Nenda kanunue Khanga mkuuPaul Makonda ni sikio la kufa lisilo na dawa, maisha ni haya haya Makonda atabaki kuwa ni Dekio tu, Hana hulka ya utulivu, Hana hulka ya staha na utii, Hana adabu, Hana heshima, Hana heshima ya umri.
Hulka za kisukuma ni za kishamba sana, sasa mziki ndio umeanza taratibu ili Makonda ajue yeye ni kidagaa na ngedere tu.
Tunamsubiri kwenye ziara za mawaziri huyo kinguchiro mpya wa Tamisemi habari ndio hio.
Usicheze na mamba akiwa nchi kavu wakati mto bado umejaa maji.
Kiangazi ni Riwaya na Masika ni Hadithi. Twende kazi DJ Chuki
Tukutane Arusha
Ni hayo tu to
Wadiz
Alitoa yeye mwenyewe atenguliwee.Alisema siku moja ukiona nimepita mkoani kwako then Rais akatengua watu ujue yeye ndie alietoa ushauri huo.
Sasa hivi sijui nani katoa ushauri wa yeye kutenguliwa
Mission ya kwanza tayari, bado kaskazini sasaAlitoa yeye mwenyewe atenguliwee.
Hujui kitu empty setCheo cha Mkuu wa mkoa kizuri zaidi kuliko mwenezi.
Mwenezi ana hela gani?
RC ni cheo cha kiserikali chenye mamlaka makubwa sana. RC rank ya waziri.
Naamini Kijana Makonda amefurahi saanaaaaaa.
Kazi kwake Lema!
Kikubwa rimoti iko kwa nani sasaHujui kitu empty set
Shida nini na Bashite tena?🤣🤣🤣🤣Paul Makonda ni sikio la kufa lisilo na dawa, maisha ni haya haya Makonda atabaki kuwa ni Dekio tu, Hana hulka ya utulivu, Hana hulka ya staha na utii, Hana adabu, Hana heshima, Hana heshima ya umri.
Hulka za kisukuma ni za kishamba sana, sasa mziki ndio umeanza taratibu ili Makonda ajue yeye ni kidagaa na ngedere tu.
Tunamsubiri kwenye ziara za mawaziri huyo kinguchiro mpya wa Tamisemi habari ndio hio.
Usicheze na mamba akiwa nchi kavu wakati mto bado umejaa maji.
Kiangazi ni Riwaya na Masika ni Hadithi. Twende kazi DJ Chuki
Tukutane Arusha
Ni hayo tu to
Wadiz
Akafanye kwa weledii.Mission ya kwanza tayari, bado kaskazini sasa
Anafanya anayotakiwa kufanyaAkafanye kwa weledii.