Kwa wewe unaeanza yes, ila mashamba ya Nazi mostly watu wananunua ama wanarithi. Na unapanda minazi mipya wakati minazi ya zamani ipo, so ukishafika level ya kuvuna haina shida tena.
Mkwezi, ufuaji, usafirishaji ni gharama ndogo, 5M ni at minimum kabisa nimepigia, even ukitoa gharama zote hizo kuna probability kubwa bado ikawa ni 5M+, heka moja wakwezi wawili tu wanatosha.
Ukiwa uliza wenyewe wenye Nazi ni hadi 2M wanapata kwa mvuno Na kwa mwaka ni mara 3 ama zaidi wanavuna, so tuna rudi pale pale.
makaveli10 anazijua zaidi atakuja kukupa darasa