Hilo bunge sio ajira rasmi ya kudumu na hivyo usipofika bungeni unatakiwa kutolipwa na kama wanalipwa ni wizi!
Watanzania ni wavumilivu sana..Yani huu uhuni ungekuwa unafanywa kwenye Nchi za Wenye Macho,Masikio na Akili sijui hali ingekuwaje..
Huu upigaji kura kwa njia ya Mitandao daah!!
Warioba alitoa tahadhari Wakamuona hana akili..
Tunaisubiri hiyo yenu CCM ..Malizeni Halafu tukutane Kitaa..Tutaheshimiana tu.
Mkuu, nimekuomba uifanye wewe kazi hiyo kutokana na umahiri ulionao na uvumilivu wako. Hakika wewe ni kifani cha pekee. Tangu tumeanza mchakato huu hakika umekuwa kifani chema.mpole lakini na nimekubali ushauri wako. Nikuhakikishie kuwa mimi na Bramo hatuna ugomvi wowote. Ni tofauti tu ya mtazamo. Wote tupo hapa kuwahabarisha watanzania na wakati huo tunajenga mtandao wetu pendwa wa JF.Mkuu, kunitaka nimfanyie ushauri mtu mwingine ni jambo la kushangaza. Umeshindwaje kulibeba jukumu hilo kwa kuwa wewe ndiye umezozana naye? Anyway mimi naendelea kusoma updates tu, hayo mengine sina utaalam nayo.
natizama bunge la katiba wajumbe waliobaki wanataka kura mtu apigie hata akiwa ulaya, marekani, india popote duniani lakini hata akiwa mbeya hospitali, arusha mbuga za serengeti ukiliangalia hili vizuri utagundua ni 2/3 inatafutwa.
Je nani atalinda kura hizo zifike kama zilivyo andikwa na je ni kina nani watazipiga watakua kweli wajumbe wa bmk.
Na cha pili kilichojitokeza ni kupigia kura kila kipengele cha yes or no. je vingi ikiwa na no siku ziongezwe au watafanyaje??
umeona mkuu, watu wanalalamika mtaani vibaya sana, maisha magumu, haki haipatikani kwa sababu ya rushwa, lakini wanaowatungia sheria mama wanawatukana! sijui watanzania wakoje!Mkuu inadhihirisha ule utafiti unaoonesha kuwa Tz wananchi wake IQ ziko chini. You can imagine hao wabunge kama ndio sample ya watz
Nadhani pia watalipwa POSHO YA KIKAO kwa kuwa watakuwa wamehudhuria kikao kwa remote!!Hivi kanuni ya AKIDI iliwekwa ya nini?! kama mbunge aliyeko nje Bunge anaruhusiwa kupiga kura, Maana yake ni kwamba mbunge aliyeko nje ya Bunge pia anaruhusiwa kushiriki mijadala ya bunge, hivyo KANUNI ya akidi, kuwa bunge haliweze kuendelea kama wajumbe hawafikii nusu haina maana tena.
Huyu Sitta inaelekea AMEKUBUHU katika UCHAKACHUAJI. Kilichomshinda KUCHAKACHUA ni JINSIA yake tu, kutoka ME kwenda KE.
huyu jamaa ni mtu wa CCM, anawadhifa kwenye umoja wa vijana wa CCMUyo makonda ndo nani? halafu nilisikia sehemu wanamsema kuwa ni shoga
Wenzao wamesepa dakika za mwisho ili lukwrpa lawama na laana, lakini Wao hawakubali, wameamua kuwa nao kwa kuwafuata hulo huko ili Kama ni maana au lawama, basi na wagawane.
Mkusanyiko huo unaoitwa Bunge maalum la katiba hauishi mambo ya kustajabisha. Kama katika kutekeleza msemo kuwa kila siku kuna kituko kitatokea Barani Afrika.
Wakati Sitta na wana mkutano wake wanafanya mabadiliko ya kanuni yao ya kupiga kura,haileweki sababu zao za kusahau kununi nyingine walizopitisha katika kuliendesha Bunge hilo ikiwa ni pamoja na inayozuia kulipa posho kwa wajumbe wasiokuwepo bungeni.
sasa tunaweza kuona kuwa wabung wote watalipwa posho zao bila kujali kama wako bungeni au wameshiriki kwa kufuatilia kile ambacho wanataka kutolea mamuzi kwa maana ya kupigia kura.
Ninachokiona hapa ni kuwa huu ni mkakati maalum wa kuhakikisa kuwa theluthi mbili zinapatikana. Kwamba wajumbe wasiokuwepo waashwishiwa kwa njia yoyote hata kamani Rushwa ili waunge mkono rasimu ya Sitt. Makati huu unawaweza ukawahusisha hata wajumbe wa Ukawaambao wamekataa kuhudhuria mkutano unaoendelea kwani watweza kupig simu kwa njia ya simu au Mtandao ambapo hakuna mtu anayeweza kufahamu kwa urahisi nani amepiga kura.
kwa kuwa Sita umeamua kutengeneza historia, tunaomba uende mbele zaidi uiishie kwenye katiba mpya pekee, kwani tunahitaji mtusaidie hata katiba upigaji kura kwenye chaguzi nyingine. Mathalani kwa utaratibu uliopo hivi sasa mpiga kura haezi kutekeleza haki yake hiyo iwapo atkuwa nje ya eneo ambako amejiandikisha!. Umejiandikisha Kibodo lakini wakati wa kupiga kura ukawa Ngara hautaweza kupiga kura? Umejiandikisha Mwanza mjini na wakati wa kupiga kura ukawa Nyakato umbali wa kilomita tano, huwezi kupiga kura!vivyo hivyo na maeeo mengine hata na walio nje ya nchi.
johnmashilatu yuko mapumziko baada ya kazi kubwa ya kuandamana mwache kiongozi.Unajilazimisha kutoelewa wakati vitu vinaeleweka,,idadi ya wajumbe ipo katika mahesabu kila mjumbe ana maana kubwa sana,Bunge maalumu la katiba ni bunge maalumu na kura ya mjumbe ni kura maalumu na ana was bu wa kupiga kura,sijui umesema mambo ya kulipa posho kwa wanaokuwa bungeni tuu afu umesema wanaokuwa nje ya bunge kwa nini wapige kura,
Kumbuka mbunge halali ni yule aliejiandikisha na kuhudhulia mijadala mbalimbali,huyo akiwa nje ya bunge ni mjumbe halali na anapaswa kulipwa posho yake na ana haki na wajibu wa kupiga kura popote alipo.
uhuni ni ule unaofanywa na CHADEMA mitaani mkuu kuwahamasisha vijana kuandamana wakati Mwenyekiti anakula bata BONDENI