Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Ebwanae unajua kuchamba kwa kweli jombaaa! Hii CD ulikua umeiandaa muda mrefu au ni automatic?Paul Makonda ni sikio la kufa lisilo na dawa, maisha ni haya haya Makonda atabaki kuwa ni Dekio tu, Hana hulka ya utulivu, Hana hulka ya staha na utii, Hana adabu, Hana heshima, Hana heshima ya umri.
Hulka za kisukuma ni za kishamba sana, sasa mziki ndio umeanza taratibu ili Makonda ajue yeye ni kidagaa na ngedere tu.
Tunamsubiri kwenye ziara za mawaziri huyo kinguchiro mpya wa Tamisemi habari ndio hio.
Usicheze na mamba akiwa nchi kavu wakati mto bado umejaa maji.
Kiangazi ni Riwaya na Masika ni Hadithi. Twende kazi DJ Chuki
Tukutane Arusha
Ni hayo tu to
Wadiz
Alimkoromea Mkwe hahahahaaAlisema siku moja ukiona nimepita mkoani kwako then Rais akatengua watu ujue yeye ndie alietoa ushauri huo.
Sasa hivi sijui nani katoa ushauri wa yeye kutenguliwa
Legacy ya Yuda ni usaliti, je utafufuka na Yesu?🤣🤣
Imeandikwa...Alimkoromea Mkwe hahahahaa
Wewe shoga unamzindi Nini makonda? Hujaandika hoja yoyote zaidi ya chuki zako binafsi tena umeharibu zaidi ulipohusisha kabila na mtu husika,next time jadili Kwa hoja acha chuki binafsi.Paul Makonda ni sikio la kufa lisilo na dawa, maisha ni haya haya Makonda atabaki kuwa ni Dekio tu, Hana hulka ya utulivu, Hana hulka ya staha na utii, Hana adabu, Hana heshima, Hana heshima ya umri.
Hulka za kisukuma ni za kishamba sana, sasa mziki ndio umeanza taratibu ili Makonda ajue yeye ni kidagaa na ngedere tu.
Tunamsubiri kwenye ziara za mawaziri huyo kinguchiro mpya wa Tamisemi habari ndio hio.
Usicheze na mamba akiwa nchi kavu wakati mto bado umejaa maji.
Kiangazi ni Riwaya na Masika ni Hadithi. Twende kazi DJ Chuki
Tukutane Arusha
Ni hayo tu to
Wadiz
Usimtukane mwenzako bila sababu.Wewe shoga unamzindi Nini makonda? Hujaandika hoja yoyote zaidi ya chuki zako binafsi tena umeharibu zaidi ulipohusisha kabila na mtu husika,next time jadili Kwa hoja acha chuki binafsi.
Wewe kibwengo kibwengulile tuliza Matrakoo muda utaongea, huyo tumbili wenu ndio safari umeiva hioWewe shoga unamzindi Nini makonda? Hujaandika hoja yoyote zaidi ya chuki zako binafsi tena umeharibu zaidi ulipohusisha kabila na mtu husika,next time jadili Kwa hoja acha chuki binafsi.
Matusi walete tu kibwengo chao kimeangua kwenye mtumbwi wa popo bawaUsimtukane mwenzako bila sababu.
Amen Mtumishi, kutia kisu kooni, means yaani kwa namna yoyote ile usije ukawa tempted kuropokwaImeandikwa...
Ukila na wakuu tia kisu kooni mwako.
Ukimshauri mkuu hupaswi kusema
EwaaaAmen Mtumishi, kutia kisu kooni, means yaani kwa namna yoyote ile usije ukawa tempted kuropokwa
Kama kuna aliyeelewa anifafanulie.Paul Makonda ni sikio la kufa lisilo na dawa, maisha ni haya haya Makonda atabaki kuwa ni Dekio tu, Hana hulka ya utulivu, Hana hulka ya staha na utii, Hana adabu, Hana heshima, Hana heshima ya umri.
Hulka za kisukuma ni za kishamba sana, sasa mziki ndio umeanza taratibu ili Makonda ajue yeye ni kidagaa na ngedere tu.
Tunamsubiri kwenye ziara za mawaziri huyo kinguchiro mpya wa Tamisemi habari ndio hio.
Usicheze na mamba akiwa nchi kavu wakati mto bado umejaa maji.
Kiangazi ni Riwaya na Masika ni Hadithi. Twende kazi DJ Chuki
Tukutane Arusha
Ni hayo tu to
Wadiz