Yalionikuta sina hamu na nyie wanaume

Yalionikuta sina hamu na nyie wanaume

Yalionikuta Sina hamu na nyie wanaume,

Long story short, mwanaume wangu huwa kwenye simu yake Ana namba nyingi kasave majina ya kiume, and I have been wondering and being suspicious kuhusu hilo Sasa Jana usiku nikachukua namba kumi niasave kwangu nikawa napiga moja baada ya nyingine.

Cha kushangaza namba zote wanapokea wanawake tofauti na nikiwauliza kuhusu mwanume wangu mimi kila moja anasema yupo in relationship nae, aisee niliishiwa nguvu, na nimelia sana.

Nimemconfront my mwanaume about the issue anakataa ansema Eti hao ni mademu za washkaji zake Yani kakataa kati katu, Yani wanaume mna kipaji cha kukata jamani.

Yaani am really hurt
Wanaume sina hamu tena kwenu zimeniishia kwa tabia zenu 😭😔😔😔
Hujatujaribu wote wengine tupo poa tu 😂
 
“Nimemconfront my mwanaume about the issue anakataa ansema Eti hao ni mademu za washkaji zake Yani kakataa kati katu, Yani wanaume mna kipaji cha kukata jamani.”

Sasa kuliwa kuna sababu gani ya kuchanganya lugha? Kwanini usingeliandika kingereza kitupu tuu? Lakini kwa ulichokifanya na kukipata ulikitafuta mwenyewe kwa hiyo sasa unalipia matokeo ya kuwa mjuaji! Usichunguze simu ya mtu…
 
Mwizi huibiwa na mwizi mwenzake,

Tajiri hukaa namatajiri wenzake

Maskini hukaa na maskini wenzake

Ndege wafananao ndio hurukao pamoja

As above, so below

As within, so without
 
Wanaume tuko ladhi tukatwe kidole lakini sio kukubali.

Kuna jamaa alifuniwa akabahatika kusepa Sasa katika kukimbia akaacha shati lake mjuavyo kijijn watu hujuana hata Kwa mashati tu kuwa hili la fln .

Jamaa kuona vile akaenda Hadi kwake asbh na mapema akaamka kwenda kununua lile shati lilikuwa la Yanga.

Akiwa Bado mjini watu wakafika Kwa mke wake wakamuuliza habar za Mme wake akakiri Mme wake kalala hapa na ameondoka asbh hajui kaenda wapi.

Wakamwambia hii shati si mmeo akakubali Hadi akainusa na kuwa hakikishia ni yenyewe.

Muda sio mrefu jamaa huyu hapa kalowana na matope shati la Yanga analo na samaki aina ya kamogo kabeba.

Wakamuuliza hajui Kila kitu na anawashangaa huku anawafukuza kwake mke wake anamwambia lkn hili ni lako akamwambia Mimi ninajua shati langu ni Hili Hilo silijui.

USHAHIDI ukakosekana.
🤣🤣🤣🤣 hii kali sana
 
Wanaume tuko ladhi tukatwe kidole lakini sio kukubali.

Kuna jamaa alifuniwa akabahatika kusepa Sasa katika kukimbia akaacha shati lake mjuavyo kijijn watu hujuana hata Kwa mashati tu kuwa hili la fln .

Jamaa kuona vile akaenda Hadi kwake asbh na mapema akaamka kwenda kununua lile shati lilikuwa la Yanga.

Akiwa Bado mjini watu wakafika Kwa mke wake wakamuuliza habar za Mme wake akakiri Mme wake kalala hapa na ameondoka asbh hajui kaenda wapi.

Wakamwambia hii shati si mmeo akakubali Hadi akainusa na kuwa hakikishia ni yenyewe.

Muda sio mrefu jamaa huyu hapa kalowana na matope shati la Yanga analo na samaki aina ya kamogo kabeba.

Wakamuuliza hajui Kila kitu na anawashangaa huku anawafukuza kwake mke wake anamwambia lkn hili ni lako akamwambia Mimi ninajua shati langu ni Hili Hilo silijui.

USHAHIDI ukakosekana.
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Mkuu usirudie tena kuchunguza simu kama bado unampenda mpenzi wako. Anaweza asiwe anacheat kabisa kumbe siku unayoshika simu ndio siku mtu anakosea namba
 
Back
Top Bottom