Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Paul Makonda ni sikio la kufa lisilo na dawa, maisha ni haya haya Makonda atabaki kuwa ni Dekio tu, Hana hulka ya utulivu, Hana hulka ya staha na utii, Hana adabu, Hana heshima, Hana heshima ya umri.
Hulka za kisukuma ni za kishamba sana, sasa mziki ndio umeanza taratibu ili Makonda ajue yeye ni kidagaa na ngedere tu.
Tunamsubiri kwenye ziara za mawaziri huyo kinguchiro mpya wa Tamisemi habari ndio hio.
Usicheze na mamba akiwa nchi kavu wakati mto bado umejaa maji.
Kiangazi ni Riwaya na Masika ni Hadithi. Twende kazi DJ Chuki
Tukutane Arusha
Ni hayo tu to
Wadiz
Hulka za kisukuma ni za kishamba sana, sasa mziki ndio umeanza taratibu ili Makonda ajue yeye ni kidagaa na ngedere tu.
Tunamsubiri kwenye ziara za mawaziri huyo kinguchiro mpya wa Tamisemi habari ndio hio.
Usicheze na mamba akiwa nchi kavu wakati mto bado umejaa maji.
Kiangazi ni Riwaya na Masika ni Hadithi. Twende kazi DJ Chuki
Tukutane Arusha
Ni hayo tu to
Wadiz