajiliwa tayari ila ninapenda sana kujiajili ama kuwa na kibiashara changu pembeni kinachoniingizia hela kwa matumizi mengine madomadogo ya familia. Ninawaza kuanza kutengeneza juice original ya embe, parachichi, ndizi na mengineyo na kuweka kwenye kijiwe changu, je inalipa kwa wale wazoefu? au ushauri jamani. Nimejaribu kuingia mtandaoni nikaona machine za kusagia juice ila sina uzoefu nazo mwenye uzoefu na bei na wapi zinapatikana anijuze jamani. Asanteni sana.

Kama uko Dar es Salaam jaribu kutembelea siku moja Chuo cha D.I.T pale uone, kuna jamaaa ana kamtaji seems ni kadogo sana ila anapiga hela ya ajabu sana kwa kuuza "FRUITS" yaani ile mixture ya matunda yaliyopondwa pondwa na kuchanganywa kwa pamoja bila kuyasaga.

Jamaa anapiga sana pesa maana ubunifu wake ni mzuri na watu wananunua ile kitu for luxury tu na out of curiosity lakini ukishanunua huwezi kuacha maana ni matunda fresh na ameyachanganya kwa ubunifu mzuri.

Ukipata sehemu yenye mkusanyiko wa watu wengi ukawa unauza hio kitu unatoka maana seems watu wanapenda sana hii "fruit" kuliko matunda magumu au juisi iliyosagwa, any way ni idea tu unaweza kuifanyia kazi kabla ya kuifanyia impelementation
 
Bahati mbaya nipo safari Wise Sister, nilikuwa na namba ya wauzaji nimeipoteza ila nikirudi nitazipata, ukinicheck (ni-PM) kuanzia tarehe 7 July ninaweza kuwa nazo.

Hizi ni mashine za kukamulia juice (Juicer) na sio dispenser. Ninayo ya kukamua kwa mkono (manually) ambayo inatoa juice nzuri sana ya Nanasi na machungwa na inachuja yenyewe. Hii bei yake ni elfu 45 mpaka 50. Pia ile nyingine ya umeme bei yake ni kati ya 180k to 200k. Inakamua juice ndani ya dk 10 unapata lita kadhaa za juice isiyokuwa diluted with water.

Bill, nashukuru sana ndugu yangu, nitakutafuta ukirudi from there iyo tar 7. Safi mkuu, nitajaribu kuangalia maduka ya hapa mjini hiyo juicer na ntaulizia pia hizo zingine. Asante sana
 
Back
Top Bottom