Yako Wapi Sasa? Nilisema Paul Makonda (Bashite) ni Dekio tu Safari Imeanza

Yako Wapi Sasa? Nilisema Paul Makonda (Bashite) ni Dekio tu Safari Imeanza

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Paul Makonda ni sikio la kufa lisilo na dawa, maisha ni haya haya Makonda atabaki kuwa ni Dekio tu, Hana hulka ya utulivu, Hana hulka ya staha na utii, Hana adabu, Hana heshima, Hana heshima ya umri.

Hulka za kisukuma ni za kishamba sana, sasa mziki ndio umeanza taratibu ili Makonda ajue yeye ni kidagaa na ngedere tu.

Tunamsubiri kwenye ziara za mawaziri huyo kinguchiro mpya wa Tamisemi habari ndio hio.

Usicheze na mamba akiwa nchi kavu wakati mto bado umejaa maji.

Kiangazi ni Riwaya na Masika ni Hadithi. Twende kazi DJ Chuki

Tukutane Arusha

Ni hayo tu to

Wadiz
 
HALELUYA BWANA YESU AMEFUFUKA

PASAKA NJEMA KWA DINI ZOTE
1a0cf092-4a9a-4981-8db0-7be352e59a72.jpg
 
Paul Makonda ni sikio la kufa lisilo na dawa, maisha ni haya haya Makonda atabaki kuwa ni Dekio tu, Hana hulka ya utulivu, Hana hulka ya staha na utii, Hana adabu, Hana heshima, Hana heshima ya umri.

Hulka za kisukuma ni za kishamba sana, sasa mziki ndio umeanza taratibu ili Makonda ajue yeye ni kidagaa na ngedere tu.

Tunamsubiri kwenye ziara za mawaziri huyo kinguchiro mpya wa Tamisemi habari ndio hio.

Usicheze na mamba akiwa nchi kavu wakati mto bado umejaa maji.

Kiangazi ni Riwaya na Masika ni Hadithi. Twende kazi DJ Chuki

Tukutane Arusha

Ni hayo tu to

Wadiz
Ebwanae unajua kuchamba kwa kweli jombaaa! Hii CD ulikua umeiandaa muda mrefu au ni automatic?
 
Alisema siku moja ukiona nimepita mkoani kwako then Rais akatengua watu ujue yeye ndie alietoa ushauri huo.
Sasa hivi sijui nani katoa ushauri wa yeye kutenguliwa
Alimkoromea Mkwe hahahahaa
 
Paul Makonda ni sikio la kufa lisilo na dawa, maisha ni haya haya Makonda atabaki kuwa ni Dekio tu, Hana hulka ya utulivu, Hana hulka ya staha na utii, Hana adabu, Hana heshima, Hana heshima ya umri.

Hulka za kisukuma ni za kishamba sana, sasa mziki ndio umeanza taratibu ili Makonda ajue yeye ni kidagaa na ngedere tu.

Tunamsubiri kwenye ziara za mawaziri huyo kinguchiro mpya wa Tamisemi habari ndio hio.

Usicheze na mamba akiwa nchi kavu wakati mto bado umejaa maji.

Kiangazi ni Riwaya na Masika ni Hadithi. Twende kazi DJ Chuki

Tukutane Arusha

Ni hayo tu to

Wadiz
Wewe shoga unamzindi Nini makonda? Hujaandika hoja yoyote zaidi ya chuki zako binafsi tena umeharibu zaidi ulipohusisha kabila na mtu husika,next time jadili Kwa hoja acha chuki binafsi.
 
Kutoka kuw Katibu mwenezi anayeogopwa na kutukuzwa na wanafiki; Katibu mwenezi aliyekuwa na mbwembwe nyingi!! Katibu mwenezi aliyekuwa akiwapigia mawaziri na viongozi wengine simu hadharani na huku akiwapiga mkwara, kuwakoromea na kuwatishia nyau! mpaka kuwa Mkuu wa Mkoa!!

Yaani anakuwa tena chini ya mawaziri wale wale aliokuwa akiwakoromea mbele ya mikutano yake ya hadhara!!

Aisee hii ni dharau kubwa sana hii.
 
Cheo cha Mkuu wa mkoa kizuri zaidi kuliko mwenezi.
Mwenezi ana hela gani?
RC ni cheo cha kiserikali chenye mamlaka makubwa sana. RC rank ya waziri.
Naamini Kijana Makonda amefurahi saanaaaaaa.

Kazi kwake Lema!
 
Paul Makonda ni sikio la kufa lisilo na dawa, maisha ni haya haya Makonda atabaki kuwa ni Dekio tu, Hana hulka ya utulivu, Hana hulka ya staha na utii, Hana adabu, Hana heshima, Hana heshima ya umri.

Hulka za kisukuma ni za kishamba sana, sasa mziki ndio umeanza taratibu ili Makonda ajue yeye ni kidagaa na ngedere tu.

Tunamsubiri kwenye ziara za mawaziri huyo kinguchiro mpya wa Tamisemi habari ndio hio.

Usicheze na mamba akiwa nchi kavu wakati mto bado umejaa maji.

Kiangazi ni Riwaya na Masika ni Hadithi. Twende kazi DJ Chuki

Tukutane Arusha

Ni hayo tu to

Wadiz
Kama kuna aliyeelewa anifafanulie.
 
Back
Top Bottom