Katika mji ambao unatembeleka usiku basi Tanga, kuna taa za barabarani na wenyeji wana utamaduni wa kuweka Taa za nje zimulike.
Kawaida kukuta watu wanatembea saa 7 ama 8 usiku.
View attachment 2973714
View attachment 2973715
Ukiskia baikoo, vigodoro, wala mirungi etc zote hizo ni night life, si kweli kwamba saa 3 watu wame lala.