Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa mgombea Urais Dkt. Magufuli (CCM) - Septemba 14, 2020

Wabunge wa CCM wakishafika Bungeni watalishughulikia
 
Jiwe hafai hata kuwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa, mana watatekwa watu si mchezo
 
Jiwe hafai hata kuwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa, mana watatekwa watu si mchezo
 
Ccm mmewaleta marubani na wadada wahudumu wa ndege kwenye kampeni ili iweje ovyo kabisa
 
Chato nzima wenye uwezo wa kumudu kupanda ndege awafiki hata 5 je ipi kwao tija kuwa na uwanja wa ndege utumikao maramoja kwa mwaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…