Yajuwe yaliyodhaniwa hayawezekani kabla ya Oct 7 Gaza

Yajuwe yaliyodhaniwa hayawezekani kabla ya Oct 7 Gaza

Maislamu ya humu hayana akili.Yakitoka kupewa story za kijiweni na propesa mazinge yanakuja humu kuandika yakidhani killa mtu ana upeo wa elimu ya madrasa kama wao.Yazoee

Si kila asiyekubaliana na udhwalimu wa Israel ni mwislamu. Mandela, Ramaphosa, Bernie Sanders, PM Spain, Putin, Jinping, nk siyo waislam.

Dunia hii siyo ya waislamu:

Israel na Marekani wapewa za uso UNGA

Mimi siyo mwislamu ushahidi huu Hapa:

1. Post #6 inajieleza
2 Napinga Masheikh sita wa Kiislamu kupewa adhabu ya kunyongwa hadi kufa

Bila shaka wewe ni wale wakristo uchwara design ya wa kibwetere, Shakahola huko nk.

Kama sivyo tuweke ushahidi tuone.

Penye haki na ukweli wengine tutasema bila kujali ubinafsi wetu.

Kwa msisitizo zaidi:

Si kila mtu asiyekubaliana nawe ana elimu duni kama au hata kuliko wewe.
 
Hamas wamevizia na kuingia Israel na kuua wacheza disco na kuteka vibibi vizee!! Wameshikilia nyumba za raia kwa masaa machache na KUKIMBILIA GAZA na kujificha ktk hospitali, mahandaki na mashule huku wamevaa HIJABU kujificha nyuso, hawavai MAGWANDA wala hawana KAMBI za jeshi. Wanatumia raia kama NGAO (human shields) tarehe 07 October yenyewe waliuwawa wengi kupita kiasi.

1. Kumbe HAMAS hawakuondoka na askari Wala polisi wa Israel?

2. Kumbe HAMAS hawakuachilia mateka watoto, wanawake na wazee?

3. Kumbe HAMAS hawana mateka wa kijeshi?

4. Unaandika tokea dunia ipi ndugu?
 
Kuamini haya unayoyaandika, ndiko kutawafanya wapalestina kuzidi kuteketea. Muda si mrefu, vifo vya wapalestina vitafikia si chini ya 20,000. Huku kila mpalestina apataye upenyo, anaikimbia Gaza na kuwaacha waliosalia wakiteketea.

1. Mkuu kuamini haya yaliyo ya ukweli ni sehemu ya kupambana na udhwalimu.

2. Kuamini haya yatatupa nguvu za kusimama kupigania haki zetu bila kujali unyonge wetu:

IMG_20231208_100714.jpg


3. Hatuwezi kuogopa kifo kama hiyo ndiyo gharama ya haki na usawa wa watoto wa wajukuu zetu.

4. Kwa mawazo yako SA ukaburu ungeendelea, msumbiji, Zimbabwe, Namibia, Kenya nk zingekuwa makoloni.

5. Angalizo wanaokimbia Palestina si kina Mwabukusi, Slaa Wala Mdude!

6. Kwa mawazo yako, sadly, kumbe tuachane hata na kudai Katiba mpya kuwa hatunazo nguvu za kukabiliana nao, tutauliwa kwa maelfu!
 
Mengi uliyoyaandika siyo ya kweli.

Hakuna moja katika niliyoandika lisilokuwa kuwa kweli.

1) Hakuna eneo ndani ya Israel lilitekwa na kukaliwa na Hamas.

1. Iliwachukua Israel zaidi ya siku 2 kuyakomboa maeneo ya Kibbutz yaliyokamatwa na HAMAS Oct 7.

What happened in Israel? A breakdown of how Hamas attack unfolded

2. HAMAS hata walikuwa replenished na silaha wakiyadhibiti maeneo ndani ya Israeli.

3. HAMAS waliingia kwenda zaidi 30km ndani ya Israeli.

4. Idadi ya mateka wakiwamo polisi na wanajeshi wanaowashikilia ni kielelezo kingine.

2) Siyo kweli kuwa imewahi kufikiriwa askari wa Israel hawawezi kuuawa na Hamas. Kwanza kuamini hivyo lazima uwe mjinga hasa. Hata askari wa Marekani waliuawa na wasomalia. Kuuawa hutokana na timing. Mauaji ya kushtukiza hakuna mwenye kinga nayo. Hata wayahudi kuwa wakali sana dhidi ya wapalestina kumetokana na Hamas kuwaua wayahudi kwa kushtukiza, ikiwa ni pamoja na mauaji ya kujilipua. Hakuna vita ambayo iliwahi kupiganwa huko nyuma ambapo Israel iliwaua tu Hamas, halafu yenyewe isipoteze askari hata mmoja.

1. Wapi nilipoandika askari wa Israel au hata kuelekea kuonyesha kuwa askari wa Israel hawezi kuuwawa?

2. Ni ujinga uliopitiliza kujaribu kuniwekea maneno mdomoni ndugu tena kwa sababu ya mahaba mshindo tu.

3. Kama askari wa vyeo vikubwa jamq hawa wameuawa vitani, kumbe wa kawaida wamekufa wangapi?

4. Hakuna vita vyovyote nyuma na Palestina wamekufa maafisa wa ngazi kubwa hivi wa Israel kwenye medani ya vita na Wana mgambo, Palestina.

3) Israel ni kati ya nchi zenye kiwango cha juu sana cha huduma za kijamii, na ndiyo imekuwa ikiihudumia Gaza na Westbank, kwa kuwapa huduma kama za umeme na maji bure. Hivyo siyo ajabu kuona umeme wa Gaza ni wa uhakika kuliko wa Tanzania. Na hata sasa, Israel imesema itaijenga upya Gaza kwa ubora zaidi ya ule wa mwanzo kwaajili ya wapalestina wema.

1. Huduma bora za maisha, umeme, maji, afya nk Gaza si kwa hisani ya Israeli.

2. Zingatia "bora" haya ni dhahiri hata wakati Israel imezuia maji, umeme, mafuta nk katika kipindi hiki cha vita.

3. Unayajua haya ndugu?

IMG_20231216_090253.jpg


4. Gaza haipati maisha mazuri tokea Israel, bali adha, karaha, manyanyaso, na dhiki zote; ndiyo sababu ya vita vya ukombozi bila kujali gharama ndugu.

5. Kudai kuwa maisha bora ni kwa hisani ya Israeli, kwa hakika ni matusi ya nguoni bila shaka hata kwako kwa kudai uhuru tokea kwa mkoloni!

6. Bila shaka ni matusi pia hata kwa kudai katiba mpya tokea kwa mkoloni mweusi (CCM); au wewe huoni hivyo ndugu?

4) Israel imekwishawahi kufanya mazungumzo na Palestina mara nyingi sana, na ya kina zaidi na yaliyosababisha Wapalestina kupata mamlaka ya ndani ni yale ya 1993, yaliyosimamiwa na US.

1. Mkuu Israel haijawahi kufanya mazungumzo yoyote ya dhati na Israel zaidi ya Oslo accord waliyoishia mayahudi kumwua.

2. Israel haitaki taifa la Palestina pale na hiyo siyo siri

3. Mazungumzo kama yale pendwa ya Maridhiano na CCM kumbe yamekuwa na tija gani?

4. Mazungumzo yasiyolenga kuwa na taifa huru la Palestina ni ya nini ndugu?

Screenshot_20231216-092133.jpg


5. Mashariki ya kati kimeo ni Israel:

IMG_1567.jpg


6. Hoja ya Madiba inaishia, itendee haki avatar yako ndugu!
 
Ni kama vile vita imehmia kwenyr propaganda za vyombo vya habari, nionavyo wapalestina hawatakiwi kujiona wako sawa kijeshi na Israel, hata kama kwenye vita ni sahihi kupeana moyo, lakini kupeana mioyo mingine ni sawa na kujichimbia kaburi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Wapalestina hawatakiwi kujiona wako sawa kijeshi na Israel, hata kama kwenye vita ni sahihi kupeana moyo, lakini kupeana mioyo mingine ni sawa na kujichimbia kaburi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app

1. Si kupeana moyo tu:

IMG_20231208_100714.jpg


2. Kwa mawazo haya tutaweza kutoka chini ya meza kudai haki zetu ikiwamo katiba mpya?

3. Wapalestina 100,000 wangejitolea kwenda kwa miguu kukabiliana na mwisraeli na vifaru na madege yake, hangekimbia kweli?

4. Taifa la Palestina lisingepatikana?

5. Tatizo tunataka mno kuishi na kwa hivi hata katiba mpya ni heri kusahau.
 
Kweli hii ni vita ya ukombozi kabisa.Lazima.watu wajikomboe na magaidi ya Hamas

Ingekuwa ni wapalestina dhidi ya HAMAS ingekuwa hivi?

IMG_20231215_215901.jpg


Au wewe unawaongelea wapalestina na waisrael wa Goba au Mabwepande kule?
 
1. Si kupeana moyo tu:

View attachment 2843801

2. Kwa mawazo haya tutaweza kutoka chini ya meza kudai haki zetu ikiwamo katiba mpya?

3. Wapalestina 100,000 wangejitolea kwenda kwa miguu kukabiliana na mwisraeli na vifaru na madege yake, hangekimbia kweli?

4. Taifa la Palestina lisingepatikana?

5. Tatizo tunataka mno kuishi na kwa hivi hata katiba mpya ni heri kusahau.
Kwani kudai Katiba Mpya kunahusisha vifaru?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Nionavyo miye hii vita haina cha kufanya na dini wala utabiri wowote. Hii ni vita vya ukombozi kama mwingine wowote:

View attachment 2843626

Yaani kama vya ANC, FRELIMO, MPLA, RPF, POLISARIO, NRM nk.
Kama haina uhusiano na dini, basi ni kwa Nini kilichosemwa na Nabii Amos 1:6 kwamba Kuta za Gaza zitawaka moto kitokee?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Comandoo anayewatumia raia wake na mateka kama kinga.Atoke.apunguze idadi ya vifo vya wapalestina

1. Wapi anapowatumia raia na mateka?

2. Commando kweli kulikoni kushambulia kwa madege raia, hadi njiti?

3. Si ateremke chini kukabiliana ana kwa ana kwa zana fanana?

4. Kulikoni mwingine silaha na usaidizi apewe, ila mwingine hata maji na chakula hapana?

5. Aliyenyimwa hivyo huyu hapa:

2023-11-29T191643Z_1174150821_RC27N4A6VY3Z_RTRMADP_3_ISRAEL-PALESTINIANS-HOSTAGES-1701288135.jpg


6. Miezi 2+ leo na bado amedinda!
 
Vita ni sayansi. HAMAS hana supplies wala replenishment ya silaha. Bado amedinda kama kidume cha mbegu.

"Ama kweli mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe."
Hajadinda, MBINU ya kwanza alitumia marufuku ya Umoja wa Mataifa kutoshambulia maeneo ya shule, nyumba za ibada, kambi za wakimbizi, nk. n.k. yeye kaweka wapiganaji humu kwenye marufuku. Kwa Sasa ujanja huo hatakuwa nao kwa kuwa maeneo hayo yanapigwa, na Mahandaki yameanza kujazwa maji.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Netanyahu huwa anajisifia anajeshi bora na wanasayansi bora na kujisifu mbele ya mataifa mengien ..laki wapi kumbe ni wa kawaida sana

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Mambo hayo yanaenda pamoja na uchumi. Nchi yako tanzania ikiingia vitani na waisraeli unadhani hii kauli yako itadumu hapa kwa masaa mangapi? Ile iron dome kuiendesha tu unahitaji bajeti nzito sana. Hatuzungumzii mavifaru mandege vita nk.
 
Kama haina uhusiano na dini, basi ni kwa Nini kilichosemwa na Nabii Amos 1:6 kwamba Kuta za Gaza zitawaka moto kitokee?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Mkuu hii dunia ni pana sana kuna mabuddha, Hindu, Baniani, na kila aina ya dini.

images.jpeg


Kumbe huyo Amos Wako ana nini cha kufanya na wa aina za kina Xi?
 
Hivi nyie mnaoshabikia vita mnapata fiads Gani?. Sasa hivi Kila sehemu kuna vita inandelea watu wanakufa day in day out badala ya kuangalia namna ya kusuluhisha mpo humu mnashabikia vita kama utani wa jadi wa Simba na Yanga. Acheni haya mambo , you can do better.
 
1. Si kupeana moyo tu:

View attachment 2843801

2. Kwa mawazo haya tutaweza kutoka chini ya meza kudai haki zetu ikiwamo katiba mpya?

3. Wapalestina 100,000 wangejitolea kwenda kwa miguu kukabiliana na mwisraeli na vifaru na madege yake, hangekimbia kweli?

4. Taifa la Palestina lisingepatikana?

5. Tatizo tunataka mno kuishi na kwa hivi hata katiba mpya ni heri kusahau.
Sisi tunawaogopaga hata Panyarodi tu Ndugu !! Sembuse magari ya washawasha ??!!😂😂😂🙏

Katiba ni ndoto labda wapende wenyewe !!🙏🙏
 
Kwani kudai uhuru, haki na usawa inaweza kuhusisha vifaru?
Simply raia wanaodai Katiba Mpya hawana vifaru, sijui kwanini umelinganisha vita ya Israel na Hamas sawa mapambano ya kuidai Katiba Mpya mpaka useme tayari tumeshashindwa!

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Hajadinda, MBINU ya kwanza alitumia marufuku ya Umoja wa Mataifa kutoshambulia maeneo ya shule, nyumba za ibada, kambi za wakimbizi, nk. n.k. yeye kaweka wapiganaji humu kwenye marufuku. Kwa Sasa ujanja huo hatakuwa nao kwa kuwa maeneo hayo yanapigwa, na Mahandaki yameanza kujazwa maji.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

1. Hakuna ushahidi popote kuwa HAMAS kaweka wapiganaji humo unamodai.

2. HAMAS anakanusha hilo, UN anakanusha, wanahabari wanakanusha, mashirika ya kiraia yakanusha, mashirika ya kimataifa yanakanusha, nk isipokuwa Israel na babu yake.

3. Israel amethibitika kuwa ni mwongo na mifano iko mingi:

a) Aibu: Israel na ushahidi wa mchongo Gaza

b) Israel anavyolazimisha tulishwe matango pori

c) Israel na Marekani wapewa za uso UNGA

d) Waliokuwa mateka Gaza wamuumbua Netanyahu

4. Aaminike vipi Israel au Marekani kwa hali hii?

5. Atakapojaza maji mahandaki, kumbe mateka watageuka vyura?
 
Back
Top Bottom